Belo
JF-Expert Member
- Jun 11, 2007
- 12,912
- 10,262
Hii ID ilibadilishwa jina?Glory Glory Man United
Hii ID ilibadilishwa jina?Glory Glory Man United
United wakishinda UEFA, nafikiri Ibra atatundika daluga. Naweza kuwa wrong lakini.Ningekuwa Woodward ningempa Ibra mkataba wa miaka 3
....ila Man United nailavu nyang'anyang'a.One Love...GGMUDuhhh!!! Sasa nishuke kwenye huu mti nisijevunjika mguu bureee!! Maana niliko network ni hovyo balaa, Jamani ninawamiss ile mbaya mashabiki wenzangu wa humu, yaani namiss amsha amsha za humu,yaani napitwajeeee!!! Sijakimbia jukwaa nipo tele mishe za maisha tu zimebana mbaya maana mara nyingi nakuwa sehemu hamna network,ila big up kwenu ninyi wote mnawakilisha jukwaa vyema,love you all....ila Man United nailavu nyang'anyang'a.
Mbavu sinaHongereni pia na mashabiki wa united ambao mmemaliza dk 90 zote. Mimi walipoanza kosakosa kwa kweli nilishindwa kuvumilia maana nilikuwa nahisi kama kuna mtu ndani anakatakata maini na kila kitu.
Msimu ujao ligi kuu tunabeba.
Herrera mali sanamartial leo kazingua mno hakuwa vizuri
Daah naona mmeponea kwenye tundu la sindano![]()
![]()
![]()
Hongereni kwa kwenda Wembley lakini timu yangu Soton haiwezi kuniangusha kabisa
We've won as many trophies in 2 years as Arsenal have won in 9.
Tears.
Mpira ulifata mkono ..au hujui?!Hamkos vichaka kwa nn wasishinde au wale walionyimwa jana penat azpilicueta alipoudala mpira nao wanabebwa?
2020/21. Ila sio msimu huuMan Bingwa Ligi kuu Uingerezaa
Tunzeni hii post
Man u inabebwa mpaka nahisi ni ukweli. Timu mbovuuu
Daah naona mmeponea kwenye tundu la sindano![]()
![]()
![]()
![]()
Hongereni kwa kwenda Wembley lakini timu yangu Soton haiwezi kuniangusha kabisa
2020/21. Ila sio msimu huu
Mbavu sina
Nimeipenda hiii picha ya mdau by the way shiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii wacha maneno haterz mpooo
Kujadiliana na mshabik wa leicester city ni kazi sana we subir juma pili had juma pili uangalie mechi yako ukichukua ubingwa unamaliza wa 10 hazard anamaliza msimu akiwa na goli tatu et mpira umafuata mkono kwako unaweza kutafsir sheria sio ukiweza kunyoosha kidole hakikisha ni msafi timu yenyewe ya 2004 halafu unatoa machoz na mtu alikuzid kwa kila kituMpira ulifata mkono ..au hujui?!