Rutashubanyuma
JF-Expert Member
- Sep 24, 2010
- 219,505
- 911,249
Herrera hawezi kukubali kwenda Barca.Belloti njoo na Herrera baki
Ajeeeee
Kuna haja ya kuwa na Belloti endapo tukimpata Griezmann??Belloti njoo na Herrera baki
Herrera hawezi kukubali kwenda Barca.




Ndio ningetaa,tena nisingetaka hata kuwasikiliza. Barca sometime wanakuwa na tamaa katika usajili wao. Kumbuka usajili wa Song na Fabregas. Mwaka jana wamemsajili Andre Gomez lakini yupo yupo tu.Anakataa vipi kwenda Barca?ungekua wewe ndio Herrera na umefuatwa na Barca ungekataa....![]()
Herrera anapewa heshima kubwa pale OT, hadi ya kuwa captain ila alikataa huko barca sijui anaweza kaa bench msimu woteAnakataa vipi kwenda Barca?ungekua wewe ndio Herrera na umefuatwa na Barca ungekataa....![]()
Tunawahitaji wote wawili. Belloti no. 9 na Griezmann no. 10Kuna haja ya kuwa na Belloti endapo tukimpata Griezmann??
Barca hawana ubavu mbele ya ManutdAnakataa vipi kwenda Barca?ungekua wewe ndio Herrera na umefuatwa na Barca ungekataa....![]()
Barca hawana ubavu mbele ya Manutd



ubavu wa nini?ngoja nikuulize na wewe,Je ungekua Herrera na unatakiwa na Barca ungekataa?Kwa vile Real Madrid walipunguziwa tunategemea Atletico nao kupunguziwa mwaka mmoja.Kesho alhamisi ndio hatma ya usajili wa Griezmann kwenda Manchester United itajulikana,so far Atletico Madrid walifungiwa na FIFA kusajili wachezaji kwa miaka 2 kwa kuvunja sheria kwenye usajili wa wachezaji chipukizi kwenye academy yao lakini walikata rufaa ambayo kesho ndio hukumu itatolewa(kuna tetesi adhabu haitafutwa wala kupunguzwa),Atletico wanaamini watashinda rufaa ili wamuuze Griezmann then wamsajili Alexander Lacazette au Diego Costa kuziba pengo lake.Griezmann alishakiri yuko tayari kuhama Atletico kwenda timu nyingine kushinda vikombe na tangu ametua Atletico hajawahi kuchukua kombe lolote
Antoine Griezmann ana release clause kwenye mkataba wake kama kuna timu itafikia dau lililowekwa klabu itamuuza (hii haina uhusiano na adhabu ya kutosajili)so far PSG & United ndio wamefika hilo dau lakini Griezmann aliwaambia PSG hana mpango wa kucheza Ligue 1 ikabidi PSG wahamie kwa Aubemeyang toka Dortmund
Sent from my NokiaX2DS using JamiiForums mobile app
Inatisha kwa kuchana mikekaWatu bwana,
Narudia tena- yabidi (hata kama hamtaki) kuyatambua mambo makali ya Arsenal- ni kuwa inatisha! Je mueleweshwe hadi lini ninyi watu muweze kutambua?
kwanini asikatae?? kwani ni lazima kila mchezaji acheze Barcelona???ubavu wa nini?ngoja nikuulize na wewe,Je ungekua Herrera na unatakiwa na Barca ungekataa?