Rutashubanyuma
JF-Expert Member
- Sep 24, 2010
- 219,504
- 911,249
Fella alikichafua sana pale kat ile mech anajua sana sema uslow wake tu ndo tatzoWewee acha kabisa habari hizo. Man of the match sio lazima afunge goli. Fellaini ndio kila kitu ingawa hamumpendi
I prefer griezmannGriezmann na Lukaku wako kwenye orodha ya wasajiliwa watarajiwa ya Mourhnio
acheze na kamba tu...kila meneja anapenda mchezaji anayefunga magoliMartial atakiwa kucheza jinsi Mourhnio anavyotaka acheze vinginevyo hatacheza mechi nyingi!