Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Sio kosa lako kijana, ila tu ni TIMU unayoshabikia..haijazoe kucheza katika LEVEL hiyo TEREHE hizo...



Asante mtani.....na wao wasubiri VIATU vya Scholes na Rafael.


BTW U guys dont tell me mmehamia Barca tayari.
Wewe ulivyokuwa unawashangilia wakati wanacheza na sisi ulikua umehamia Barca?

Acha kujihami mkuu lol.
 
Poleni wakuu nasikia jana mlipata mdondo! Khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee yaani nyie na Barca hamchekani kama sio bahasha basi ni upendeleo wa kiwazi wazi kutoka kwa waamuzi kama wale watoto wanao-support Unicef, lakini kwa sababu dugu yenu Mourinho naye yumo basi atafungiwa, mmeanza kulialia kama Chiriku khe khe khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee
 
Msimu wa EPL unaisha 22nd May nadhani ndio maana.
Ushapokea pensheni mkuu?
Naona bado una tarehe 21 Mei 2008 ile ya Moscow.....
Sio kosa lako kijana, ila tu ni TIMU unayoshabikia..haijazoe kucheza katika LEVEL hiyo TEREHE hizo...

....aarrgghh nimekumbuka,
ni hili bango!


judgement-day-may-21-2011-300x196.jpg
...jamaa wanaipigia debe tarehe 21 Mei eti ndio judgement day.

Hala hala tu wasije waka wa "Kibwetere" waliokuwamo na wasiokuwamo!
Wanataka kutukata stimu buree ilhali tunasubiria kuwaangalia kina Evra wakitoewa ulimi nje na kina Messi,
 
Mzee keshaanza kuwaogopa BARCA,

Manchester United manager Sir Alex Ferguson will seek advice on beating Barcelona from Jose Mourinho

Manchester United manager Sir Alex Ferguson has said he will turn to Real Madrid coach Jose Mourinho for advice on how his side should approach their Champions League final against Barcelona at Wembley later this month.

Sport News - Latest sports news and live coverage - Telegraph

 
Ng'waza Madaso njoo utoe pongezi maana uliamini leo tunatolewa hehehe alafu tumechezesha fringe players, talking about winning with style.
Hongereni wakuu,tunasubiri kwa hamu hiyo FINAL,naona ka vile mzee kaanza kuwaogopa Barca.
 
Hongereni wakuu,tunasubiri kwa hamu hiyo FINAL,naona ka vile mzee kaanza kuwaogopa Barca.
Kocha yoyote mwenye akili lazima atamtafuta counterpart wake kumuomba tactics zilizotumika kuifunga timu pinzani, sintoshangaa kama ameongea na wenger vile vile jinsi ya kukabiliana na barca.
 
Poleni wakuu nasikia jana mlipata mdondo! Khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee yaani nyie na Barca hamchekani kama sio bahasha basi ni upendeleo wa kiwazi wazi kutoka kwa waamuzi kama wale watoto wanao-support Unicef, lakini kwa sababu dugu yenu Mourinho naye yumo basi atafungiwa, mmeanza kulialia kama Chiriku khe khe khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee
Wqlivyowafunga Valencia, Lyon na Inter Milan mlikuwa mnawasifia na hamkuwaita mdondo wamefungwa na Man Utd wamekuwa mdondo?
 
Leo wachezaji walipelekwa kula pizza baada ya kuingia fainali.
article-1383902-0BEB218800000578-432_634x434.jpg

Business as usual: Sir Alex ferguson (left) walks off the coach for his lunch

article-1383902-0BEB21A400000578-786_634x423.jpg

Big feed: Wayne Rooney, Paul Scholes and Michael Owen head to the restaurant

article-1383902-0BEB18CD00000578-603_634x434.jpg

Wait for me! Mike Phelan (background) attempts to catch up with Nemanja Vidic, Bebe, Nani and Antonio Valencia
 
article-1383902-0BEB21A800000578-809_634x454.jpg

Green army: Rio Ferdiand (centre) shows Rafael and Edwin van der Sar the way

article-1383902-0BEB169F00000578-416_634x459.jpg

Walking tall: Chris Smalling (left) walks alongside Javier Hernandez

article-1383902-0BEB83AF00000578-208_634x409.jpg

In the spotlight: Rio Ferdinand heads back as the players stop to sign autographs
 
Kocha yoyote mwenye akili lazima atamtafuta counterpart wake kumuomba tactics zilizotumika kuifunga timu pinzani, sintoshangaa kama ameongea na wenger vile vile jinsi ya kukabiliana na barca.
Kwa hiyo ndo unataka Mourinho amuelekeze tactics za kuwachezea rafu za ajabu ajabu Barca ili kuwapunguza makali?Mzee anamtafutia Mourinho ulaji hapo Old Trafold na nina imani kuwa ndo atakuwa Mrithi wake.
 
Kwa hiyo ndo unataka Mourinho amuelekeze tactics za kuwachezea rafu za ajabu ajabu Barca ili kuwapunguza makali?Mzee anamtafutia Mourinho ulaji hapo Old Trafold na nina imani kuwa ndo atakuwa Mrithi wake.
Yani wewe kwa akili zako zote unategemea Ferguson anaweza kumpigia simu Mourinho kumuomba ushauri wa jinsi ya kucheza rafu? This is way below you ata kama ni ushabiki kha!! Ina maana Arsenal wanavyocheza rafu za kipuuzi siku hizi walifundishwa na Mourinho?
 
Yani wewe kwa akili zako zote unategemea Ferguson anaweza kumpigia simu Mourinho kumuomba ushauri wa jinsi ya kucheza rafu? This is way below you ata kama ni ushabiki kha!! Ina maana Arsenal wanavyocheza rafu za kipuuzi siku hizi walifundishwa na Mourinho?
Kampigia simu ya nini au ndo kutojiamini?.

Ferguson said that he would be keen to hear Mourinho's perspective after the Portuguese coach's Real Madrid were knocked out of the Champions League in the other semi-final.

"I speak to (Mourinho) quite a lot and I spoke to him last week," Ferguson said.
"Real Madrid are a different team from us.

"I think we'll depend on our own knowledge of Barcelona - it's not as if we've never seen them before.
"But the experience that Real Madrid have, and from Jose's angle - you always take information from that because he's very helpful that way."

 
Kampigia simu ya nini au ndo kutojiamini?.

Ferguson said that he would be keen to hear Mourinho's perspective after the Portuguese coach's Real Madrid were knocked out of the Champions League in the other semi-final.

"I speak to (Mourinho) quite a lot and I spoke to him last week," Ferguson said.
"Real Madrid are a different team from us.

"I think we'll depend on our own knowledge of Barcelona - it's not as if we've never seen them before.
"But the experience that Real Madrid have, and from Jose's angle - you always take information from that because he's very helpful that way."


Ebo!! sasa kumbe jibu unalo hapo kwenye hiyo habari uliyoiquote....I give up
 
Nenda ukamsaidie Mr Bean kutengeneza na umshawishi kununua wachezaji wazuri.Man City hao na Liverpool wanarudi msipoangalia next season mtagombea nafasi ya Europa League
 
Under the moon we have got Rooney

Another loser ambaye hype ni kubwa lakini delivery zero khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee yupo kama Andy murray kwenye tennis khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee

Wqlivyowafunga Valencia, Lyon na Inter Milan mlikuwa mnawasifia na hamkuwaita mdondo wamefungwa na Man Utd wamekuwa mdondo?

Wapi niliwasifia Wacha ngebe kaka mnaweweseka hata kabla ya mechi khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee

Yani wewe kwa akili zako zote unategemea Ferguson anaweza kumpigia simu Mourinho kumuomba ushauri wa jinsi ya kucheza rafu? This is way below you ata kama ni ushabiki kha!! Ina maana Arsenal wanavyocheza rafu za kipuuzi siku hizi walifundishwa na Mourinho?

Mwenyewe kakiri inabidi amuulize wewe Eqlypz unabisha .... ... are you his secretary? khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee losers wa JF bana khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee naona kama akili za ki-eqlypz eqlypz eqlypz vile khe khe kheeeeeeeeeeeeeeee

Nenda ukamsaidie Mr Bean kutengeneza na umshawishi kununua wachezaji wazuri. Man City hao na Liverpool wanarudi msipoangalia next season mtagombea nafasi ya Europa League

Wale waliowatia bakora Emirates khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee mtashinda OT peke yake kwa sababu ya bahasha out of there ni aibu tu khe khe kheeeeeeeeeeeeeee
 
FERGIESPLASH_1305140a.jpg

Khe khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee
 
KOCHA wa Manchester United, Alex Ferguson ataomba mbinu za mpinzani wake wa zamani Jose Mourinho kuhusu jinsi ya kuweza kuifunga Barcelona kwenye fainali ya Ligi ya Mabingwa baada ya kuichakaza Schalke 04.

Ushindi wa jumla wa mabao 6-1, Jumatano usiku unaifanya United kucheza fainali ya tatu ya mashindano hayo mkubwa ya Ulaya katika kipindi cha miaka minne na Ferguson hataki kubweteka baada ya kuteua timu dhaifu dhidi ya Wajerumani na kupata ushindi wa kishindo.

United itakuwa na kibarua mbele ya Barca kwenye Uwanaj wa Wembley hapo Mei 28 wakirudia fainali ya 2009 ambayo vigogo hao wa Hispania walishinda 2-0.

Japokuwa Ferguson hakuonyesha kuficha kwamba anakaribosha ushauri kutoka kwa kocha wa Real Madrid, Mourinho ambaye timu yake iliwafunga vijana hao wa Catalans kwenye Kombe la Mfamle.

“Tunazungumza mengi. Wiki iliyopita tu tuliwasiliana,” Ferguson aliwaambia wanahabari wakati walipomuuliza kuhusu Mourinho, ambaye alikuwa mpinzani mkubwa wa Mscotland huyo alipokuwa akifundisha Chelsea.

“Tunatejitegemea wenye kuhusu ufahamu wetu juu ya Barcelona, si kama timu ambayo hatujawahi kukutanayo. Lakini wakati wote nimekuwa nikipokea taarifa mbalimbali kutoka kwa Mourinho kwa sababu amekuwa akinisaidia wakati wote.”

Mourinho na Real walicheza na Barca kwenye nusu fainali na kuondolewa Jumanne, lakini waliweza kuonyesha soka nzuri katika mechi za ligi za ndani ikiwa na kuwafunga mchezo moja.

“Sifikiri kwamba tutaenda pale tukiwa hatujiamini... Tunatakiwa kutumia uwezo wetu,” alisema Ferguson.

“Kazi yetu ni kutafuta mbinu sahihi ya wakati tutakapocheza nao.”

Ferguson amekuwa wa kwanza na mtu wa pili kuongoza timu kucheza kwenye fainali sita za Ulaya ya kwanza akiwa na Aberdeen na sasa ni mara ya tano akiwa na United kwenye fainali ya Ligi ya Mabingwa. Mtaliano Giovanni Trapattoni ndiye mtu pekee aliyeweka rekodi ya kuziongoza timu zake saba kucheza fainali za michuano hiyo.

Huku Ferguson akikitumia kikosi cha pili kwenye mchezo wake dhidi ya Schalke, kwa kuwapanga wachezaji tisa tofauti na waliocheza mchezo wa kwanza bado anasuka na jinsi ya kuzuia mchezo wa pasi nyingi wa Barca.

“Tulienda kwenye fainali ya 2009 tukipewa nafasi kubwa ya kuwa mabingwa,” alisema Ferguson. “Tukiwa na kikosi kilichokuwa na uzoefu, lakini waliweza kutuyumbisha.“Uzoefu unaonyesha kwamba timu iliyokuwa kwenye kiwango kama cha kwetu katika mechi hizi za Ulaya ndiyo inayokuwa na nafasi kubwa ya kufanya vizuri kwenye fainalil.”
 
nilimsikia mdau mmoja akidai kuwa Man U na Barca huwa zinabebwa na marefa, sasa sijui itakuwaje.
 
Back
Top Bottom