Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Dah ningekuwa wa kubet leo ningeshinda aisee...

Hongereni ila Southampton sidhani kama watawaacha. Tukutane next month Wembley.


Hongereni..mnaweza kurudi jukwaani kwenu.
 
Sijajua Hull wana mechi gani this weekend ila Evandro na Abel wangeanza ingekuwa another story.


However, sifa kwenu esp de Gea...

Leicester next...labda watafufukia kwenu!
 
Sijajua Hull wana mechi gani this weekend ila Evandro na Abel wangeanza ingekuwa another story.


However, sifa kwenu esp de Gea...

Leicester next...labda watafufukia kwenu!
Kikombe cha kwanza hicho, count in..
Manchester hii sasa sifaa kila siku nyamaa
 
Poor performance, Jose alipaswa kupumzisha key players Ibra,Herrera,Carick
 
Sikujua kuwa hapa JF kuna washabiki wengi wa Southampton

MUHIMU: Kuna baadhi ya comments zao nimezisave... tarehe 26/2 wasije kusema "Mnashangilia ushindi kwa kucheza na vibonde"
 
Sijajua Hull wana mechi gani this weekend ila Evandro na Abel wangeanza ingekuwa another story.


However, sifa kwenu esp de Gea...

Leicester next...labda watafufukia kwenu!
Wanacheza tena na vibonde wao man United kwa hiyo wataendelea kubaki pale pale nafasi ya 6
 
Timu ni zile zile.

Na nyie nawafahamu vyema....

Good thing is kesho nitakuwa live kuangalia Hull akiwafundisha mpira. Pamoja na Mason kuumia lakini hamna uwezo wa kumfunga keshi hata refa akiwabeba na offside goals zenu.
Ukiambiwa utuze maneno yako uwe unafanya
 
c0ab83879bcfe70b0e6a6288a5c0a92c.jpg


Tukutane
 
Back
Top Bottom