Kuwanunua wote wawili Lindelof na Semedo Benfica wanadai kitita cha £83 mill.
Kama Victor ni £ 35 basi Semedo hata £25 inawatosha Benfica
 
Kila mifielder pale Epl aking'ara basi atalinganishwa na Pogba

Msimu huu kulikuwa na:

Kante vs Pogba

Wijnaldum vs Pogba

Xhaka vs Pogba

Fernandinho vs Pogba

Dembele vs Pogba

Kwa ufupi,Pobga ndio reference yao.

Tukubaliane, kutokubaliana. Spurs msimu huu ulioisha ndio timu iliyokuwa na viungo bora kabisa. Musa Dembele, kwangu huyu ndio kiungo bora kwa sasa pale epl. Jamaa anapiga soka la nguvu,(physics) la akili. Anajua. Huyu kwa wale mliowahi kumwona Patrick Viera hawa jamaa wanafanana sana kwa kila kitu.

Victor wanyama. Huyu ni zaidi ya aliyekuwa kiungo shoka Claudio Makelele. Pumzi, nguvu, stamina, anafunga. Wanyama huyu ni wa kumlinganisha na Kante. Ila kwangu Wanyama yupo juu ingawa kule primeir league wamempa Kante tuzo.

Ericksen. Kiungo mwingine mchezeshaji. Anapambana mwanzo mwisho. Ndio injini ya spurs kwa sasa.

Kiungo yeyote anapolinganishwa na Pogba ni kwa sababu ya thamani ya pogba kwa pesa mlizotumia kumpata. Na si kwa uchezaji wa uwanjani. Dembele, Hererra, Wanyama, na hata kina Toure wa city ni wszuri kuliko huyo Pogba.
 
Kiungo yeyote anapolinganishwa na Pogba ni kwa sababu ya thamani ya pogba kwa pesa mlizotumia kumpata. Na si kwa uchezaji wa uwanjani. Dembele, Hererra, Wanyama, na hata kina Toure wa city ni wszuri kuliko huyo Pogba.

Mkuu umeongea maneno mengi na umejitahidi kujielezea. Nimekubaliana na baadhi ya uliyoyaandika,ila hapo juu sijakubaliana na ww au niseme sijakuelewa. Ni kweli ni wazuri kuliko Pogba au performance zao za msimu huu ulioisha ni nzuri kuliko Pogba?
 
Mkuu umeongea maneno mengi na umejitahidi kujielezea. Nimekubaliana na baadhi ya uliyoyaandika,ila hapo juu sijakubaliana na ww au niseme sijakuelewa. Ni kweli ni wazuri kuliko Pogba au performance zao za msimu huu ulioisha ni nzuri kuliko Pogba?

Game performance msimu huu kina Dembele na Wanyana walikuwa juu kuliko pogba. Labda ameshindwa kuizoea epl. Pogba kabla ya kuja united alikuwa vizuri na sii kama tunavyofikiria. Kumbuka pogba alikuwa anazungukwa na ma midlle wazuri hivyo kumfanya naye angare. Maestro Andrea Pilo, Arturo Vidal, na Marcchisio.

Ukitaka kujua jamaa ni wakawaida angalia euro iliyopita. Alifunikwa hata na Musa Sissoko na kina Payet kule kwenye timu ya taifa.
 
Game performance msimu huu kina Dembele na Wanyana walikuwa juu kuliko pogba. Labda ameshindwa kuizoea epl. Pogba kabla ya kuja united alikuwa vizuri na sii kama tunavyofikiria. Kumbuka pogba alikuwa anazungukwa na ma midlle wazuri hivyo kumfanya naye angare. Maestro Andrea Pilo, Arturo Vidal, na Marcchisio.

Ukitaka kujua jamaa ni wakawaida angalia euro iliyopita. Alifunikwa hata na Musa Sissoko na kina Payet kule kwenye timu ya taifa.
Mkuu,Pirlo na Vidal waliondoka na bado Pogba aliendelea kung'ara. Swala ni kwamba kulikuwa na wakabaji alafu yeye alikuwa free kupandisha timu na kucheza,ndio maana Mourinho anataka kuongeza kiungo mkabaji.

Pia ukizingumzia performance ya euro, ni kawaida kwa baadhi ya wachezaji wakubwa kuflop au kucheza underperform. Sissoko aliyeng'ara euro unajua hata alipo sasa hivi? Au Mahrez aliyeng'ara msimu mzima uliopita msimu huu kasikika?

Mkuu Pogba ni mchezaji mzuri sana,ni kwamba msimu huu ameshindwa kumeet expectations za wadau hasa ukiangalia price tag yake.
 
Tukubaliane, kutokubaliana. Spurs msimu huu ulioisha ndio timu iliyokuwa na viungo bora kabisa. Musa Dembele, kwangu huyu ndio kiungo bora kwa sasa pale epl. Jamaa anapiga soka la nguvu,(physics) la akili. Anajua. Huyu kwa wale mliowahi kumwona Patrick Viera hawa jamaa wanafanana sana kwa kila kitu.

Victor wanyama. Huyu ni zaidi ya aliyekuwa kiungo shoka Claudio Makelele. Pumzi, nguvu, stamina, anafunga. Wanyama huyu ni wa kumlinganisha na Kante. Ila kwangu Wanyama yupo juu ingawa kule primeir league wamempa Kante tuzo.

Ericksen. Kiungo mwingine mchezeshaji. Anapambana mwanzo mwisho. Ndio injini ya spurs kwa sasa.

Kiungo yeyote anapolinganishwa na Pogba ni kwa sababu ya thamani ya pogba kwa pesa mlizotumia kumpata. Na si kwa uchezaji wa uwanjani. Dembele, Hererra, Wanyama, na hata kina Toure wa city ni wszuri kuliko huyo Pogba.
dembele huyu huyu aliekua anakalia bench? au mwengine? maana mechi za mwisho mwisho nilikuwa namuona anaingia tu kama sub.
 
Uyo anayesema herrera hawezi kataa kwenda barca itakuwa akili zake zipo matakon kama za gigy money ....kama ujui mourinho yupo lazi amuuze de gea na rashford at the same time lakini sio herrera. Wachezaji waliofit mfumo wa mourinho msimu huu ni Valencia na Herrera. Herrera kaitwa national team for the first time......Herrera anapewa heshima kubwa sana na mafans wa man utd ...kuna mechi moja sijui ipi pale OT waingereza walimwandikia bango Herrera 'Herrera is not a Spaniard,he is English'.....sasa mpk waingereza walivyokuwa na nyodo na kulinga kwa kujiona taifa lao superior alaf wanakubatiza utaifa wao lazima ushtuke kidogo .....

Ander Herrera is upcoming Roy keane

Mwenye akili timamu kabisa hua ana uwezo wa kujenga hoja yake bila kutegemea matusi ili hoja yake ipate kibali cha kueleweka ukiona ni lazima utukane tena bila kutukanwa jitathimini,fikiria hizi sentensi unaweza kujadiliana na baba au mama ako ukiona zina tatizo basi jua unahitaji mabadiliko hasa tunapozungumzia mpira.
 
Hata Cesc ali-fit kwenye mfumo wa AW na alikua captain mdogo kabisa na alipewa kila heshima,narudia tena hakuna mchezaji hasa toka Spain ambae hana ndoto za kucheza pale Barca au Madrid uyu Herrera hana ubavu wa kukataa kwenda Barca kwanza kwake ni bahati hata kuhusishwa na Barca achana na kucheza.

Herrera kasema haendi barcelona sasa,kama hautaki nenda wewe.
 
Mkuu,Pirlo na Vidal waliondoka na bado Pogba aliendelea kung'ara. Swala ni kwamba kulikuwa na wakabaji alafu yeye alikuwa free kupandisha timu na kucheza,ndio maana Mourinho anataka kuongeza kiungo mkabaji.

Pia ukizingumzia performance ya euro, ni kawaida kwa baadhi ya wachezaji wakubwa kuflop au kucheza underperform. Sissoko aliyeng'ara euro unajua hata alipo sasa hivi? Au Mahrez aliyeng'ara msimu mzima uliopita msimu huu kasikika?

Mkuu Pogba ni mchezaji mzuri sana,ni kwamba msimu huu ameshindwa kumeet expectations za wadau hasa ukiangalia price tag yake.
Upo sahihi but pogba aliyekuwa juve si huyu wa united. Kuna wachezaji huwa wanangara afu hawachekewi kuflop. Maarez yeye hakuflop kama unavyofikiri. Timu nzima ilikuwa mbovu. Walikuja kushtuka kumekucha wakaanza kukaza ili wasishuke daraja. Marez bado ni mzuri.

Unajua wakati mwingine vilabu huwa vinafanya sajili kwa kushinikizwa na propaganga za vyombo vya habari. Kwa mfano mwenyekiti wa spurs ni mzuri sana kwenye hili. Ref Bebatov, Modric na Bale. Jamaa alicheza sana na vyombo vya habari, akafanikiwa kuwauza kwa gharama kubwa. Nyie pia mmeingia mkenge.
 
Tukubaliane, kutokubaliana. Spurs msimu huu ulioisha ndio timu iliyokuwa na viungo bora kabisa. Musa Dembele, kwangu huyu ndio kiungo bora kwa sasa pale epl. Jamaa anapiga soka la nguvu,(physics) la akili. Anajua. Huyu kwa wale mliowahi kumwona Patrick Viera hawa jamaa wanafanana sana kwa kila kitu.

Victor wanyama. Huyu ni zaidi ya aliyekuwa kiungo shoka Claudio Makelele. Pumzi, nguvu, stamina, anafunga. Wanyama huyu ni wa kumlinganisha na Kante. Ila kwangu Wanyama yupo juu ingawa kule primeir league wamempa Kante tuzo.

Ericksen. Kiungo mwingine mchezeshaji. Anapambana mwanzo mwisho. Ndio injini ya spurs kwa sasa.

Kiungo yeyote anapolinganishwa na Pogba ni kwa sababu ya thamani ya pogba kwa pesa mlizotumia kumpata. Na si kwa uchezaji wa uwanjani. Dembele, Hererra, Wanyama, na hata kina Toure wa city ni wszuri kuliko huyo Pogba.

Ahahaha lazima mumuongelee Pogba
 
Game performance msimu huu kina Dembele na Wanyana walikuwa juu kuliko pogba. Labda ameshindwa kuizoea epl. Pogba kabla ya kuja united alikuwa vizuri na sii kama tunavyofikiria. Kumbuka pogba alikuwa anazungukwa na ma midlle wazuri hivyo kumfanya naye angare. Maestro Andrea Pilo, Arturo Vidal, na Marcchisio.

Ukitaka kujua jamaa ni wakawaida angalia euro iliyopita. Alifunikwa hata na Musa Sissoko na kina Payet kule kwenye timu ya taifa.

Mkuu ulikua unangalia Euro na mke wako nini? Pogba alikua anacheza 6 nyuma ya Matuidi . Ulitaka ang'are vipi kama Payet aliekua anacheza 11 au Sissoko aliekua anacheza 7?
 
Upo sahihi but pogba aliyekuwa juve si huyu wa united. Kuna wachezaji huwa wanangara afu hawachekewi kuflop. Maarez yeye hakuflop kama unavyofikiri. Timu nzima ilikuwa mbovu. Walikuja kushtuka kumekucha wakaanza kukaza ili wasishuke daraja. Marez bado ni mzuri.

Unajua wakati mwingine vilabu huwa vinafanya sajili kwa kushinikizwa na propaganga za vyombo vya habari. Kwa mfano mwenyekiti wa spurs ni mzuri sana kwenye hili. Ref Bebatov, Modric na Bale. Jamaa alicheza sana na vyombo vya habari, akafanikiwa kuwauza kwa gharama kubwa. Nyie pia mmeingia mkenge.

Pogba kacheza vizuri sana,kaleta balance kwenye timu na pale ambapo akuepo pengo lake lilionekana. Sasa nashangaa mnasema akucheza vizuri?mlitaka akimbizane kwa idadi ya magoli kama Kane au idadi ya cleansheet kama De Gea? Tafuteni rating za Who scored kwa msimu ulioisha muone Pogba kashika nafasi ya ngapi.
 
dembele huyu huyu aliekua anakalia bench? au mwengine? maana mechi za mwisho mwisho nilikuwa namuona anaingia tu kama sub.
Wewe hizo ni game plan. We hujawahi kumwona Yakin Carasco akianzia bench?

Kuanzia bench si kiwango kimeshuka. Hata kally walker alikuwa akianzia bench game kama tano za mwisho na si kwamba kiwango chake kimeshuka. Hizo ni game plan. Wewe unataka kuniambia Blind na Damiani nani mzuri? Kwa taarifa yako blind yupo vizuri lakini damiani anapewa nafasi blind anasugulishwa bench
 
Upo sahihi but pogba aliyekuwa juve si huyu wa united. Kuna wachezaji huwa wanangara afu hawachekewi kuflop. Maarez yeye hakuflop kama unavyofikiri. Timu nzima ilikuwa mbovu. Walikuja kushtuka kumekucha wakaanza kukaza ili wasishuke daraja. Marez bado ni mzuri.

Unajua wakati mwingine vilabu huwa vinafanya sajili kwa kushinikizwa na propaganga za vyombo vya habari. Kwa mfano mwenyekiti wa spurs ni mzuri sana kwenye hili. Ref Bebatov, Modric na Bale. Jamaa alicheza sana na vyombo vya habari, akafanikiwa kuwauza kwa gharama kubwa. Nyie pia mmeingia mkenge.

Mkuu nimegundua unaongelea ushabiki na sio kama mpenda soka. Sasa mchezaji kama Modric utasema Real walipigwa??

Any way turudi kwenye mada,achana na hizo milion 89 alizonunuliwa Pogba ambazo tunajua kiwango kilifika because hakukuwa na release clause,na pua huwepo wa agent so waliangalia kiwango kitakachokuwa na maslahi kwao (biashara). Unataka kuniambia Pogba si mchezaji mzuri? Yani unakubali kwamba Mahrezi bado yuko vizuri pamoja na kucheza chini ya kiwango alichocheza msimu uliopita,akiwa na timu ile ile na kocha yule yule.

Tatizo unatumia wivu kujadili badala ya reality.
 
Back
Top Bottom