Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Screenshot_20170813-085137.png

Hakuna namna ili Cotinho abaki kama tulivyofanya kwa De gea
 
Mimi ni mshabiki wa Arsenal lakini kisport Nina machache ya kusema kuhusu game ya Jana

Nimeona kuna watu wanalalamika sana kuhusu lingard kupata fursa over Martial,jibu ni jepesi tu aina ya uchezaji wa lingard Hata angekua Madrid angepata namba simply because he always deliver na anaonekana kutoridhika at all hao ndio wachezaji aliokua akiwatumia Hata mzee Ferguson Kua muda wote anahisi hayuko perfect so he has to pull up to deliver ili yeye asiwe chanzo cha lawama.

Watoto wengi wa juzi watamsifu Sana pogba lakini wale Man Utd of all time watanielewa hapa kuhusu Huyu Pogba Kua anaikost timu Sana simply because hanyumbuliki, karick ni mzuri lakini Matic ni mzuri zaidi Matic anauwezo mkubwa Sana kwenye kuleta matokeo kuliko karick Matic anapeleka mpila Sehemu usika naweza Sema timu Kama Manchester wapenda matokea Matic mmelamba dume lakini Bado Niko Na Pogba tatizo kubwa alilo nalo pogba anapoza mashambuliz Kwa kukaa na mipila pasipo maamuzi ya haraka ndio anafanya marking lakini Sio kwa ubora huo ndio maana at the end wasio elewa Wanaangalia watu Kama kina Fellaini ila believe me bora umchezeshe Fellaini over Pogba sababu anamaamuzi atakufanyia marking na defensive utacheza kwa amani. mourinho alipatia kumchezesha Rashfod na Fellaini aliesubir mipila mirefu lakini Kama alitaka matokeo ya uhakika Kwanini alimuacha Mata nje akamtoa mtu kama Herrera wakati LIMZIGO lipo linazunguka muda wote (Pogba) pale ni Fellaini Rashfod Mata while una Matic kunashida gani hapo pogba nje herrera atapokezana na Fellaini Mata anafanya kazi aliyowafanyia Isco Rashfod anapiga mipila mirefu imkute Lukaku Fellaini duara Matic anapiga pasi za maangamizi

Lakini kitacho mkost mourinho ni ubinafsi wake .

Sent using Jamii Forums mobile app
Nimeangalia match kati yetu na Real Madrid na nimeona chambuzi nzuri humu na Mkuu@ubarnGentleman umeongea vema hasa ulipowazungumzia Lingard,Matial na Matta.

Kwa kifupi, tumecheza na kufungwa na timu bora kwa sasa ulimwenguni, Madrid wamekamilika kila idara.

Sababu kubwa ya kufungwa kwetu ni timu kukosa uzoefu, Kikosi chetu ndio tunakiunda kufikia ubora wa Madrid, wachezaji wetu wanahitaji kucheza pamoja kwa misimu mitatu au zaidi kuwa na ubora wa 99's

Kulikuwa na mapungufu makubwa Sana kwenye eneo la Beki yetu pengo la Baily na Rojo lilionekana dhahiri kabisa, nilionesha wasiwasi wangu katika eneo hili mapema.

Lakini kama wengi wetu tulivyotegemea tumeona kuimarika kwa eneo la kiungo, Matic ameongeza kitu katika eneo la kiungo, Chelsea nadhani sasa wanajutia juu ya maamuzi yao. Jamaa amepiga mpira mwingi mno basi tu kazi yake imeshindwa kunogeshwa na Pogba

Kazi nzuri kwa Matic, De gea, Fellain, Lukaku,Rashford,Herera na Valecia wameonesha kitu even Darmian

Lakini nasikitishwa na uwezo wa Pogba bado kuna shida kama tutaendelea kuipanga timu kwa kumuangalia Pogba, pamoja na gharama ya fedha alizonunuliwa Pogba anatakiwa kudhihirisha ubora na uwezo wake ndani ya Man U kama anataka kuwa mfalme wa Oldtraford, bado ana deni kwa mashabiki wa Man united.

Kwa kiasi kikubwa kufungwa kwetu kulitokana na poor performnce kutoka kwake, alishindwa kudrive timu katika eneo la mbele, akawapa kazi kubwa akina Herera, Lingard, Mikh na Lukaku.

Sasa nakubaliana na wengi humu kuna umuhimu wa kusajiliwa kwa Winger @Perisic kwa ajili ya kudrive timu

Ama tuanze kuwaamini Martial na Matta katika wingi ya kushoto na kulia.

Ni rahisi kocha kuipata first eleven kwa Madrid lakini ni ngumu kwa sasa kupata first eleven kwa urahisi kwa Man United, hasa eneo la kiungo kama Pogba hatobadlika.

Tunahitaji Match zaidi ya 10 - 15 kujua kikosi chetu cha kwanza.

Tuone mabadiliko ya kikosi chetu leo tukicheza na West ham.



Sent using Jamii Forums mobile app
 
Pogba jana kacheza vizuri sana,wao na Matic waliwexa kuhakikisha timu inacheza na mipira inafika mbele. Najua mnamuogopa Pogba sana ndio maana tukifungwa lazima mumuongelee.
Kwanza mmewai kucheza Super Cup?
Hapana napingana na mashabiki wenzangu wa Man U, jana Pogba alikuwa katika kiwango kibovu zaidi tulivyotegemea angalia maoni ya wachambuzi wengi kuhusu Pogba katika Match ya jana.

Hakuwa katika kiwango chake, wengi tulishangazwa kutolewa kwa Herera na kuachwa Pogba uwanjani.

Pogba ni mchezaji mzuri akijitambua na akiacha Kuridhika na kujiskia, anakosa Moyo wa Cr7 katika kupambana.

Bado sio wa kumtegemea katika Match kubwa au kubadilisha matokeo tunapohjtaji kufanya hivyo.

Match ya Madrid alicheza hovyo mno, hadi sasa ni Match na Chelsea old T ndio alionesha angalau nusu ya uwezo wake.

Anatakiwa kubadikika kama anataka kweli kuwa Mchezaji bora wa Dunia na mfalme wa old T.

Vinginevyo Mou anatakiwa kuanza kumuweka banch ili kumpa changamoto.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hapana napingana na mashabiki wenzangu wa Man U, jana Pogba alikuwa katika kiwango kibovu zaidi tulivyotegemea angalia maoni ya wachambuzi wengi kuhusu Pogba katika Match ya jana.

Hakuwa katika kiwango chake, wengi tulishangazwa kutolewa kwa Herera na kuachwa Pogba uwanjani.

Pogba ni mchezaji mzuri akijitambua na akiacha Kuridhika na kujiskia, anakosa Moyo wa Cr7 katika kupambana.

Bado sio wa kumtegemea katika Match kubwa au kubadilisha matokeo tunapohjtaji kufanya hivyo.

Match ya Madrid alicheza hovyo mno, hadi sasa ni Match na Chelsea old T ndio alionesha angalau nusu ya uwezo wake.

Anatakiwa kubadikika kama anataka kweli kuwa Mchezaji bora wa Dunia na mfalme wa old T.

Vinginevyo Mou anatakiwa kuanza kumuweka banch ili kumpa changamoto.

Sent using Jamii Forums mobile app

Unashangaa ni kwanini Herrera alitolewa na Pogba akaachwa uwanjani? Kweli uliangalia mechi? Uliangalia jinsi Herrera alivyokua mbovu uwanjani? Yule Herrera aliecheza dhidi ya Madrid sio Herrera wa msimu uliopita.
Herrera wa mechi ya Madrid alikua mbovu sana na ndie aliesababisha eneo la katikati ya uwanja kupwaya. Na alivyoingia Fellain tukaweza kucheza kama timu kwasababu Herrera alishindwa kuendanana na kasi ya mchezo.
Pogba na Matic walicheza vizuri sana na sitosita kuwapongeza.
Halafu Pogba sio mchezaji wa kubadili matokeo kwasababu yeye sio namba 9,10,11 wala 7. Waliotakiwa kubadili matokeo nadhani uliona utumbo waliokua wanaufanya. Pogba apewe heshima yake ata kama mna chuki nae.
 
Nimeangalia match kati yetu na Real Madrid na nimeona chambuzi nzuri humu na Mkuu@ubarnGentleman umeongea vema hasa ulipowazungumzia Lingard,Matial na Matta.

Kwa kifupi, tumecheza na kufungwa na timu bora kwa sasa ulimwenguni, Madrid wamekamilika kila idara.

Sababu kubwa ya kufungwa kwetu ni timu kukosa uzoefu, Kikosi chetu ndio tunakiunda kufikia ubora wa Madrid, wachezaji wetu wanahitaji kucheza pamoja kwa misimu mitatu au zaidi kuwa na ubora wa 99's

Kulikuwa na mapungufu makubwa Sana kwenye eneo la Beki yetu pengo la Baily na Rojo lilionekana dhahiri kabisa, nilionesha wasiwasi wangu katika eneo hili mapema.

Lakini kama wengi wetu tulivyotegemea tumeona kuimarika kwa eneo la kiungo, Matic ameongeza kitu katika eneo la kiungo, Chelsea nadhani sasa wanajutia juu ya maamuzi yao. Jamaa amepiga mpira mwingi mno basi tu kazi yake imeshindwa kunogeshwa na Pogba

Kazi nzuri kwa Matic, De gea, Fellain, Lukaku,Rashford,Herera na Valecia wameonesha kitu even Darmian

Lakini nasikitishwa na uwezo wa Pogba bado kuna shida kama tutaendelea kuipanga timu kwa kumuangalia Pogba, pamoja na gharama ya fedha alizonunuliwa Pogba anatakiwa kudhihirisha ubora na uwezo wake ndani ya Man U kama anataka kuwa mfalme wa Oldtraford, bado ana deni kwa mashabiki wa Man united.

Kwa kiasi kikubwa kufungwa kwetu kulitokana na poor performnce kutoka kwake, alishindwa kudrive timu katika eneo la mbele, akawapa kazi kubwa akina Herera, Lingard, Mikh na Lukaku.

Sasa nakubaliana na wengi humu kuna umuhimu wa kusajiliwa kwa Winger @Perisic kwa ajili ya kudrive timu

Ama tuanze kuwaamini Martial na Matta katika wingi ya kushoto na kulia.

Ni rahisi kocha kuipata first eleven kwa Madrid lakini ni ngumu kwa sasa kupata first eleven kwa urahisi kwa Man United, hasa eneo la kiungo kama Pogba hatobadlika.

Tunahitaji Match zaidi ya 10 - 15 kujua kikosi chetu cha kwanza.

Tuone mabadiliko ya kikosi chetu leo tukicheza na West ham.



Sent using Jamii Forums mobile app

Mbona kikosi cha kwanza kinajulikana.

4-3-3
De Gea
Valencia
Bailly
Jones
Darmian
Matic
Herrera
Pogba
Martial
Micki
Lukaku.
Hiki ndio kikosi chetu cha kwanza na kinaweza kukupa matokeo mazuri kabisa.
 
Nimeangalia match kati yetu na Real Madrid na nimeona chambuzi nzuri humu na Mkuu@ubarnGentleman umeongea vema hasa ulipowazungumzia Lingard,Matial na Matta.

Kwa kifupi, tumecheza na kufungwa na timu bora kwa sasa ulimwenguni, Madrid wamekamilika kila idara.

Sababu kubwa ya kufungwa kwetu ni timu kukosa uzoefu, Kikosi chetu ndio tunakiunda kufikia ubora wa Madrid, wachezaji wetu wanahitaji kucheza pamoja kwa misimu mitatu au zaidi kuwa na ubora wa 99's

Kulikuwa na mapungufu makubwa Sana kwenye eneo la Beki yetu pengo la Baily na Rojo lilionekana dhahiri kabisa, nilionesha wasiwasi wangu katika eneo hili mapema.

Lakini kama wengi wetu tulivyotegemea tumeona kuimarika kwa eneo la kiungo, Matic ameongeza kitu katika eneo la kiungo, Chelsea nadhani sasa wanajutia juu ya maamuzi yao. Jamaa amepiga mpira mwingi mno basi tu kazi yake imeshindwa kunogeshwa na Pogba

Kazi nzuri kwa Matic, De gea, Fellain, Lukaku,Rashford,Herera na Valecia wameonesha kitu even Darmian

Lakini nasikitishwa na uwezo wa Pogba bado kuna shida kama tutaendelea kuipanga timu kwa kumuangalia Pogba, pamoja na gharama ya fedha alizonunuliwa Pogba anatakiwa kudhihirisha ubora na uwezo wake ndani ya Man U kama anataka kuwa mfalme wa Oldtraford, bado ana deni kwa mashabiki wa Man united.

Kwa kiasi kikubwa kufungwa kwetu kulitokana na poor performnce kutoka kwake, alishindwa kudrive timu katika eneo la mbele, akawapa kazi kubwa akina Herera, Lingard, Mikh na Lukaku.

Sasa nakubaliana na wengi humu kuna umuhimu wa kusajiliwa kwa Winger @Perisic kwa ajili ya kudrive timu

Ama tuanze kuwaamini Martial na Matta katika wingi ya kushoto na kulia.

Ni rahisi kocha kuipata first eleven kwa Madrid lakini ni ngumu kwa sasa kupata first eleven kwa urahisi kwa Man United, hasa eneo la kiungo kama Pogba hatobadlika.

Tunahitaji Match zaidi ya 10 - 15 kujua kikosi chetu cha kwanza.

Tuone mabadiliko ya kikosi chetu leo tukicheza na West ham.



Sent using Jamii Forums mobile app
Pogba n mzuri ila kuna muda anaacha kucheza mpira ili timu ipate ushindi yeye anaanza kucheza na wale wanaomdiss...hapa duniani ukitaka ushindwe anza kuwaridhisha wanaokudharau , tena uwaridhishe kwa nguvu...itakuchukua nishati nyingi sana.

Pogba anatakiwa akipata mpira apige chenga chache sana...au asipge kabisa iwap kuna nafasi yeye aangalie vijana wake wako wapi hasa wala watatu...wa mbele yake.

Napenda sana moto wa mikh yeye akipata mpira hana haja yeye ni kupeleka presha mbele ya timu pinzani, kwanza anaspeed kubwa pia uwezo wa kukimbia na mpra.

Alafu kingine Mikh anajitahidi sana kupiga mashoot golini anapofika karibia na kumi na nane ya adui...pia accuracy yake ipo nzuri , mie huwa naona ni mara kumi mchezaji apge shuti alafu kipa adake kuliko kupiga minazi kama ya pogba.

Pogba anapokuwa na golikipa, anakuwa hana sana umakini huishia kupga juu au kipa kudaka...hili tatizo analo sana rashford maana huwa anapiga huko huko ata kipo alipolalia.
 
Pogba n mzuri ila kuna muda anaacha kucheza mpira ili timu ipate ushindi yeye anaanza kucheza na wale wanaomdiss...hapa duniani ukitaka ushindwe anza kuwaridhisha wanaokudharau , tena uwaridhishe kwa nguvu...itakuchukua nishati nyingi sana.

Pogba anatakiwa akipata mpira apige chenga chache sana...au asipge kabisa iwap kuna nafasi yeye aangalie vijana wake wako wapi hasa wala watatu...wa mbele yake.

Napenda sana moto wa mikh yeye akipata mpira hana haja yeye ni kupeleka presha mbele ya timu pinzani, kwanza anaspeed kubwa pia uwezo wa kukimbia na mpra.

Alafu kingine Mikh anajitahidi sana kupiga mashoot golini anapofika karibia na kumi na nane ya adui...pia accuracy yake ipo nzuri , mie huwa naona ni mara kumi mchezaji apge shuti alafu kipa adake kuliko kupiga minazi kama ya pogba.

Pogba anapokuwa na golikipa, anakuwa hana sana umakini huishia kupga juu au kipa kudaka...hili tatizo analo sana rashford maana huwa anapiga huko huko ata kipo alipolalia.

Pogba na Micki kwenye umaliziaji hawana utofauti, angalia msimu uliopita walivyokua wanakosa magoli ya wazi.
Halafu tatizo lingine la Micki ni kushindwa kuficha mpira na kuanguka ovyo.
Mfano mechi ya Madrid alipata nafasi ya kupita kwenda kufunga lakini alinguka bila sababu yoyote.
 
Back
Top Bottom