ze-dudu
JF-Expert Member
- Jul 26, 2014
- 18,428
- 24,145
na msimu huu hatuna timu ya kumtegemea mtu mmoja afunge tu kwa sasa timu nzima inafunga ukizubaa tu goliAisee Lukaku hata asipofunga ile shughuli yake mbele inatosha. Wakati mabeki wanajichosha kuhangaika nae, akina Lingard,Martial wanafunga
