Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

hata nikiangalia sijaona kitu wachezaj wa chelsea wameizid united mourinhi plan yake mbovu leo utafikir anacheza na wakina Kdb + silva viungo wabunifu kumbe duuuuuuu
Hazard unaweza kumfananisha na mchezaji gani wa timu yenu.? Hahaa we jamaa
 
Hiyo ni mipango mingine mjomba. Acha kujitetea

hakuna cha kujitetea kocha wako mwenyewe anajua 3 lazima ataziacha old traford kocha wangu sio mzur mech za away kawa mbovu kwa top 6 naona guadiola kawa mwamba away and hom
 
Wakuu za siku mingi?

6a9e4dbd7cea3ad0434b26450ebccf24.jpg
 
Hazard unaweza kumfananisha na mchezaji gani wa timu yenu.? Hahaa we jamaa

hazard nae mchezaji na ww? kawazid wa kina martial na rashford ubingwa wa epl na kujirusha tu pale chelsea mchezaj mlie nae ni cante tu
 
hakuna cha kujitetea kocha wako mwenyewe anajua 3 lazima ataziacha old traford kocha wangu sio mzur mech za away kawa mbovu kwa top 6 naona guadiola kawa mwamba away and hom
Kuhusu mechi ijayo usiiongelee kabisa. Naweza nikakuchezea mpira zaidi ya huu na nikakupiga za kutosha.
 
Back
Top Bottom