klorokwini
JF-Expert Member
- Dec 2, 2009
- 8,647
- 5,145
hehehe kusema kweli leo Manu walinikumbusha timu flani inaitwa Majimaji ya songea. Dah!
Kati ya mambo yote yaliyonichekesha leo ni jamaa mmoja kaja na kelele kuwa kwa timu zote za Uingereza Arsenal pekee yake ndio imeweza kuifunga Barca.Mtabaki hivyo hivyo na mawazo ya bahasha watu wanancheza game bwana.
Vyovyote vile sisi ni mabingwa tu
nyinyi watoto wadogo mko wapi?
Tuko hapa sema unataka usaidiweje?
tuko babu yetu, unasemaje? mana kama mambo umeshajionea..
Kati ya mambo yote yaliyonichekesha leo ni jamaa mmoja kaja na kelele kuwa kwa timu zote za Uingereza Arsenal pekee yake ndio imeweza kuifunga Barca.
Wanaota haoKati ya mambo yote yaliyonichekesha leo ni jamaa mmoja kaja na kelele kuwa kwa timu zote za Uingereza Arsenal pekee yake ndio imeweza kuifunga Barca.
Mkuu najua unatania sasa..ngoja washabiki wa Liverpool wakusome, mie simo.kuna ka ukweli hapo...
kuna ka ukweli hapo...
Mkuu najua unatania sasa..ngoja washabiki wa Liverpool wakusome, mie simo.
Wanaota hao
Mkuu najua unatania sasa..ngoja washabiki wa Liverpool wakusome, mie simo.Thibitisha
...na nyie mnaota ndoto mbaya leo mnafungwa na Barcelona,...kesho mkiamka ndio fainali ee? ha ha ha!
...hee, kwenye TV yangu hapa Messi kafunga cha pili, mabeki wamesimama wanamshangaa...
jitahidini bana, mnaweza sawazisha!...he he he!
![]()
Ngebe zote leo kwishnei ....... ......
khe khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeee
Umefurahi utadhani ndo arsenal wameshinda
Arsenal A imeshinda ama umesahau... Uwanja wao waache wajidai leo...Umefurahi utadhani ndo arsenal wameshinda
Kweli premier league longolongo nyingi (yaani kama waingereza walivyo vile) .. kumbe hamna kitu tu!