Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Arsenal A imeshinda ama umesahau... Uwanja wao waache wajidai leo...
Haya sasa kwa leo naishia hapa sasa..


...Subiria extra time bana, hutaki kuangalia penalties?
 
Ni makosa kulinganisha ligi ya spain na england kwa reference ya Barca na madrid tu. La Liga ni ligi ya timu mbili tu wakati england kuna timu nyingi
Soma posti yangu yote we farisayo,we umeona hizo mbili tu?Nimetaja zaidi,shirikisha.
 
_53049853_012095123-1.jpg



Nasikia Wine Romney kidogo ampige refa ..... ..... khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeee


_53049901_012095146-1.jpg


Hivi huyu dogo kumbe alikuwa uwanjani? khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee


_53050367_012095974-1.jpg


Nasikia Fungie alikuwa anatetemeka kwenye
dakika za majeruhi .... ..... presha ilipanda sana .....


_53050734_012096288-1.jpg



Chacha ndio mjue zipi ni mbivu khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee

Mkitoka kaburini muache ngebe bila hivyo mtazikwa kimoja ....
 
  • Thanks
Reactions: Mbu
...Subiria extra time bana, hutaki kuangalia penalties?
Mkuu ngoja nikuulize swali ebu nitajie timu gani Europe ambayo ilikuwa na uwezo wa kuifunga Barca leo?
Man Utd best team in England second best in Europe this season. Fact.
 
Man Utd si kama wanaorefusha pua wakifungwa

Achana na hao Arsenal, wenyewe hata medali hawajapata!!...ila angalau wapunguze hasira na stress za timu yao leo!!..wabandike mapicha,wabandue na mwisho wakakojoe na kulala.....khe khe khe
Adui mwombee njaa si unajua tena!!..imeshakuwa historia!!
 
Mkuu ngoja nikuulize swali ebu nitajie timu gani Europe ambayo ilikuwa na uwezo wa kuifunga Barca leo?
Man Utd best team in England second best in Europe this season. Fact.

...Pheewww, afadhali. Nilidhani ushaenda kulala. Eti naskia kwakuwa game imechezewa England, kipigo cha leo ni sawa mmetandikwa SITA (6) SIX - moja? he he he...jamaa wabaya kweli hapa, wanahesabu mawili mawili,
he he he!
 
...Subiria extra time bana, hutaki kuangalia penalties?

Mbona leo umekuwa mmbea hivi jamani, lol...kwani kuna aliyekataa tumefungwa??!! rudi kulala bwana!!!!
halafu tumefungwa 10-0, sijui hukuangalia mechi mpaka mwisho!!lmao
 
  • Thanks
Reactions: Mbu
article-1391944-0C50A26B00000578-646_634x417.jpg


The untouchables: Wayne rooney looks stunned
as Barca celebrate at the final whistle



article-1391944-0C5088C700000578-609_634x405.jpg


The Little Maestro strikes: Lionel Messi surprises the United rearguard,
firing Barca 2-1 ahead



article-1391944-0C507A9000000578-460_634x425.jpg

Falling behind: Edwin van der Sar looks ruefully at his net
after Pedro (unsighted) gave the Catalans the advantage

article-1391944-0C50A60800000578-698_634x434.jpg

Fungie akisononeka khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee



article-1391944-0C50A6CC00000578-300_634x446.jpg


Food for thought: Rooney and Ryan Giggs contemplate another defeat at the hands of Barcelona

Mfarisayo, Manda, Belo, Ngongo, BJ et al mambo ni aje?
Khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeee
 
Achana na hao Arsenal, wenyewe hata medali hawajapata!!...ila angalau wapunguze hasira na stress za timu yao leo!!..wabandike mapicha,wabandue na mwisho wakakojoe na kulala.....khe khe khe
Adui mwombee njaa si unajua tena!!..imeshakuwa historia!!


kwenye fainali hakuna mshindi wa pili. Kuna Bingwa tu, he he he!
 
kwenye fainali hakuna mshindi wa pili. Kuna Bingwa tu, he he he!

Hamna sehemu nimesema mshindi wa pili katika comments zangu zote kwenye fainali hii..don't contradict yourself kamanda!!!..lmao
btw, kanisome hata thread ya 'fainal uefa'..hiyo ya mshindi wa pili labda umemsoma mtu mwingine. pole sana!!!
 
  • Thanks
Reactions: Mbu
Mbona leo umekuwa mmbea hivi jamani, lol...kwani kuna aliyekataa tumefungwa??!! rudi kulala bwana!!!!
halafu tumefungwa 10-0, sijui hukuangalia mechi mpaka mwisho!!lmao

Limao limefanyaje tena? kalaleni nyie bana. Mbona mnatulazimisha tuondoke? Msiba wa taifa huu... he he he...
 
Hamna sehemu nimesema mshindi wa pili katika comments zangu zote kwenye fainali hii..don't contradict yourself kamanda!!!..lmao
btw, kanisome hata thread ya 'fainal uefa'..hiyo ya mshindi wa pili labda umemsoma mtu mwingine. pole sana!!!

...Sasa ukali wa nini jamani, msiba wetu sote huu. Tulipenda lakini Barcelona kapenda zaidi! he he he
 
Lionel-Messi-Trophy-Barcelona-Champions-Leagu_2602942.jpg



Fungie ameamua kukata rufaa kwa nini Barca wameua lakini hawashitakiwi?

Khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee
 
  • Thanks
Reactions: Mbu
...mfarisayo rudi bana, au umekwenda ku Copy uje ku Paste hapa? he he he
 
Wacha1 endelea kumwaga mapicha ya uthibitisho hapa bana, wengine bado hawaamini...
wamejazana kule chini; There are currently 42 users browsing this thread. (17 members and 25 guests),...he he he!
 
Back
Top Bottom