Belo
JF-Expert Member
- Jun 11, 2007
- 12,912
- 10,262
Huyo Bakayoko umemuona mechi ngapi ?Matic n kiungo mzito ndiyo..... mfuatilie vizur mkuuu.. huwez compare mtu kama bakayoko na matic... yoko yupo faster sema nahis injuries sana
Sent using Jamii Forums mobile app
Matic amekuwa kikosi cha kwanza Chelsea na ana medali 2 za EPL jana Conte analalamika kwa nini management ya Chelsea walikubali kumuuza
:* "Real Madrid look like a team and Manchester Utd look like a work in progress."