Rutashubanyuma
JF-Expert Member
- Sep 24, 2010
- 219,504
- 911,249
Rutashobanyuma mbona Leo unaongea kwa unyonge sana. Ucijali tarehe 24 nitakuwa upande wako nikusapoti uropa lije uingereza kwa Mara ya pili kama sijakosea

Rutashobanyuma mbona Leo unaongea kwa unyonge sana. Ucijali tarehe 24 nitakuwa upande wako nikusapoti uropa lije uingereza kwa Mara ya pili kama sijakosea

Historia ni historia lakini haijatupa ubingwa au top four musimu huu.Punguza pumba,Carrick kacheza UNITED misimu 11 na ameshinda ubingwa mara 5 kwa uchezaji huo unaouponda.Unafahamu kazi ya holding/defensive midfielder?
Carrick hana mbavu za kukaba ni mzuri kusambaza mipira. Manutd inachohitaji ni central midfielders makinda wenye kukaba, kutoa vyumba vya magoli, na kufunga.Kwa hiyo Makellele alikuwa anafunga magoli na kutoa assist ? Tangu atue England Kante amecheza mechi 70 kafunga magoli 2 na ameshinda ubingwa wa EPL mara 2
Wenye kiona mbali humu ni bidhaa adimu mnoImagine kumtegemea 35 years old michael carrick akupatie ubingwa.
That's why tunahangaika na nafasi ya sita
Endelea kupost picha tuWenye kiona mbali humu ni bidhaa adimu mno
Hakuna mapana yasiyo na ncha Manutd kushinda ubingwa EPL wengi itabidi waishie kuanzia Rooney, Carrick, Ashley Young, Jones, Smalling hata Martial na wale left back hati hati, Sijui Damian na mwenzie kiwango hakiridhishiCarrick amecheza zaidi ya mechi 350 United na amefunga magoli 30. Huyo ni holding mid.
Kumlaumu Carrick ni kumuonea tu.
Ndio wachambuzi wetu hao, ukiwabishia wanakuambia tafuta timu ya kushabikiaWenye kiona mbali humu ni bidhaa adimu mno

Endelea kupost picha tu
Carrick ni defensive/holding midfielder sio central midfielder, Pogba &Herrera ndio CMCarrick hana mbavu za kukaba ni mzuri kusambaza mipira. Manutd inachohitaji ni central midfielders wenye kukaba, kutoa vyumba vya magoli, na kufunga.
Michael Carrick umri ni ishu kubwa hawezi kucheza mechi mara mbili kwa wiki inabidi apumzike na akiumia huchukua muda mrefu kupona