Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

msijali wapendwa nafikiri kifo chenu ni kizuri baba mt pep gurdiola amewabatiza kwa jina la messi na la iniesta na la xavi mtakatifu mmepata pia sakrameti ya kitubio na upako wa wagonjwa pia kwaya machachari ya barca the catalan imewatumbuiza sana kwenye misa nyie red devil hongereni kwa kuwa watiifu kipindi chote cha misa na kwenye mahubiri mmemsikia baba mt pep akiziasa timu zingine ziige uamuzi wenu
 
kuna muuza chips ni man u kapandisha bei ghafla!!!!!!!!
 

Attachments

  • piss-on-man-u-clock-widget-10-2.jpg
    piss-on-man-u-clock-widget-10-2.jpg
    24.9 KB · Views: 97
That is for the Champs hakuna looser aliyepewa medal. Kama loosers wangekuwa wanapewa medal basi Fabregas, Gerald, Lampard and their Cos. wangevalishwa leo



There's nothing like losing champs, the second best always collects loser's medal. Nakubaliana na wewe kwamba Manure sio LOOSERS, lakini ni LOSERS!....LOSER and not LOOSER as you put it! Once again, you got a LOSER'S MEDAL, I repeat, LOSER'S MEDAL....and yes, hao uliowataja wanaweza kuwa "LOOSERS" lakini wewe na Manure ni LOSERS.
 
  • Thanks
Reactions: Mbu
...Vipi, mmeukimbia msiba wenu? he he...sisi ni waombolezaji tu,
hata mki 'myuti,' ukweli utabakia ukweli hapa pana msiba!

..., hebu rudini hapa tuendeleze matanga! he he...heh!
Wacha1 weka picha bana, Ab-titchaz labda anawaonea haya wafiwa! he hehe h!
 
...Vipi, mmeukimbia msiba wenu? he he...sisi ni waombolezaji tu,
hata mki 'myuti,' ukweli utabakia ukweli hapa pana msiba!

..., hebu rudini hapa tuendeleze matanga! he he...heh!
Wacha1 weka picha bana, Ab-titchaz labda anawaonea haya wafiwa! he hehe h!

We unataka watu wakae matanga mwezi mzima? Msiba ushapita kinachofuata ni kazi na kupanga yajayo by the way kwa kuwa unakotoka kuna njaa (Trophless) kaa tu hapa tutakulisha for all days that u will be here.
 
There's nothing like losing champs, the second best always collects loser's medal. Nakubaliana na wewe kwamba Manure sio LOOSERS, lakini ni LOSERS!....LOSER and not LOOSER as you put it! Once again, you got a LOSER'S MEDAL, I repeat, LOSER'S MEDAL....and yes, hao uliowataja wanaweza kuwa "LOOSERS" lakini wewe na Manure ni LOSERS.

Meseji sent and delivered
 
We unataka watu wakae matanga mwezi mzima? Msiba ushapita kinachofuata ni kazi na kupanga yajayo by the way kwa kuwa unakotoka kuna njaa (Trophless) kaa tu hapa tutakulisha for all days that u will be here.

duuuh asavali, asanteeee!...naweza kurithi mali za marehemu? mf; Picha za magoli? heh hehe!
 
Aya waungwana....mm sina la kusema...asanteni kwa kampani yenu tangu msimu uanze hadi sasa...as far as am concerned JF kwangu nakuja kwa sbb ya Soka, hence, kwa kipindi hiki napumzika kwa mda...

Big up kwa fans wenzangu wa Manure, Eqlpz, Papizo, Mfarisayo, RR, ngongo, BJ, et al

Haters wa Manure ambao walikuwa wanachangamsha kijiwe Wacha1, rafiki zangu Mbu na AW..peasant na ab tchaz, pia kuna Mchungaji masa na BBK, na Michelle, MTN na Balantanda...na mavuvuzela wooote ambao tumewazoea kuchonga sana afu mwisho wa siku wanawai kwenda kulala...

Kila la kheri waungwana na likizo njema.

Manda Boy.

BTW Mwenye matokeo ya mechi ya jana CL final ani PM.
 
Naomba kuuliza hivi baada ya kuuangalia mpira jana, MaNU waliwezaje kushinda EPL? Maana jana walipelekwa shule an udhaifu wao pale midfield na front line ulikuwa mkubwa mno.

Je ni kuwa Chelsea, Arsenal, ManCity, Liverpool na hata Evarton na Totte walikuwa na subpar season au EPL na misifa yote haina ladha bali mpira mabutuabutua?

In 10 or 15 first minutes, Barca walikuwa na 111 passes completed na ratio could have been almost 95%+ accuracy...this is scary!
 
  • Thanks
Reactions: Mbu
Naomba kuuliza hivi baada ya kuuangalia mpira jana, MaNU waliwezaje kushinda EPL? Maana jana walipelekwa shule an udhaifu wao pale midfield na front line ulikuwa mkubwa mno.

Je ni kuwa Chelsea, Arsenal, ManCity, Liverpool na hata Evarton na Totte walikuwa na subpar season au EPL na misifa yote haina ladha bali mpira mabutuabutua?

In 10 or 15 first minutes, Barca walikuwa na 111 passes completed na ratio could have been almost 95%+ accuracy...this is scary!

...mchungaji naona nawe unatafuta kununiwa tu hapa.
 
Wakuu huku alaska ndio kwanza tunamaliza breakfast, si unajua tena breakfast za weekend ..... ... .... ati nasikia Manure ndani ya dakika 90- walipata only one shot on target khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee then wanasema ati Wine Romney ni best player khe khe maajabu ya dunia wakati huo huo Fungie anasema ati Mpira ndivyo unavyotakiwa kuchezwa wakati yeye kila uchwao anatoa Bahasha, huyu mzee chacha anakuwa anatoa pumba tu hebu wampe cheo kingine cha chijui OBE wamefulia big time ...... .... ....
 
  • Thanks
Reactions: Mbu
article-1391990-0C51055400000578-21_634x518.jpg


No surprises: Barcelona academy graduate Pep Guardiola, who has won the European Cup with the club as manager and player, will not be taking up a role at Stamford Bridge
 
article-1391990-0C50AE2E00000578-659_634x396.jpg



Sky's the limit: Guardiola was the toast of Barcelona following victory at Wembley (above) and doesn't want to swap his role for the top job at Stamford Bridge



article-1391990-0C50BEC300000578-627_634x481.jpg


article-1391990-0C50887100000578-976_634x399.jpg


Messi the magician
 
article-0-0C50BBE300000578-434_634x360.jpg



Plenty to Roo: Wayne Rooney casts an envious glance
at Barcelona's celebrations




article-0-0C50EC7200000578-98_634x455.jpg



Pure magic: Lionel Messi gets to grips with Old Big Ears once more




article-0-0C50D9A400000578-658_634x412.jpg


Leading a merry dance: Messi and Barcelona continue the party on the Wembley pitch

Huu mdundiko hata m k w e r e wangemwalika angekuja khe khe kheeeeeeeeeeee




article-0-0C5096F800000578-44_634x389.jpg


Khe khe khe klheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee
 
article-1391944-0C50A74C00000578-378_634x406.jpg



Joining the greats: Victor Valdes, Xavi and Eric Abidal toast
another memorable night for the kings of Europe
 
Back
Top Bottom