Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Tukisema hatuna timu watu wanasema hatujui mpira na si mashabiki wa Man utd.....but as time goes on ukweli utadhihirika.

Kukubali maradhi ndiyo mwanzo wa kupona.
Hivi ni timu au kocha? Mick hayupo vizuri anampanga
 
Lingard hii mechi ilibdi aanze nashangaa ndo anataka kuingia saivi ...unajua mashabiki wengi wa man utd hawampendi lingard lakin hawajui umuhimu wake .....he is free role ....japokuwa hana nguvu lakin kanakaba pote
 
Back
Top Bottom