Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Halafu nashangaa timu ikifungwa tu lawama zote zinatupwa kwa Pogba.
Kila mtu atanza kusema Pogba haibebi timu, kwahiyo mnataka Pogba acheze kama beki, kiungo na mshambuliaji kwa pamoja?
Kwasababu tusipofunga lawama ni zake, tukizidiwa kwenye kiungo lawama ni zake, tukifungwa lawama ni zake.
 
Wachezaji wetu sijui wamekuwaje, ukiangalia kikosi alichochukua nacho ubingwa Ferguson mara ya mwisho na hiki alichonacho Mou hiki cha mou kina wachezaji wanaoonekana wazuri zaidi..

Ona kitu kama hiki.. Sijui ni hawaonani au ni nini View attachment 562023
Hii ni moja ya maamuzi ya hivyo ya Pogba, hili lilikuwa goli kama angewangalia wenzake zaidi ya alichokifanya hakuwa na sababu ilikuwa kutuliza akili kwa mchezaji wa aina yake.
We huwa ni mpinzani lakini kwa leo wacha nikupe like yangu maana umenikuna kuhusu pogba. Sema mou anaionea aibu $100M yake kukaa bench.

Sent using Jamii Forums mobile app


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Timu ikifanya vibaya lazima critics ziende kwa wachezaji au kocha,ni jambo la kawaida kwenye mpira, sio pogba tu anayesemwa,vipi kuhusu Fellaini na kitu kingine ukiona shabiki anamponda mchezaji jua kua anaamini huyo mchezaji anaweza fanya mambo makubwa zaidi ya alivyodisplay kwenye hiyo mechi husika aliyopondwa, After all critics zimewabuild wachezaji kibao mfano wao CR7.
 
Timu ikifanya vibaya lazima critics ziende kwa wachezaji au kocha,ni jambo la kawaida kwenye mpira, sio pogba tu anayesemwa,vipi kuhusu Fellaini na kitu kingine ukiona shabiki anamponda mchezaji jua kua anaamini huyo mchezaji anaweza fanya mambo makubwa zaidi ya alivyodisplay kwenye hiyo mechi husika aliyopondwa, After all critics zimewabuild wachezaji kibao mfano wao CR7.

Man United ikifungwa tu lawama zote zinaenda kwa Pogba, mechi ya Madrid, Rashford alikosa goli la wazi, Lukakua alikosa goli la wazi lakini lawama anatupiwa Pogba
 
Man United ikifungwa tu lawama zote zinaenda kwa Pogba, mechi ya Madrid, Rashford alikosa goli la wazi, Lukakua alikosa goli la wazi lakini lawama anatupiwa Pogba
Pogba ndo spotlight pale,na hivi ana price tag syndrome,watu wana expect makubwa sana kutoka kwake,ila mi naamini msimu atawaziba watu mdomo,atafanya mambo makubwa sana.
 
Halafu nashangaa timu ikifungwa tu lawama zote zinatupwa kwa Pogba.
Kila mtu atanza kusema Pogba haibebi timu, kwahiyo mnataka Pogba acheze kama beki, kiungo na mshambuliaji kwa pamoja?
Kwasababu tusipofunga lawama ni zake, tukizidiwa kwenye kiungo lawama ni zake, tukifungwa lawama ni zake.
na tukishinda utaambiwa goli la offside,

n0 r0se with0ut th0rn
 
Sikuangalia full mechi hata moja ya pre-season licha ya highlights baada ya game ya Real Madrid niliona yafuatayo

DEFENDERS

CB back walicheza vizuri tatizo sielewi kwa nini walikuwa wancheza offside trick (karibia mara 4) na baadhi ya mabeki Lindelof na Darmian walikuwa wanajisahau na kuvunja offside kwa wapinzani.Smalling alicheza vizuri sana i think kusajiliwa kwa Lindelof kumemfanya aamke.Bailly akicheza katikati huwa anafanya ukuta unakuwa salama kabisa

FULLBACK
Mpira wa siku hizi fullback wana impact kubwa sana kwenye kuanzisha mashambulizi na kutengeneza magoli (Carvajal,Marcelo,Alves,Sandro,Bellerin,Rose,Walker,Mendy).Valencia huwa anapanda vizuri lakini final ball zake ni mbovu na huwa anachelewa sana kufanya decision to be honest United wanahitaji new RB ambaye ni mzuri kwenye kushambulia
,Darmian sio beki wa kushambulia tusubiri Shaw akiwa fit atatusaidia.Blind ni mzuri sana kwenye kushambulia lakini sio mzuri kwenye defence akichezeshwa kushoto

MIDFIELDERS
Kwa perfomance ya ile game unaweza kusema kuwa Matic alikuwa mchezaji wa United tangu zamani while Herrera na Pogba ndio wachezaji wapya.Matic amebalance defensive na offensive msimu uliopita alitoa assist 7.Usajili wa Matic unamfanya Pogba awe free lakini anatakiwa kuwa makini kufanya final decision hasa kufunga na kutoa pass za mwisho.Huu ni msimu muhimu sana kwa Pogba anapaswa kuacha kucheza na jukwaa kusajiliwa kwa Matic ina maana anapswa kutoa assist nyingi na kufunga magoli mengi zaidi

Herrera amekuwa affected na position aliyocheza msimu uliopita DM imemfanya amekuwa anacheza sana nyuma na ufanisi wake kwenda mbele umepungua,I hope atazoea kucheza mbele zaidi kama ule msimu wake wa kwanza ambao alifunga magoli mengi zaidi.Pia I hope Mourinho atampa nafasi ya kucheza Andreas Perreira huyu sina wasiwasi nae kabisa
Fellaini ataendelea kuwa best Mourinho plan B player ndio maana Jose alisema ni rahisi yeye kuondoka kuliko Fellaini


FOWARD
Hapa ndio tuna tatizo kubwa sana msimu huu Lingard,Mata,Mkhitaryan,Rashford,Martial wanapaswa kufanya kazi kubwa tofauti na msimu uliopita kumpunguzia striker(Lukaku) mzigo wa kufunga magoli. Kama Zlatan akirejea atasaidia sana kupunguza mzigo kwenye ufungaji,Licha ya Madrid kutawala sana ile mechi kama Lukaku na Rashford wangekuwa makini kwenye umaliziaji still United angeshinda ndani ya dakika 90
 
Jose Mourinho on Danny Rose: "Mr Levy wouldn't be happy if I comment and because I'd nothing to do with that interview."
hakuna mwanadamu mgumu sana kufanya nae biashara kama daniel levy hata sir alex ferguson analijua hilo.angalia alivyotufanyia kwenye dili la michael carrick na berbatov, florentino perez na ubishi wake alinyoosha mikono juu kwa jamaa na kuishia kulipa pound million 85 kwa gareth bale.

sport-preview-levy.jpg
 
Pogba anacheza na jukwaa mnooo. Jamaa akipiga ata mwamba tuu linavoangalia mashabikiii. Anyway! Vipi predicted lineup ya leo?

Nyie ndio mnamtazama Pogba kwa kila anachofanya.

Kikosi changu cha leo.

4-1-2-3

De Gea

Valencia-Bailly - Jones - Darmian
Matic
Herrera- Pogba
Mata - Lukaku - Martial
 
Halafu nashangaa timu ikifungwa tu lawama zote zinatupwa kwa Pogba.
Kila mtu atanza kusema Pogba haibebi timu, kwahiyo mnataka Pogba acheze kama beki, kiungo na mshambuliaji kwa pamoja?
Kwasababu tusipofunga lawama ni zake, tukizidiwa kwenye kiungo lawama ni zake, tukifungwa lawama ni zake.
Kuna kitu kimoja tunapishana juu ya Pogba,kwanini lawama zinaelekezwa kwake mara nyingi timu inapofanya vibaya na sifa huelekezwa kwake timu inapofanya vizuri ni kwasababu Pogba ndio Star wetu wa timu kwa sasa tulifahamu hili.

Anapokuwa uwanjani Camera na macho ya Wachambuzi humuangalia yeye zaidi na hata sisi mashabiki wake hii ni sawa na Messi kwa Barca,Cr7 kwa Madrid, Sanchez kwa Asernal na mastaa wa aina yake.

Kwa Man kwa sasa hata kocha anapopanga timu huanza kumuangalia Pogba ndio chaguo la kwanza, na akianza banch kunakuwa na maelezo kwa sababu ni mchezaji mwenye gharama na Star kwa timu.


Pili ni rahisi kuonekana anapofanya vizuri na vile vile ni rahisi kuonekana anapofanya vibaya kwa sababu watu wengi kuna kitu wanategemea kutoka kwake kutokana na thamani yake ndani ya timu.

Na ndio mana umeona akina Scholes, Moyes na Gary Nevile wakisema bado Pogba amekuwa hafanyi vizuri kwenye game kubwa sio ndani ya Man U tu lawama hizi amekuwa akipewa hata timu ya taifa.

Kwanini tunamtaka Pogba kudhihirisha ubora wake timu inapofanya Vibaya ni kutokana na nafasi yake ndani ya Uwanja.

Yeye ndio injini ya timu katika kushambulia kwa sasa, ni namba 8 anapopokea mpira eneo la juu kutoka kwa viungo wa ukabaji au mabeki wetu na ni namba 10 or 11 or 7 timu inaposhambulia katika eneo la ushambuliaji.

Hivyo anakuwa na Sifa za kupandisha mashambulizi au kuanzisha mashambulizi au kushambulia na kufunga inapopatikana nafasi.

Hapa nadhani utakuwa umeona aina ya uchezaji wa Zindane kipindi akiwa mchezaji na utakumbuka aljchofanya katika timu ya Taifa miaka ya 98,2002 na 2006.

Lakini vile vile kama kiungo bado anajukumu la kwanza kabisa la kuzuia mashambulizi katika eneo lake kuzuia viungo wa ukabaji wa timu pinzani na beki wa kati kupanga mashambulizi.

Sasa game ya Juzi hakufanya kile kiichotarajiwa tulizidiwa katika eneo la kiungo hasa katika eneo lake na kuwapa kazi akina Herera na Matic na walizidiwa mana ilikuwa ni viungo 2 kwa 4 wa Madrid.

Na ukiingalia timu yetu kipindi cha kwanza tulikuwa tunakaba baada ya Madrid kuvuka nusu ya uwanja hivyo utaona kuwa namba 8,9,10 na 11 hawakufanya kazi yao vema hivyo mzigo kuhamia kwa Matic,Herera na mabaki sasa na mapungufu ya beki yetu na aina ya viungo tuliokokuwa tubakabiliana nao.

Sasa kama Star wa timu alitakiwa kutuonyesha kitu tofauti na ndio mana ukaona mabadiliko ya kuja Fellain kwa ajili ya kukaba eneo la juu na kutuliza mashabilizi na mipira ya juu.

Technjcally Pogba, Mikh na Lingard ndio waliotuangusha Katika game ile.

Martial na Matta tungewafikiria mapema nadhani wangekuwa na kitu tofauti katika nafasi za Lingard na Mikh .

Fellain na Rashford na Mikh Wangekuja kama sub.





Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom