salito
JF-Expert Member
- Dec 29, 2011
- 1,406
- 734
Binafsi niliexpect plan kama hii...city sio wa kuwapakia basi....acha tuwashambulie ili nao wazuie na wapunguze mashambulizi kuja kwetu.Mourinho ameona leo acheze attacking football labda kuwafanya City wasifikilie kushambulia, ingawa option hiyo inaweza ku - backfired ila ngoja tuone itakavyokuwa