Naomba ni kuulize, kinacho kufanya useme utd ita baunse back ni nini!!? Chelsea ana cheza vizuri lakini kama aliye mpita point 3 unasema ana struggle ni jambo la kushangaza. Yaan timu inayo fanya vibaya imepitwa point 4 na anaye fanya vizuri!! Haiwezekani. So timu nyingine ziko vizuri, na hata kama haziko vzuri si kama United ambayo haionekani kuwa sawa.
Hao hao mabeki unao wasema LvG alicheza nao na akaingia top four, akawa wa tano na akawa bingwa wa FA, na ukumbuke LVG hakuweza kuwanunua watu kama Mikhi, Pogba na Zlatan. LvG akiwahi kuwa na beki ya Rojo, fosu mensah, Love na Blind itwas worse than this, Rekodi ya LVG si mbaya kias useme Mou ali ikuta timu iko kwenye dimbwi la kufeli. Unajua Arsenal ili ipita point ngapi man utd ya LvG? Point 5, unajua tot iliipta point ngap man utd 4. Man city ilitupita magoli, liverpoool tulimpita point 10,
Sasa kama timu hizo zote zina struggle now masuala ya kupitwa point 6-10 yana ashiria nini zaidi ya sisi kushuka? Mou alikuwa na kaz ndogo tu ya kuichukua timu toka ilipo kuwa na kuifanya ipambane zaid. Na si ishuke zaid alipo tuacha LvG yeye karudi nyuma hatua 5.
Mourinho alijua atakuwa kocha toka mwezi wa 4 mi namfaham Mou angejua timu yote mbovu angenunua hata wachezaj sita, kwa sasa hana la kujitetea kwa kuwa ali ridhia usajili alo fanya ambao hau work, na aka tuaminisha kuwa tutapigania ubingwa.
Mourinho mara ya mwisho kufanya sub iliyoleta impact kwenye timu ni mwezi wa 8 against Hull, ila baada ya hapo sub zake ni za hovyo, na si wachezaji wabaya ila hajui nani aingie wakat gani. Ana chezesha wachezaji sehem hawastahili kama juzi pogba, ana mchezesha Darmian left wakat Blind yupo. Tatizo kubwa haliko kwenye beki liko kwenye kushambulia, utapigaje shots 37 halafu hata goli moja hufungi, utapigaje shots 12 unafunga goli moja!!, this means tatizo lipo lakini kocha kashibdwa kulifanyia ufumbuzi.
Wachezaj walaumiwe? Yes hawakosi kwenye lawama ila namba 1 kocha.
Kocha najua atapewa muda, apewe na pesa asajili tena tuone kitatokea nin.