sijawah kuangalia mechi nikiwa na presha namna hii mh!
Na anamwachia Sane aingie kwenye penati box ambacho ni kitu hatari sanaNi wakati muafaka wa Mou sasa kumpatia nafasi Luke Shaw, Young ni mzur hasa kushambulia ila kukaba winga mzuri ni mtihani
Na ni hatari zaid kama Sterling akicheza upande uleNa anamwachia Sane aingie kwenye penati box ambacho ni kitu hatari sana
Tunatakiwa tutafute Beki wa kushoto kwa Asili Rojo kasogea nne sub nje ni shaw tu beki tatuNa ni hatari zaid kama Sterling akicheza upande ule
Bila defensive game ya leo hali itakua mbaya kaka tukifunguka tu tukiiga mchezo wa city watatunyoa na mtu sahihi wa kupunguza temper kama hizi ni Pogpa na Carrick ambao wote hawapo.acha tubane uwanja tuMou anazingua...too defensive.
Hakuna game anayo weza zaidi ya ku defense.Mou anazingua...too defensive.