Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Wale wanazomea ovyo mkishindwa game moja tu yani hovyo kabisa mashabiki wa barca

6d87f9a22c3afc190bb99ad50f85da01.jpg
CR7 analalamika
 
Ila madrid adhabu yao kama hii ilifutwa,so anything can happen.
Adhabu yao ilipunguzwa haukufutwa,kesi ya Atletico ilihusisha wachezaji wengi kuliko Real Madrid na Barca then unapaswa kufahamu power ya Florentino Perez(huwa anafight sana kuipigania Real Madrid ) ndio maana Wakatalunya wanamchukia sana
 
Adhabu yao ilipunguzwa haukufutwa,kesi ya Atletico ilihusisha wachezaji wengi kuliko Real Madrid na Barca then unapaswa kufahamu power ya Florentino Perez(huwa anafight sana kuipigania Real Madrid ) ndio maana Wakatalunya wanamchukia sana
Itapunguzwa tu na kwao. All in all ni kwamba tutaweka hiyo 86 mezani alafu tumchukue Antoine
 
Ningekataa,vitu anavyopata Herrera pale OT hawezi kupata akiwa Nou Camp. Heshima anayopewa na mashabiki wa United hawezi kupewa na wale wakatalunya.

Heshima kwa watoto wa Spain?wanatamani kucheza Barca na Madrid kila leo unadhani De Gea hapati heshima heeee heeeee,yaani Herrera agome kwenda kucheza along side Messi,Neymar,Suarez and the like eti abakie kwa heshima uku anakimbizana na tu na akina Rashford,Martial,Lindgard,Pogba hapo lazima apimwe na akili maana hakuna asiependa mafanikio.
 
Heshima kwa watoto wa Spain?wanatamani kucheza Barca na Madrid kila leo unadhani De Gea hapati heshima heeee heeeee,yaani Herrera agome kwenda kucheza along side Messi,Neymar,Suarez and the like eti abakie kwa heshima uku anakimbizana na tu na akina Rashford,Martial,Lindgard,Pogba hapo lazima apimwe na akili maana hakuna asiependa mafanikio.

Wapo wachezaji wenu kina Petit,Hleb,Song walikimbilia Barca baadae wakajutia.Herrera anafit kwenye mfumo wa Mourinho ndio maana umeona msimu huu ndio amecheza vizuri tangu atue United na kwa mara ya kwanza ameitwa timu ya taifa Spain
 
Wapo wachezaji wenu kina Petit,Hleb,Song walikimbilia Barca baadae wakajutia.Herrera anafit kwenye mfumo wa Mourinho ndio maana umeona msimu huu ndio amecheza vizuri tangu atue United na kwa mara ya kwanza ameitwa timu ya taifa Spain

Hata Cesc ali-fit kwenye mfumo wa AW na alikua captain mdogo kabisa na alipewa kila heshima,narudia tena hakuna mchezaji hasa toka Spain ambae hana ndoto za kucheza pale Barca au Madrid uyu Herrera hana ubavu wa kukataa kwenda Barca kwanza kwake ni bahati hata kuhusishwa na Barca achana na kucheza.
 
Heshima kwa watoto wa Spain?wanatamani kucheza Barca na Madrid kila leo unadhani De Gea hapati heshima heeee heeeee,yaani Herrera agome kwenda kucheza along side Messi,Neymar,Suarez and the like eti abakie kwa heshima uku anakimbizana na tu na akina Rashford,Martial,Lindgard,Pogba hapo lazima apimwe na akili maana hakuna asiependa mafanikio.
Basi ngoja uone atakvyo wakataa hao Barca.
 
Hata Cesc ali-fit kwenye mfumo wa AW na alikua captain mdogo kabisa na alipewa kila heshima,narudia tena hakuna mchezaji hasa toka Spain ambae hana ndoto za kucheza pale Barca au Madrid uyu Herrera hana ubavu wa kukataa kwenda Barca kwanza kwake ni bahati hata kuhusishwa na Barca achana na kucheza.
Barca watabaki kumuota tu huyu dogo.
 
kwa sasa mu tunahitaji foward mwenye uchu na magoli japo kwa upande wangu naona kama de gea ataondoka itakua ni pengo kubwa sana na pengine sababu ya sisi kushindwa kayafikia malengo yetu katika msimu ujao
Mi naona romelo alifanya vizuri sana kwenye europa...hata akiondoka sioni kama ni shida! Kama anataka kuondoka aondoke, atapatikana mbadala wake!!
 
Back
Top Bottom