Wild sniper
JF-Expert Member
- Apr 3, 2015
- 4,426
- 8,726
Nimeshukuru Martial hajategua mguu maana sio kwa ile assist . Ingawa nilikua na presha ila tumeshinda.
Nilijua ni mimi tu niliyeona hilo... Alifura hatariMartial ameshindwa kuzuia hasira na kiburi chake baada ya kupigwa sub.
Mou akileta na kiburi chake dogo anaweza kupgwa bei next season
Well deserve point tatu muhimu sana.
Mkuu hili fumbo sio mchezo..![]()
He didn't mean to do that...
Kapewa kadi mtu muhimu sana katika timu..
Ila ile naona kama refa kakurupuka sana maana lengo la pogba lilikuwa ni mpira, naona kama aliugusa kwanza..
Kadi ya pogba ikitizamwa vzr inaweza futwa
Ile kadi planned
Mashabiki wa soka njooni tumpongeze Antonio ValenciaNilichojifunza mechi ya leo dhidi ya Arsenal.
David De Gea kwasasa ndio kipa bora barani Ulaya sio tena EPL.
Toni Valencia anazidi kutakata licha ya umri kuendelea kusonga mbele, jamaa alistahili kitambaa cha unahodha, anaongoza kwa mfano.
Ashley Young ni kama amezaliwa upya. Kwasasa ni mtu muhimu katika safu ya ulinzi ya United.
Lingard licha ya kutokukubalika na mashabiki wengi wa United, ni mchezaji anayejua kutimiza vyema majukumu anayopewa na kocha.
Marcos Rojo awapo mzima, basi timu nayo inakuwa salama hasa kwenye mipira ya juu.
Na mwisho kabisa, Man United bado yupo kwenye mbio za Ubingwa, anakimbiza mwizi kimya kimya.
TUKUTANE Mwezi MAY!!!!
Huyu kijana kama Chale flan hivi ila shughuli yake ndio hiyo.
Pana shabiki wa arsenal kanitumia hiyo nikampandia hewani nikamuuliza kwani kutongoza sana ndio kuoa (nimetumia tafsida )hajanijibu kakata na simu.Arsenal vs Manchester United stats. You wouldn't think the team on the right won 3-1!
![]()
Si kupaki bus tu, na kung'oa tairi kabisaDuh sasa hapa sio kupaki bus tena ni kupaki scania...POBGA RED CARD...
Si kupaki bus tu, na kung'oa tairi kabisaDuh sasa hapa sio kupaki bus tena ni kupaki scania...POBGA RED CARD...
Silva ni mwaribifu sana, kwenye magoli mengi ana uhisikaPengo la Pogba kwenye mechi ya City sijui litazibwaje ukizingatia Fella naye majeruhi. Yule zeruzeru De Bryune anatakiwa kuwekewa mkakati maalum msimu huu yupo on fire hatari
Umesahau m(million) maanake kwa bei hizo hata mimi namnunua.Thamani ya DeGea
Mkono wa kushoto £ 50
Mkono wa kulia £50
Mguu wa kulia £30
Mguu wa kushoto £25
Madrid kazi kwenu
Matic umemsahau. Dakika alizokosa ni zile alivyotolewa majeruhi tu kwenye mechi kabla ya jana.Mashabiki wa soka njooni tumpongeze Antonio Valencia
Kwa kweli tony Valencia na Da Gea ndio wachezaji ambao wameichezea Man U dakika nyingi zaidi kwa misimu 4 sasa...
Wanasitahiri pongezi na recognition aiseeee
Lingard ni mchezaji anaefuata instructions not so talented.Huyu kijana kama Chale flan hivi ila shughuli yake ndio hiyo.
Sijamsahau, Valencia na De gea tangu 2014 wamechezea man u zaidi 90% minutes ya mechi zote....Matic umemsahau. Dakika alizokosa ni zile alivyotolewa majeruhi tu kwenye mechi kabla ya jana.
Oh kumbe uliandika misimu minne...Sijamsahau, Valencia na De gea tangu 2014 wamechezea man u zaidi 90% minutes ya mechi zote....