Von G
JF-Expert Member
- Jan 21, 2015
- 243
- 247
Rooney hajachoka kabisa, sema toka Mo aje hapati nafas ya kutokucheza dats y anazid kuchujaWayne Rooney muda wake umekwisha
Rooney hajachoka kabisa, sema toka Mo aje hapati nafas ya kutokucheza dats y anazid kuchujaWayne Rooney muda wake umekwisha
Upo mkuu....Unamaanisha nini kwamba "tuna rekodi mbaya na OT"?

Hapo kati weka carrick n herrera huyo pogba weka nyuma ya ibra, rooney impe pemben awe ana switch na pogba namba 10Leo ningekuwa karb na Mo ningemshauli kikos kiwe hivi
Beki Shaw,Baily, Rojo, Valencia
Kati Carrick, Pogba
Pembeni Miki na Ander
Fowad Rooney, Ibra
Subr Martial, Rashford, na wengne.
Lengo n kupposse mpra as possble na k score magoli meng then kipind cha pili tunazid kwachosha kwa kuwakimbza na Martial na Rashford.
Kama unakumbukumbu mechi za mwanzoni mwa msimu alikua kipaumbele sana.Uzuri wa mou akiona huendani na excpectation zake hakuonei aibu.Kuna wakati Rooney alikiri kabsa kiwango chake kibovu.Rooney hajachoka kabisa, sema toka Mo aje hapati nafas ya kutokucheza dats y anazid kuchuja
Nipo chifu. Game leo Rent Boys lazima mpigwe tu, maana hakuna namna.Upo mkuu....
Naomba your score predictions Leo mkuu![]()
![]()
![]()
Man u hapigwi leo kwanza hapigiki leo game matokeo droo au clesea anakufa 2 take my wordsNipo chifu. Game leo Rent Boys lazima mpigwe tu, maana hakuna namna.
Unaweza ukaona fellaini akaanza na Herrera kama tutaingia na trick ya mipira ya juudegea
valencia rojo bailly shaw
mikhi carrick herrera rooney
pogba zlatani
Hiki ndo kikosi cha ushindi sema mou ataendelea na akina fellaini wake halafu tukidraw anaanza kukasirika..
mbinu zake mbovu..timu inabahatisha tu uwanjani,amweke rooney ana skills za kutosha,sema na yeye mou,ameshamwondolea rooney confidence..Unaweza ukaona fellaini akaanza na Herrera kama tutaingia na trick ya mipira ya juu
Marked for future use...Nipo chifu. Game leo Rent Boys lazima mpigwe tu, maana hakuna namna.
kabisa rooney hana confidence ataharibu game leo naona carrick na Herrera wacheze pamoja mbele yao akae pogbambinu zake mbovu..timu inabahatisha tu uwanjani,amweke rooney ana skills za kutosha,sema na yeye mou,ameshamwondolea rooney confidence..
KiongoziNipo chifu. Game leo Rent Boys lazima mpigwe tu, maana hakuna namna.
ananiboaga sana anapomuanzisha darmian coz darmian hana speed na attacking ability kama shawLeo utashangaa Damian anaanza badala ya Shaw..mchezaji ambaye anaweza pia kusogea mbele na kuleta madhara kwa timu pinzani,sema kwa sababu Mou ana jeuri atamweka Damian..
Evra alikuwa ni beki tatu,ila alikuwa anatoa assist kama hana akili nzuri na krosi zenye akili,ila sasa huyu damian, utafikiri kanywa gongo anavyocheza..Yana ananiboaga sana anapomuanzisha darmian coz darmian hana speed na attacking ability kama shaw
EPL inamsumbua amezoea serie A huko nqe muoga kupanda itqpendeza shaw akianzaEvra alikuwa ni beki tatu,ila alikuwa anatoa assist kama hana akili nzuri na krosi zenye akili,ila sasa huyu damian, utafikiri kanywa gongo anavyocheza..
eti kanywa gongoEvra alikuwa ni beki tatu,ila alikuwa anatoa assist kama hana akili nzuri na krosi zenye akili,ila sasa huyu damian, utafikiri kanywa gongo anavyocheza..
akifungisha leo tunakufa nae acha abaki nyuma kama centre bekTake it easy chief. Let's wait for the mtanange. Zaidi ya hapo itakuwa kufurahisha genge tu.Kiongozi
Hebu nipe hiyo approaching yako ya kunifunga?
Mimi najua unakufa vibaya maana sioni kile utafanya kunizuia