Rutashubanyuma
JF-Expert Member
- Sep 24, 2010
- 219,504
- 911,249
Mpira umeisha
Spurs 2-1 Manutd
Spurs 2-1 Manutd
Hata huko UCL tukienda na wachezaji hawa hawa wasiokuwa na roho ya upambanaji sijui..Baada ya matokeo haya ni Europa tu tukishindwa kubeba ndoo tujue ni Europa tena
Unajuwa position ya Carrick msimu huu kweli?unamfannanisha na kiungo gani? Pamoja na umri kumtupa lakini Caric ni mmoja wa wachezaji waliocheza mpira katika kiwango cha juu akitimiza majukumu yako vema uwanjani,sema kutokana na kiwango kibovu cha timu msimu huu ndio kinachotufanya tuwaone wachezaji wote kuwa na kiwango kibovu,ila kwa mchezaji mmoja mmoja aliye perform ndani ya timu Caric tunampa nafasi nzuri na katika 10 kwangu anachukua 7 (7/10).Carrick kama ndiyo dili basi ujue ubingwa next year ni majogoo. Midfielder lazima afunge au hata kutoa assist Carrick takwimu zake ni kimeo.
Io europa atabebea wapi? Labda akaibe. Ajax hatamwacha kwakweliMashabiki hawapendi kushambuliwa hivyo kama ilivyokuwa leo. Mourhnio hawezi kupendwa na hao Mashabiki labda abebe ndoo ya Europa
Sikutaka kuingalia hii match ya leo kutokana na kujua matokeo na lengo la timu katika match zilizobaki,Ki ukweli kama wengi walicomment Man U ndoto za kuwa ndani ya top 4 zilikoma mara baada ya match na Sunderland.Mpira umeisha
Spurs 2-1 Manutd
Haaa haaa haaa hii kamali nimeipenda, any way Mou ana matokeo mazuri katika match za fainal so tuhesabu Kombe lingineBaada ya matokeo haya ni Europa tu tukishindwa kubeba ndoo tujue ni Europa tena
Endeleeni kujidanganya,sijui mkifungwa itakuwaje!Msimu wetu wa EPL uliisha siku tuliyotoka sare na Swansea. Kuanzia siku ile mechi zilibaki mbili vs Celta na vs Ajax.
Mechi nyingine zote ni warm ups kwa ajili ya mechi hio. Tukishinda hio mechi tunapata kombe ambalo hatukuwahi kupata na nafasi ya kucheza ECL.....its a NO BRAINER!
Wachezaji sio tatizo,roho ya upambanaji huumbwa au kutengenezwa,Babu kwa wachezaji hawa hawa ange chukua makombe na kucheza fainal UEFA,tatizo mbinu za kocha,Mifumo ya Mou mara nyingi ndio huwafanya wachezaji kuwa hivi,Ushindi wa magoli machache lakini kutokufungwa.Hata huko UCL tukienda na wachezaji hawa hawa wasiokuwa na roho ya upambanaji sijui..