Rajab_Omar
JF-Expert Member
- May 15, 2016
- 16,481
- 27,185
We jamaa kama sio mchawi basi utaja kuwa mchawi maana ni wachawi pekee wenye roho kama hizi. Roho mbaya tu.
Sasa si afadhali ungesema bora mumnunue ninyi Liverpool.
Sio Uchawi! Ndiyo Mpira hasa....
Kumbuka Morinho Alipokuwa Chelsea Miaka ya 2005s alikuwa Akimfunga Arsenal Nje ya Uwanja. Kwenye Pitch akimaliza Kazi tu......
Hii ndiyo inaitwa MEDIA WAR..... Mkuu Media War Si Roho Mbaya Wala Uchawi... Na Unapoamini Kuwa ni Uchawi au Roho Mbaya Basi Umekosa Sifa ya Kuwa Supporter wa Man United Bali ni Mshabiki tu wa Man United....
Mpira ni Kuombeana Njaa that is Why Mshabiki wa Real M. Wamefurahia Kuondoka Kwa Neymar Barcelona, Na Mshabiki Wa Barcelona Walifurahia Kuondoka Kwa Redondo Real M....
Na Kuhusu De Gea Kuja Liverpool Hata Yesu arudi Duniani Halitowezekana...
Liverpool na Man U hatuuziani Wala Hatukopeshani Wala Hatugaiani (Transfer for Free).... Full Stop!