Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Carrick kama ndiyo dili basi ujue ubingwa next year ni majogoo. Midfielder lazima afunge au hata kutoa assist Carrick takwimu zake ni kimeo.
Carrick anacheza defensive/holding midfielder unataka afanye assist/afunge magoli,wachezaji wa kulaumiwa kutofunga magoli wako wengi sio Carrick
 
Ngoja kwanza...hivi hawa waliovaa nyekundu ndo Man utd!??????


Very sad aisee...hadi Rooney naye yupo. Nlishaanza kujiuliza aliuzwa klabu gani hii? Kumbe ndo kiwango chenu kilipofikia. Sijui Mou anawapumzisha kujiandaa na europa!???
Mou kaishiwa mbinu
 
So sad,, ila Almighty awe nasi trh 24,,, na ndoto hizi zkitimia josee aachane na mbin zake za kizaman,,, nyakati hiz unacheza kwa malengo ya droo?? utashinda kombe gan?? celta,, standard liege nao wababe OT?? wachezaj wa viwango vya kawaida waachwe kabsaaaa ili Brand na Heshima ya Irejee
 
Kuna mashabiki wanajua kulalamika sana, Ni sawa Barcelona wasifunge magoli then alaumiwe Sergio Busquet
hahahaha
halaf carric sku zote anakuwa underappriciated hata kipindi yuko on top of his career people zilikuwa zina mchukulia poa tu
 
Nadhani sipendi Europa League kabisa.

Unachosha wachezaji alhamisi halafu unakuja jpili kucheza mechi ngumu ya EPL.
Katika mechi 5 tulizofungwa 4 tumecheza Jumapili baada ya kutoka kucheza Uropa Alhamisi
 
Just a quick reminder, if we win europa league José will have more trophies in one season than Liverpool have in the last 10
8b2fa96d27af4a253bc1b2289c95aa95.jpg
 
Wakati wa usajiri huwa mna mbwembwe lakini ligi ikianza wote huwa mnakuwa kimya.
Kuwa kimya kiaje? Maana hii thread haijawahi shinda njaa, tofauti na vi-dust bin vingine ambavyo wanasubiri washinde ndio vipate wachangiaji.
 
Unajuwa position ya Carrick msimu huu kweli?unamfannanisha na kiungo gani? Pamoja na umri kumtupa lakini Caric ni mmoja wa wachezaji waliocheza mpira katika kiwango cha juu akitimiza majukumu yako vema uwanjani,sema kutokana na kiwango kibovu cha timu msimu huu ndio kinachotufanya tuwaone wachezaji wote kuwa na kiwango kibovu,ila kwa mchezaji mmoja mmoja aliye perform ndani ya timu Caric tunampa nafasi nzuri na katika 10 kwangu anachukua 7 (7/10).

So jaribu kuangalia nafasi yake uwanjani na majukumu yake,je anatimiza malengo?

Mara nyingi huwa na jukumu la kutukiza kiungo chetu pale tunapopoteana hata tunapofungwa.

Labda nisaidie fact!!!!
Hana mchango wa maana nitamshangaa sana Mourhnio akimwongezea mkataba na kulipa £150k per week labda akubali kufyekwa hadi £60k per week.

Manutd wanahitaji Makelele type au Kante lazima apimwe kwa tackles, assists, goals scored na kwenye hizo takwimu hana bao!
 
Hodi humu. Habari wakuuu. Nimelete rambi rambi....! Naamini jana mmesaidia spurs kutwaa ubingwa kama mlivyoaidi. Siku ile Dele Alli anatugonga 2. Ikawa habari ya dunia. Nyinyi jana mmegongwa na kushindiliwa nafasi ya 6. Siyo habari ya dunia......!!!! Poleni kwa maumivu makali hususana Iceman 3D. Bavaria, Belo,makatheboy, rutashubanyuma na wengine wengi
 
Carrick anacheza defensive/holding midfielder unataka afanye assist/afunge magoli,wachezaji wa kulaumiwa kutofunga magoli wako wengi sio Carrick
Kwa mitazamo hii, ubingwa wa EPL tutaisikia kwenye bomba. No ambition no EPL gold medals
 
Back
Top Bottom