Rutashubanyuma
JF-Expert Member
- Sep 24, 2010
- 219,504
- 911,249
Back and forward on Griezmann
Sidhani kama tunamuhitaji huyu mtu mkuu.
Propaganda tu hizi za kutaka dau kubwa.
Ni mashine hiyo angalia assists kwenye premier ligi halafu linganisha na viungo wa Manutd utaona ni kifaa ila Mourhnio hamhitaji kutokana na vita aliyompiga ChelseaSidhani kama tunamuhitaji huyu mtu mkuu.
Kwa hiyo, tumsubiri kumpokeaPropaganda tu hizi za kutaka dau kubwa.
Huyo anakuja bila shaka.Kwa hiyo, tumsubiri kumpokea
Van gal nae alikuwa kiaz sana yaan aliuza uza tu madogo sasahivi tunastruggle kuwarejesha
Yupo vizuri mwenyewe nimetoa Baraka zangu kwa usajili huu.
Jamaa mzuri,atasaidia kuwapa pressure kina MartialYupo vizuri mwenyewe nimetoa Baraka zangu kwa usajili huu.
Jose hafanyagi makosa makubwa katika historia ya sajili zake.
GGMU!!!!!!!!!!!!!!!
Yap!!Jamaa mzuri,atasaidia kuwapa pressure kina Martial
Kean,Perisic,Bakayoko and Griezman.Yap!!
Mbele msimu uliomalizika hatukuwa na amsha-amsha/ukali wa kiwango kile.
Nadhani hili jose atalifanyia kazi vilivyo
Wanaweza kuwa hao hao ila nashangaa sana wachezaji wengine viwango vya kawaida ila release clause zao hazipimiki kabsa labda thamani ya pesa imeshuka world wide. Pia binafsi naona kama tutamsajili griz basi tuingie sokoni kuleta striker wa bei rahisi maana griz itamchukua muda ku-copy na beat la EPL,Kean,Perisic,Bakayoko and Griezman.
So huu ndio utakuwa usajili wetu au?
EPL kuna beki sura za kazi wao wanaamini bora punda afe mzigo ufike.Jamaa akionesha jitihada anafit mapema sana kwenye ligi.Wanaweza kuwa hao hao ila nashangaa sana wachezaji wengine viwango vya kawaida ila release clause zao hazipimiki kabsa labda thamani ya pesa imeshuka world wide. Pia binafsi naona kama tutamsajili griz basi tuingie sokoni kuleta striker wa bei rahisi maana griz itamchukua muda ku-copy na beat la EPL,![]()
![]()
![]()
![]()
EPL kuna beki sura za kazi wao wanaamini bora punda afe mzigo ufike.
[HASHTAG]#GGMU[/HASHTAG]
Pound 26.6 milion ni sawa na tsh 71, 820,000,000 na pound 27 million ni sawa na tsh 73, 460,000,000 kuna tofauti ya tsh 1 640,000,000...hiki ni kiasi kikubwa sana sawa na 2.3% ya pesa yote waliyoipata everton au ni 97% ya pesa waliyopata man u kwenye europa, je 0.97=1.0?☆ PRIZES FOR EPL 2016-17 ☆
1.CHE £38m
2.TOT £36.1m
3.CITY £34.2m
4.LIVER £32.3m
5.ARS £30.4m
6.M.UTD £28.5m
7.EVERT £26.6m
PRIZE OF MONEY FOR WINNING
EUROPA CUP IS £27m....
☞☞☞ All In All EUROPA ni kikombe cha MBUZI mnapata sawa na EVERTON aliye nafasi ya 7
Hesabu za lasaba zinakushinda mkuu paund 1million ni sawa na tsh 3 bilion kwa exchange za saivi so paund 26 million haziwezi kuwa tsh 7 billionPound 26.6 milion ni sawa na tsh 7,182,000,000 na pound 27 million ni sawa na tsh 7,346,000,000 kuna tofauti ya tsh 164,000,000...hiki ni kiasi kikubwa sana sawa na 2.3% ya pesa yote waliyoipata everton au ni 97% ya pesa waliyopata man u kwenye europa, je 0.97=1.0?