Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Sina kumbu kumbu kama barbertov alikua anaweza kupiga chenga, kupiga chenga sio kipimo cha straicker, straiker kazi yake ni kufunga na siokupiga chenga!!

Morata kapata nafasi za wazi kama tatu hivi mbili akiwa yeye na kipa....hizo nafasi angezipata lukaku angefunga zote!!

Bado sijajua kwanini martail anawekwa bench...

All in all, namba tisa anamegemea namba 10 na namba 8! nadhan uliona kiwango cha micky leo kilikuaje!!!
Mkuu hivi unamjua Dimitar Berbatov kweli?

Yule miguu yake ilikuwa na vinasa mpira, usimfananishe kabisa!
 
Taratibu tunatoka nafasi ya pili dec tuna arsenal na man city sijui tutakutwa na yapi dah..
First half afadhali tulivyorudi kataka kupaki basi..
 
kuna mtu humu nilimwambia kumuacha perisic ni kosa kubwa sana mchezaj mwenye skills safi sana tia kumi na moja lukaku akivulunda toa tia martial au rashford mwendo mchibuyu
 
Back
Top Bottom