Guasa Ambonii
JF-Expert Member
- Aug 13, 2015
- 8,545
- 10,296
Kuna takwimu nyingine inabidi tubaki nazo wenyewe kwani zinaumiza majirani sio kila ukweli husemwa
Kuna takwimu nyingine inabidi tubaki nazo wenyewe kwani zinaumiza majirani sio kila ukweli husemwa
Hahaaaaaaaaaaa.... Nilishangaa mtu muhimu kama wewe kukosekana humu hasa kwa jana kumbe ni mambo ya network?? Pole sana mpenzi.. BTW kupanda kwenye miti usiku kwa mwanamke sio vizuri ujueDuhhh!!! Sasa nishuke kwenye huu mti nisijevunjika mguu bureee!! Maana niliko network ni hovyo balaa, Jamani ninawamiss ile mbaya mashabiki wenzangu wa humu, yaani namiss amsha amsha za humu,yaani napitwajeeee!!! Sijakimbia jukwaa nipo tele mishe za maisha tu zimebana mbaya maana mara nyingi nakuwa sehemu hamna network,ila big up kwenu ninyi wote mnawakilisha jukwaa vyema,love you all....ila Man United nailavu nyang'anyang'a.




Duhhh!!! Sasa nishuke kwenye huu mti nisijevunjika mguu bureee!! Maana niliko network ni hovyo balaa, Jamani ninawamiss ile mbaya mashabiki wenzangu wa humu, yaani namiss amsha amsha za humu,yaani napitwajeeee!!! Sijakimbia jukwaa nipo tele mishe za maisha tu zimebana mbaya maana mara nyingi nakuwa sehemu hamna network,ila big up kwenu ninyi wote mnawakilisha jukwaa vyema,love you all....ila Man United nailavu nyang'anyang'a.
Ondoa EPL kwenye orodha yako, hata top four hamtakuwepo.Saaaaaafi
Bado FA Cup
Bado EPL
Bado Europa
Wajipime wapi mkuu.Chelsea na Rostow wajipime dume yuko njiani na hana cha msalia mtume
He he he...Ondoa EPL kwenye orodha yako, hata top four hamtakuwepo.
Kumbe bado haujapona UCHIZI mkuu..!?Man Bingwa Ligi kuu Uingerezaa
Tunzeni hii post
Liverpool hii huwa hawaitaji kwao ni kombe la mbuzi. Hongereni tukutane tarehe 13th March Stanford bridge.
Weeeeeeeee!!! Ningewezaje kulala siku ya jana bila kucoment humu hahhahaha hata bodaboda ningekodisha niende sehemu ya network,usijali dear nilikuwa na kamulinzi kananiangalia.....yaani ungeniona jana nilivyokuwa nahangaika ungecheka kama kuku anayetaka kutaga.Hahaaaaaaaaaaa.... Nilishangaa mtu muhimu kama wewe kukosekana humu hasa kwa jana kumbe ni mambo ya network?? Pole sana mpenzi.. BTW kupanda kwenye miti usiku kwa mwanamke sio vizuri ujue![]()
![]()
![]()
My sweet yaani nipo kama sipo!!! Hongera nawe ila basi katika shida na raha tuwe pamoja,ila wewe ndoa yako na United ni katika raha tu,wewe nomaaaUpo???? GGM

Asante sana best anguuu!!! Kazana na wewe msitoke kapa msimu huu ohhhhh umeshau ajidhaniaye amesimama............!!!Hongereni sana wakuu kwa ushindi wenu wa jana.
Msimu huu sidhani kama ntatoka kapa best, nakazana isiwe hivyo. Si unajua mimi nawe bado kukutana mara mbili kama sio tatu.Asante sana best anguuu!!! Kazana na wewe msitoke kapa msimu huu ohhhhh umeshau ajidhaniaye amesimama............!!!






Ila best akili zako wewe...Weeeeeeeee!!! Ningewezaje kulala siku ya jana bila kucoment humu hahhahaha hata bodaboda ningekodisha niende sehemu ya network,usijali dear nilikuwa na kamulinzi kananiangalia.....yaani ungeniona jana nilivyokuwa nahangaika ungecheka kama kuku anayetaka kutaga.



