xYz07
JF-Expert Member
- Apr 13, 2015
- 4,077
- 5,918
Umejiunga jf may 22 alafu unakuja kututukana kwenye jukwaa letu? Is it fair? Au tukuite attention seeker.Naomba pogba apewe balloon d or huu ni ukichaa wa mashabiki wa manchester
Umejiunga jf may 22 alafu unakuja kututukana kwenye jukwaa letu? Is it fair? Au tukuite attention seeker.Naomba pogba apewe balloon d or huu ni ukichaa wa mashabiki wa manchester
Umeandika upuuz mtupuUmejiunga jf may 22 alafu unakuja kututukana kwenye jukwaa letu? Is it fair? Au tukuite attention seeker.
Sababu hata niliekua namjibu nae ni mpuuziUmeandika upuuz mtupu
Umemsahau na Yule mwingine wa liver HendersonMsimu huu kulikuwa na:
Kante vs Pogba
Wijnaldum vs Pogba
Xhaka vs Pogba
Fernandinho vs Pogba
Dembele vs Pogba
Kwa ufupi,Pobga ndio reference yao.
![]()
Umemsahau na Yule mwingine wa liver Henderson



nashkuru kwa kunikumbusha mkuu. Ila kiukweli Pogba anawauma sana. Alivyokuwa Juve,daily walikuwa wanatucheka eti tumekubali mchezaji kama yule ameondoka. Karudi wanabadili maneno 


Tatizo wivu unawasumbua. Kila Pogba akifanya kitu lazima watafute reference. Inawauma Sana. Nakumbuka kabla hajapata goli Hata moja walisema sananashkuru kwa kunikumbusha mkuu. Ila kiukweli Pogba anawauma sana. Alivyokuwa Juve,daily walikuwa wanatucheka eti tumekubali mchezaji kama yule ameondoka. Karudi wanabadili maneno
![]()
Mfano mashabiki wa Arsenal ndio wananichekeshaga sana. Hasira za kocha wao wanazileta kwa wengine. Sisi tulisajili Pogba kwavile tulikuwa tunamuhitaji katika timu,ila kocha wao alisajili Lucas Perez ili kuwanyamazisha,but hakuwa anamhitaji ndio maana yuko benchi tu.Tatizo wivu unawasumbua. Kila Pogba akifanya kitu lazima watafute reference. Inawauma Sana. Nakumbuka kabla hajapata goli Hata moja walisema sana





uzuri ni kwamba ulimwengu wa soka wapo walinda milango wengi kwa hiyo ni suala la kutoa mkataba mzuri tuu mbadala utapatikana tuuMi naona romelo alifanya vizuri sana kwenye europa...hata akiondoka sioni kama ni shida! Kama anataka kuondoka aondoke, atapatikana mbadala wake!!