Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Povu lote la nini mkuu? Jamaa katoa analysis yake kistaarabu bila hata kebehi, ila mkuu dah jaribu kuwa na busara. Comments zako nyingi sana huwa unatumia lugha isiyo rafiki. We are all United ujue. We are not like em rent boys wazee wa lugha mbofu mbofu.
Mkuu mimi nagombana na mashabiki wasiotaka kusikia mawazo ya wenzao, yaani wanaojifanya wao tu ndo wanajua kuanalyse mpira, ukinifuatilia mwanzo utagundua hilo, sasa wewe mtu anakuambia uhame timu eti kwa sababu umeongea kitu tofauti na anavoamini yeye, sasa huo si ujinga? Hakuna mtu mwenye haki ya kumpangia mwengine humu cha kuandika, sote ni mashabiki tu wa kawaida, kama hukubaliani na mawazo ya mwengine kaa kimya na wala usilazimishe sote tuamini unavoamini wewe
Ukileta lugha za kejeli tutakukejeli tu
Sasa wewe kutembelea carrington kuna uhusiano gani na kutoa maoni juu ya timu au mchezaji flani? Kwamba ukitembelea carrington utakua na uelewa zaidi wa kutoa maoni yako kuhusu timu kuliko ambaye hajafika? Ndo maana nasema ni ushamba, ujinga na ulimbukeni kutuletea tambo hizo
 
baada ya kufungwa na chelsea kwenye FA cup nakumbuka niliandika ndani ya thread hii ya kwamba hatuwezi kuifunga chelsea kama tunashindwa kumzuia eden hazard namshukuru jose huko aliko amekisikia kilio changu.
kama tutarudisha kumbukumbu kwenye mechi ya FA cup utagundua ya kwamba mourinho alimpa jukumu phil jones kupambana na hazard ila alishindwa kumdhibiti jambo ambalo lilipelekea madhara makubwa sana kwenye ile mechi kabla hata ya herrera kupewa kadi nyekundu, tofauti na mechi ya jana mourinho jukumu lile alilihamishia kwa midfield ambaye ni herrera (one man mark) kumdhibiti hazard na kiukweli herrera hata asingefunga goli na kutoa assist mimi ningelimchagua kuwa ni man of the match kwa jinsi alivyofanikiwa kumdhibiti eden hazard.
907325.jpg

hazard ndie mchezaji ambaye amehusika katika utengenezaji wa mabao mengi na ndie kiungo aliyefunga mabao mengi. popote aliposimama hazard jana mita chache nyuma alisimama herrera jambo ambalo liliua counter attack style ya chelsea, style hii niliwahi kuishuhudia miaka kama 10 iliyopita wakati gattuso (jesus) anamdhibiti cristiano ronaldo ndani ya san siro.
pia jambo jengine alilofanikiwa jose ni kuwatumia lingard na rashford kama ni striker force na kukosekana kwa alonso ilikuwa ni tatizo kubwa sana halafu cha kusikitisha zaidi nimegundua central defence ya chelsea ni wazito sana.
907323.jpg

pia jose alicheza karata yake vizuri sana baada ya kumuingiza carrick kwa sababu uwepo wa fabregas kulisababisha chelsea kubadili style na kucheza 4+2+3+1 na ukiangalia baada ya carrick kuingia timu ilibadili style na kucheza 5+1+2+1 ambapo kama kawaida herrera aliendelea na kujukumu lake la kumzuia hazard.
hazard kipindi cha mwanzo hakuweza kutengeneza nafasi hata moja, hakupiga shoot hata moja wala hakuweza ku dribble hata mara moja lakini ukimuangalia herrera 100% alifanikiwa kwenye tackle.
907331.jpg
907328.jpg

kiukweli kwa mambo aliyoyafanya jana jose mourinho ametukata mdomo sisi sote mashabiki maandazi na nimejigundua mimi binafsi sijui chochote kuhusiana na mpira na sistahili kuwa mshabiki wa mpira naamini hata humu wamo mashabiki kama mimi ambao hata tiketi original ya kuangalia mpira old trafford hawajawahi kuiona na wala hawajawahi kufika hata AON Complex ila ni mabingwa wa kukejeli tactics za mourinho, nimejaribu kuzipitia comment zote kuanzia page ya 366 naamini wapo member ambao wanatamani comment zao wazifute kutokana na maneno walioaandika, ila naamini yote inatokana na khofu na moyo wa dhati wa kupenda kuona timu yetu inafanikiwa.
907329.jpg

kuanzia leo
  • sitalalamika tena eti kwa sababu gani jose anampanga lingard na hata akiamua kumpa tena mkataba wa pound 200000 kwa wiki sitalalamika kwa sababu yeye ndie anafahamu kuhusiana na ubora wa lingard.
  • sitalalamika tena kwa nini jose anampenda fellaini
  • sitalalamika tena kwa nini martial hapewi nafasi
tumuache jose mourinho afanye kazi yake ila heshima kwenu
RRONDO
kisu cha ngariba
Belo
naamini ndani ya thread hii nyinyi ni washabiki wakweli wa manchester united

 
baada ya kufungwa na chelsea kwenye FA cup nakumbuka niliandika ndani ya thread hii ya kwamba hatuwezi kuifunga chelsea kama tunashindwa kumzuia eden hazard namshukuru jose huko aliko amekisikia kilio changu.
kama tutarudisha kumbukumbu kwenye mechi ya FA cup utagundua ya kwamba mourinho alimpa jukumu phil jones kupambana na hazard ila alishindwa kumdhibiti jambo ambalo lilipelekea madhara makubwa sana kwenye ile mechi kabla hata ya herrera kupewa kadi nyekundu, tofauti na mechi ya jana mourinho jukumu lile alilihamishia kwa midfield ambaye ni herrera (one man mark) kumdhibiti hazard na kiukweli herrera hata asingefunga goli na kutoa assist mimi ningelimchagua kuwa ni man of the match kwa jinsi alivyofanikiwa kumdhibiti eden hazard.
907325.jpg

hazard ndie mchezaji ambaye amehusika katika utengenezaji wa mabao mengi na ndie kiungo aliyefunga mabao mengi. popote aliposimama hazard jana mita chache nyuma alisimama herrera jambo ambalo liliua counter attack style ya chelsea, style hii niliwahi kuishuhudia miaka kama 10 iliyopita wakati gattuso (jesus) anamdhibiti cristiano ronaldo ndani ya san siro.
pia jambo jengine alilofanikiwa jose ni kuwatumia lingard na rashford kama ni striker force na kukosekana kwa alonso ilikuwa ni tatizo kubwa sana halafu cha kusikitisha zaidi nimegundua central defence ya chelsea ni wazito sana.
907323.jpg

pia jose alicheza karata yake vizuri sana baada ya kumuingiza carrick kwa sababu uwepo wa fabregas kulisababisha chelsea kubadili style na kucheza 4+2+3+1 na ukiangalia baada ya carrick kuingia timu ilibadili style na kucheza 5+1+2+1 ambapo kama kawaida herrera aliendelea na kujukumu lake la kumzuia hazard.
hazard kipindi cha mwanzo hakuweza kutengeneza nafasi hata moja, hakupiga shoot hata moja wala hakuweza ku dribble hata mara moja lakini ukimuangalia herrera 100% alifanikiwa kwenye tackle.
907331.jpg
907328.jpg

kiukweli kwa mambo aliyoyafanya jana jose mourinho ametukata mdomo sisi sote mashabiki maandazi na nimejigundua mimi binafsi sijui chochote kuhusiana na mpira na sistahili kuwa mshabiki wa mpira naamini hata humu wamo mashabiki kama mimi ambao hata tiketi original ya kuangalia mpira old trafford hawajawahi kuiona na wala hawajawahi kufika hata AON Complex ila ni mabingwa wa kukejeli tactics za mourinho, nimejaribu kuzipitia comment zote kuanzia page ya 366 naamini wapo member ambao wanatamani comment zao wazifute kutokana na maneno walioaandika, ila naamini yote inatokana na khofu na moyo wa dhati wa kupenda kuona timu yetu inafanikiwa.
907329.jpg

kuanzia leo
  • sitalalamika tena eti kwa sababu gani jose anampanga lingard na hata akiamua kumpa tena mkataba wa pound 200000 kwa wiki sitalalamika kwa sababu yeye ndie anafahamu kuhusiana na ubora wa lingard.
  • sitalalamika tena kwa nini jose anampenda fellaini
  • sitalalamika tena kwa nini martial hapewi nafasi
tumuache jose mourinho afanye kazi yake ila heshima kwenu
RRONDO
kisu cha ngariba
Belo
naamini ndani ya thread hii nyinyi ni washabiki wakweli wa manchester united
Kaka umenena sana
Wengine wetu mapenz kwa wachezaji Fulani yanatusumbua sana Jana mou katukata vilimilimj n that's wht is called tactics
 
Tuambie huyo lingard nini kafanya mechi ya jana, na sio ya jana tu lete mechi yoyote lingard aliocheza vizuri, pale hamna mchezaji pale, usione kwa sababu timu imeshinda ndo imeficha udhaifu wake, hana mchango wowote kwenye timu,
Huyo prondo mwenyewe alishakata tamaa na kikosi baada ya kuona kikosi kilichoanza, fuatilia kabla ya mchezo alisemaje baada ya kuona kikosi, halafu achen ushamba, kupita karibu na kiwanja cha mazoezi cha manchester au kuona tiketi og hakukufanyi wewe kujua kuuzungumzia mpira kuliko wengine, mnajishaua kwa sababu tu mliwahi kupita karibu na AON complex, huo ni ushamba
Kama huoni mchango wa limgard Utakua na matatizo mkuu no offence
 
Back
Top Bottom