Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Lingard...
Screenshot_2017-12-03-07-37-22.png
Screenshot_2017-12-03-07-37-44.png
 
Mechi ijayo ya Uefa namuona matic,herera,rojo,valencia na lukaku wakipumzishwa au kuwekwa sub kusubiri mechi ya city na huku pogba na maktominay wakicheza kati na namba 9 acheze zlatan badala ya lukaku na huku felaini na bailly wakiisubiri hiyo mechi ya city ni maoni yangu tu au nyie wadau mnaonaje....???

Na navyojua morinho hawezi kumuacha benchi lukaku kwenye mechi dhidi ya city labda aumie.

City lazima ake pale OT.
 
Mechi ijayo ya Uefa namuona matic,herera,rojo,valencia na lukaku wakipumzishwa au kuwekwa sub kusubiri mechi ya city na huku pogba na maktominay wakicheza kati na namba 9 acheze zlatan badala ya lukaku na huku felaini na bailly wakiisubiri hiyo mechi ya city ni maoni yangu tu au nyie wadau mnaonaje....???

Na navyojua morinho hawezi kumuacha benchi lukaku kwenye mechi dhidi ya city labda aumie.

City lazima ake pale OT.
Mkuu Valencia hawezi kupumzishwa, Lukaku labda atolewe kwenye sub ila lazima ataanza.........
 
Huyu kijana Lindelof naona ameanza kuzoea sasa. Watu walianza kumponda ila wataalam wa mpira wakawakumbusha hata alivyokuja Vidic siku za kwanza aliyumba, Evra nakumbuka game na Man City alivurugwa haswa....inahitaji mechi kadhaa kuizoea EPL na uzito wa jina Manchester United.
 
Huyu kijana Lindelof naona ameanza kuzoea sasa. Watu walianza kumponda ila wataalam wa mpira wakawakumbusha hata alivyokuja Vidic siku za kwanza aliyumba, Evra nakumbuka game na Man City alivurugwa haswa....inahitaji mechi kadhaa kuizoea EPL na uzito wa jina Manchester United.

Mimi nikiwa mmoja wapo. Uvumilivu ni zawadi ambayo wengi wetu hatuna, na ndio maana hata makocha wanaweza vumilia mtu kwa mechi nyingi tu hata kama anavurunda.
Linderlof kaprove wengi wrong, he is solid yet calm and well displined kwa hizi game tatu nilizomuona.
Anaonekana akaja kuwa Ferdinand wetu mpya.
 
Huyu kijana Lindelof naona ameanza kuzoea sasa. Watu walianza kumponda ila wataalam wa mpira wakawakumbusha hata alivyokuja Vidic siku za kwanza aliyumba, Evra nakumbuka game na Man City alivurugwa haswa....inahitaji mechi kadhaa kuizoea EPL na uzito wa jina Manchester United.
Mkuu Rrondo huyu jamaa asemwi tu, nae ni watu ambayo sikuhizi za karibun ameonesha uwezo mkubwa na utulivu na game kama hizi zinazidi kumjenga.
 
Huyu kijana Lindelof naona ameanza kuzoea sasa. Watu walianza kumponda ila wataalam wa mpira wakawakumbusha hata alivyokuja Vidic siku za kwanza aliyumba, Evra nakumbuka game na Man City alivurugwa haswa....inahitaji mechi kadhaa kuizoea EPL na uzito wa jina Manchester United.
kaka ile cloud ya mashabiki 76elfu wanaoshangilia kuanzia dk ya 0 mpaka 100 kama hujaizoea lazima upagawe na ndio kilichomkuta huyu dogo ila ni zaidi ya vidic aisee maana kumbuka type ya vidic tunao wawili pale yeye na baily....smallind atafute timu msimu ujao
ameshazoe zile kelele kwa sasa anapiga soka tu ila lukaku ndio bado anacheza na zile kelele za mashabiki
 
Well done boys! But hata hivyo Katika Mchezo Wa Jana Kipo Kitu Cha Kukizingatia na Wala Si Cha Kupuuza....

1) Kwanini Arsenal Wapate Shots 13 on target, na 8 off target?

2) Kwanini De Gea awe Man of the Match?

3) Kwanini De Gea Aokoe Mashuti Mengi Zaidi Katika Mechi Moja Kwa Msimu huu?

4) Kwanini Washambuliaji Wa Arsenal Waliruhusiwa Kupiga Mashuti golini Moja Kwa Moja tofauti na Munapozikabili Timu Kama Liverpool, Chelsea na Man city?

Hapo ni Dalili Kuwa Katika Defence Yenu au Mfumo wenu Kulikuwa na Tatizo....
Siku Zote Tatizo la Mabeki au Mfumo Humfanya De Gea Kuwa Shujaa...
 
Well done boys! But hata hivyo Katika Mchezo Wa Jana Kipo Kitu Cha Kukizingatia na Wala Si Cha Kupuuza....

1) Kwanini Arsenal Wapate Shots 13 on target, na 8 off target?

2) Kwanini De Gea awe Man of the Match?

3) Kwanini De Gea Aokoe Mashuti Mengi Zaidi Katika Mechi Moja Kwa Msimu huu?

4) Kwanini Washambuliaji Wa Arsenal Waliruhusiwa Kupiga Mashuti golini Moja Kwa Moja tofauti na Munapozikabili Timu Kama Liverpool, Chelsea na Man city?

Hapo ni Dalili Kuwa Katika Defence Yenu au Mfumo wenu Kulikuwa na Tatizo....
Siku Zote Tatizo la Mabeki au Mfumo Humfanya De Gea Kuwa Shujaa...
Na hilo ndilo Jukumu lake kuu.

Huo ndio umuhimu wake na thamani yake ilipo kuokoa timu isifugwe katika nyakati zote.

Mpira ni Magoli, Mpira ni Point, na Mpira ni Ushindi.

Ni Jukumu la Team nzima kuhakikisha matokeo Chanya yanapatikana.

De Gea Was the best.
 
Manchester United Waliiadhibu safu ya ulinzi ya Arsenal na kuwa timu ya kwanza kupata ushindi katika uwanja wa Emirates tangu mwezi Januari katika mojawapo ya mechi za ligi ya Uingereza msimu huu.
Kikosi cha Jose Mourinho kilipunguzwa na kuwa na wachezaji 10 katika dakika za mwisho baada ya Paul Pogba kupewa kadi nyekundu kwa kucheza visivyo na walisaidiwa na kipa wao David de Gea katika mechi yote.
Lakini licha ya hayo Arsenal iliadhibiwa mapema na Antonio Valencia wakati alipopata pasi mbaya ilioandaliwa na beki wa Arsenal Koscielny na kuweza kuiweka kifua mbele Manchester United kabla ya Jesse Lingard kufunga la pili baada ya kumpkoonya mpira Shkodran Mustafi.
Kabla ya Pogba kupewa kadi nyekundi alimshinda nguvu Koscielny na kumpatia pasi Lingaard ambaye alifunga bao la tatu na kuipatia United ushindi huo.
 
Mabao mawili ya Jesse Lingard na shughuli kubwa ya David de Gea viliiwezesha Manchester United kushinda 3-1 ugenini Arsenal, Pogba akilambwa nyekundu
Antonio Valencia na Lingard walikuwa na mwanzo mzuri katika mechi hii, lakini Arsenal walirejea kwa kasi mapema kipindi cha pili na kupata goli kupitia kwa Alexandre Lacazette mnamo dakika ya 49.
Lingard aliipa United magoli mawili ya kuongoza baada ya kuipatia timu yake goli la tatu dakika ya 63 kabla ya Paul Pogba kuonyeshwa kadi nyekundu kwa kumchezea rafu mbaya sana Hector Bellerin, jambo linalomaanisha kuwa Mfaransa huyo ataikosa mechi inayofuata ya Jumapili dhidi ya Manchester City Ligi Kuu Uingereza.

Arsenal walishindwa kupenya ngome ya watu 10 ya Man United dakika za mwishoni, De Gea akiokoa hatari 14 golini kwa ujumla, rekodi yake kubwa Ligi Kuu Uingereza tangu 2003-04.
Matokeo hayo yameifanya rekodi nzuri ya Arsenal katika uwanja wa nyumbani msimu huu kuchafuka, wakati United wakiendelea kuwaongezea presha vinara wa ligi City watakaocheza mechi yao ya nyumbani dhidi ya West Ham United Jumapili.
United walipata goli la mapema la kuongoza kupitia kwa Valencia, ambaye aliuvuta mpira mbele ya Sead Kolasinac kabla ya kugongeana na Pogba na kuupenyeza mpira katikati ya miguu ya Petr Cech.
 
Shkodran Mustafi ndiye aliyechomesha goli la pili la United, beki huyo wa Arsenal akizubaa karibu na goli kabla ya Lingard kuunasa mpira ambaye alimalizia jitihada za Anthony Martial kufunga goli la pili.
Arsenal waliendelea kuleta madhara, lakini Lacazette alishuhudia shuti lake likigonga besela, na Granit Xhaka naye akigonga mwamba.
Mwishoni mwa kipindi cha kwanza Bellerin na Kolasinac walifanya jaribio la kufunga lakini De Gea alikuwa macho, akifanya kazi ya ziada kumzuia Romelu Lukaku kujifunga.

Arsenal walirejea mchezoni kupitia goli la Lacazette ikiwa ni dakika nne tu tangu kuanza kipindi cha pili, Mfaransa huyo akiuzamisha wavuni mpira baada ya kupokea pasi kutoka kwa Aaron Ramsey.
Lingard alifanya jaribio la kushtukiza lakini shuti lake liligongana na Cech na kugonga mwamba kabla ya De Gea kuokoa mashuti mawili hatari kutoka kwa Lacazette na Sanchez.
United walipata goli moja baada ya saa moja tu ya mchezo, Pogba akimzidi nguvu Laurent Koscielny kabla ya kumpasia Lingard ambaye aliunganisha mpira wavuni.

Usiku wa Pogba ulikoma dakika 11 baadaye, kwani kiungo huyo alitolewa kwa kadi nyekundu baada ya kumkanyaga mguuni Bellerin - Hata hivyo Arsenal hawakuweza kutumia mapungufu ya United waliokuwa 10 dimbani.
 
kaka ile cloud ya mashabiki 76elfu wanaoshangilia kuanzia dk ya 0 mpaka 100 kama hujaizoea lazima upagawe na ndio kilichomkuta huyu dogo ila ni zaidi ya vidic aisee maana kumbuka type ya vidic tunao wawili pale yeye na baily....smallind atafute timu msimu ujao
ameshazoe zile kelele kwa sasa anapiga soka tu ila lukaku ndio bado anacheza na zile kelele za mashabiki
Aisee Lukaku hata asipofunga ile shughuli yake mbele inatosha. Wakati mabeki wanajichosha kuhangaika nae, akina Lingard,Martial wanafunga
 
Back
Top Bottom