Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Screenshot_2017-12-03-01-07-19-13.png
Screenshot_2017-12-03-01-06-36-68.png

 
Kuna ile free kick ya ozil,young aliichungulia alafu faster akajiposition na kuzuia kwa kichwa

Pale Young Ndiyo niliposema ingawa Hakuvaa [HASHTAG]#Armband[/HASHTAG] lakini Najiamini Kusema Alifanya Jukumu la Kumfanya yeye sahihi Kwa Jana alikuwa Captain Wa Mchezo...

Kwani Ni Wazi De Gea hakuwa Katika Position Pale na Aliishia Kuutazama Tu Mpira Unaelekea Nyavuni!
Lakini Young ingelikuwa Bongo ningesema Ozil kafanya Hujuma Kwa Kumtonya Young Napiga pale nenda ukakae Coz ilikuwa ni Akili Ya Ziada aliyoifanya Young Ambayo Si Rahisi Mchezaji Kuifikiria Wakati wa Set-piece kama hile.....
 
*Factor which lead arsenal to lose match against Man United*

*Forced Labour* this is due to some player the're forced to play at arsenal but the're unhappy i. e Alexis Sanchez and Mesut ozil they need to leave the club

*Low wages of the players.* Some factor which will cause Arsenal to lose is that low wages coz arsenal players receive low wages compare to the're job and when they see Jese lingard receive high wages this will make arsenal to be unhappy in the pitch

*Poor Leadership* this go direct to arsene wenger and his board the're haven't good relationship

*poor weapons* Arsenal they have poor weapons like lagazeti oliva gurudumu sanchuzi dani walibuku and ozil compare to Man Utd Lomelu Lukaku Tony Martial Marcus Rashford ibracadabra mkhitaryan Paul Pogba

*Land alienation* and other factors such as to be taught by a coach who looks like mr Bean.
*Conclusion:*
We are waiting for miracles to happen at Emirates...
ahhahaahhahaahahahahhahaahahahahahahahahahhaaha
 
Baada ya mechi hii nimeamua kutoka Arsenal na kuhamia Man U kuunga mkono juhudi za Mourinho kuutafuta Ubingwa, maana kila anachofanya Mourinho ni yale yale tuliyokuwa tunayapigania huku huku kwa miaka mingi, hivyo hakuna haja ya kuendelea kupingana na Man U. Narudi Nyumbani,,walai ukifungwa mtaani Kuna manenooo
 
Baada ya mechi hii nimeamua kutoka Chelsea na kuhamia Man U kuunga mkono juhudi za Mourinho kuutafuta Ubingwa, maana kila anachofanya Mourinho ni yale yale tuliyokuwa tunayapigania huku Chelsea kwa miaka mingi, hivyo hakuna haja ya kuendelea kupingana na Man U. Narudi Nyumbani
 
Wazee wa kupaki bus na matairi mmeng'oa kabisa haf mnashangilia ushindi aibu aise
Mkuu aseno w apiga mashuti 14 langoni na 8 pembeni, hilo basi labda lilipakiwa upande wanaokaa benchi la ufundI na makocha...........
 
Na Kuhusu DE GEA kama umeniQuote Mimi basi you are Wrong...
De Gea Namjua kama ni Best na Wala sijawahi Mbeza! Namheshimu na Ndiyomana Natamani Real Wamnunue ili asiwepo EPL Kwa sababu ya Ubora Wake...

We jamaa kama sio mchawi basi utaja kuwa mchawi maana ni wachawi pekee wenye roho kama hizi. Roho mbaya tu.
Sasa si afadhali ungesema bora mumnunue ninyi Liverpool.
 
Back
Top Bottom