Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

IMG-20171203-WA0002.jpg
 
He didn't mean to do that...


Hile ni Kadi Sahihi ingawa yawezekana kuwa Pogba Hakukusudia Kuumiza 50/50....
Lakini Kumbuka Hata Sadio Mane Hakukusudia Kumuumiza Kipa Wa Manchesta City Lakini Pia alipewa Red Card! Na timu ilipoAppeal FA ikakataa Kuifuta....

Mkuu Kadi ni Kadi tu Whether intentionally or unintentionally...



Kapewa kadi mtu muhimu sana katika timu..

Ila ile naona kama refa kakurupuka sana maana lengo la pogba lilikuwa ni mpira, naona kama aliugusa kwanza..

Kadi ya pogba ikitizamwa vzr inaweza futwa

Ile kadi planned
 
Nilichojifunza mechi ya leo dhidi ya Arsenal.

David De Gea kwasasa ndio kipa bora barani Ulaya sio tena EPL.

Toni Valencia anazidi kutakata licha ya umri kuendelea kusonga mbele, jamaa alistahili kitambaa cha unahodha, anaongoza kwa mfano.

Ashley Young ni kama amezaliwa upya. Kwasasa ni mtu muhimu katika safu ya ulinzi ya United.

Lingard licha ya kutokukubalika na mashabiki wengi wa United, ni mchezaji anayejua kutimiza vyema majukumu anayopewa na kocha.

Marcos Rojo awapo mzima, basi timu nayo inakuwa salama hasa kwenye mipira ya juu.

Na mwisho kabisa, Man United bado yupo kwenye mbio za Ubingwa, anakimbiza mwizi kimya kimya.

TUKUTANE Mwezi MAY!!!!
Mashabiki wa soka njooni tumpongeze Antonio Valencia

Kwa kweli tony Valencia na Da Gea ndio wachezaji ambao wameichezea Man U dakika nyingi zaidi kwa misimu 4 sasa...
Wanasitahiri pongezi na recognition aiseeee
 
Matic umemsahau. Dakika alizokosa ni zile alivyotolewa majeruhi tu kwenye mechi kabla ya jana.
Sijamsahau, Valencia na De gea tangu 2014 wamechezea man u zaidi 90% minutes ya mechi zote....
 
Back
Top Bottom