Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Line-Up-Manchester-United-Schalke-04-Champion_2592904.jpg

the champs
 
hawa vibonde wafungeni hata kumi lakini
ligi mnafungwa na chelsea na watachukua kombe lao na Barca wanawadunda najua zina kutana timu zinazobebwa..

Endelea tu kuota na kuongea pumba haha.....
 
Haya wakuu tumeshafuka daraja hili now tuangalie mambo ya weekend......pamoja guys.
 
Proud to be manure fan!..Anderson kanifurahisha sana dimbani leo, I like his tatoo as well!!
 
hawa vibonde wafungeni hata kumi lakini
ligi mnafungwa na chelsea na watachukua kombe lao na Barca wanawadunda najua zina kutana timu zinazobebwa..

Aaah bwana, weka neti ulale inaonekana umeanza kusinzia..muhimu leo tumeshinda, kujipanga muhimu kwa mechi zijazo!!
 
hawa vibonde wafungeni hata kumi lakini
ligi mnafungwa na chelsea na watachukua kombe lao na Barca wanawadunda najua zina kutana timu zinazobebwa..
Mlianza kusema kuwa hatupiti, haya leo tuko kwenye finals... Kuna watu wengi tu walifikiria Schalke 04 watatufunga leo...!!
 
Kwa jinsi nionavyo baada ya siku sita mtakuwa out ya makombe yote mawili.
Ng'waza Madaso njoo utoe pongezi maana uliamini leo tunatolewa hehehe alafu tumechezesha fringe players, talking about winning with style.
 
Pass ya Gibson ingekuwa imetolewa na Iniesta au Nasri au Wilshere tusingelala leo wangediscuss na kutoa pongezi mpaka mwisho wa dunia.
 
barcelona_man_utd_cl.jpg

Congratulations Red Devils, ...BJ,Manda, Eqlypz, Papizo, Mfarisayo, Belo, Idimi, RR, et al
...I can't wait for the final May 21st ndani ya Wembley, he he he...!!!...
 
evra_v_messi.jpg


...heheheh!!! atatokwa mtu pumu siku hiyo!!!
 

...who wants to bet the winner?

image-2-for-barcelona-v-manchester-united-gallery-446087357.jpg


...khe khe khe!!!
 
Back
Top Bottom