Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Kadabra benchi

Leo mnataka kufanya counter attack kwa kutumia hao watoto huko mbele?
 
IMG_20170416_163231.jpg
 
http://www.jamiiforums.com/mobile-gallery/bdc017677bfa30b0326e67ee74d82a98.jpg[/
shocking lineup of Jose GGM
 
aaaaahhh mkuu umeona konte kashusha busta, mou anatuwekea hawa watoto wa kucheza vitenesi. Hata tukishinda sishangiliii
Tatzo ka Boss wetu, akimpenda mcheza hata awe anaharb atazd kumpenda, kwa mfano Lingard hawez fikia kiwango cha Martial,
Na akimchukua mchezaj hata awe mzr kias gan kwa Mo hana nafas kwa mfano Shaw,
 
Tatzo ka Boss wetu, akimpenda mcheza hata awe anaharb atazd kumpenda, kwa mfano Lingard hawez fikia kiwango cha Martial,
Na akimchukua mchezaj hata awe mzr kias gan kwa Mo hana nafas kwa mfano Shaw,
Unajua wenzetu mpira ni sayansi. Kila mechi stats zinachukuliwa na kuwa analysed kisayansi. Hizo stats ndio zinaonesha perfomance ya mchezaji na kocha anatumia ampange nani.

Sasa sisi washabiki ambao hata hatujui carrington aka aon trainging complex ikoje tunataka tunaowapenda ndio wacheze.

On paper martial/shaw are more talented than lingard etc lakini perfomance zao hazijustify talent yao kupangwa. Anapangwa anae perform sio nani ana kipaji au bei kubwa.
 
Tatzo ka Boss wetu, akimpenda mcheza hata awe anaharb atazd kumpenda, kwa mfano Lingard hawez fikia kiwango cha Martial,
Na akimchukua mchezaj hata awe mzr kias gan kwa Mo hana nafas kwa mfano Shaw,
Huyu mou atakuwa anakula ugoro, huwezi kuwa na akili za namna hii nina uhakika hata Jamhuri Kiwhelo " Julio" hawezi kupanga kikosi kama hiki mbele ya chelsea
 
Back
Top Bottom