Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

De gea, Jones, Baily, Blind, Antoni, Matic, Hererra, Mkhi, Marcus, Jessy, Rumelu.

Jersey nna shaka naye japo kukimbiakimbia kwake kuna tija. Dogo anakabaka toka kwa kipa
Unna shaka nae ila kazi yake unaijua.
 
Kuna siku huwa wanaonyesha live sasa sijajua Leo.
Kwani hamna channel nyingine mkuu ? Coz natumia dish
Sjaiangalia tv 1 muda sana mkuu walikuwa wanaonesha sku ya jmos game moja sjui kama huo utaratibu bado upo.... Tumia mobdro tu kama una smartphone au laptop
 
Wale wataalam wa links tupeane hapa for livestream.mm ntajitahid kuweka kadri ntavoweza game ya man u
 
Leo Mourinho anaweza kupanga hivi kikosi.
3-4-1-2
De Gea
Valencia
Bailly
Smalling
Jones
Young
Matic
Herrera
Micki
Rashford
Lukaku.

Endapo Fellain ataanza anaweza kupanga hivi.
4-3-3
De Gea
Valencia
Bailly
Jones
Young
Herrera
Matic
Fellain
Micki
Lukaku
Rashford
 
Back
Top Bottom