Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

73cf6bb4a21cf8a58d9cb92d0bb0f5a4.jpg
Kuna takwimu nyingine inabidi tubaki nazo wenyewe kwani zinaumiza majirani sio kila ukweli husemwa
 
Duhhh!!! Sasa nishuke kwenye huu mti nisijevunjika mguu bureee!! Maana niliko network ni hovyo balaa, Jamani ninawamiss ile mbaya mashabiki wenzangu wa humu, yaani namiss amsha amsha za humu,yaani napitwajeeee!!! Sijakimbia jukwaa nipo tele mishe za maisha tu zimebana mbaya maana mara nyingi nakuwa sehemu hamna network,ila big up kwenu ninyi wote mnawakilisha jukwaa vyema,love you all ....ila Man United nailavu nyang'anyang'a.
Hahaaaaaaaaaaa.... Nilishangaa mtu muhimu kama wewe kukosekana humu hasa kwa jana kumbe ni mambo ya network?? Pole sana mpenzi.. BTW kupanda kwenye miti usiku kwa mwanamke sio vizuri ujue
 
Duhhh!!! Sasa nishuke kwenye huu mti nisijevunjika mguu bureee!! Maana niliko network ni hovyo balaa, Jamani ninawamiss ile mbaya mashabiki wenzangu wa humu, yaani namiss amsha amsha za humu,yaani napitwajeeee!!! Sijakimbia jukwaa nipo tele mishe za maisha tu zimebana mbaya maana mara nyingi nakuwa sehemu hamna network,ila big up kwenu ninyi wote mnawakilisha jukwaa vyema,love you all ....ila Man United nailavu nyang'anyang'a.

Tuko pamoja.
 
Hahaaaaaaaaaaa.... Nilishangaa mtu muhimu kama wewe kukosekana humu hasa kwa jana kumbe ni mambo ya network?? Pole sana mpenzi.. BTW kupanda kwenye miti usiku kwa mwanamke sio vizuri ujue
Weeeeeeeee!!! Ningewezaje kulala siku ya jana bila kucoment humu hahhahaha hata bodaboda ningekodisha niende sehemu ya network,usijali dear nilikuwa na kamulinzi kananiangalia.....yaani ungeniona jana nilivyokuwa nahangaika ungecheka kama kuku anayetaka kutaga.
 
Asante sana best anguuu!!! Kazana na wewe msitoke kapa msimu huu ohhhhh umeshau ajidhaniaye amesimama............!!!
Msimu huu sidhani kama ntatoka kapa best, nakazana isiwe hivyo. Si unajua mimi nawe bado kukutana mara mbili kama sio tatu.
 
Weeeeeeeee!!! Ningewezaje kulala siku ya jana bila kucoment humu hahhahaha hata bodaboda ningekodisha niende sehemu ya network,usijali dear nilikuwa na kamulinzi kananiangalia.....yaani ungeniona jana nilivyokuwa nahangaika ungecheka kama kuku anayetaka kutaga.
Ila best akili zako wewe...
 
Back
Top Bottom