Tehe tehe tehe
Mimi
kashengo ni kweli ninampenda sn Mourinho kwasababu ktk timu yetu pale darajani ndio Mwenye mafanikio makubwa kuliko makocha wengine wote. Ingawa hakutupatia ndoo ya UEFA. Lkn nusu fainali kibao tu za UEFA alitufikisha.
Ninacho simamia ni hichi hapa tena ni kitu kidogo tu ukikiangalia.
Km Utd na Mourinho ni wabovu Basi timu zote za EPL ni mbovu na makocha wao wabovu pia.
Nasema hivi kwasababu kadhaa. Wewe Gunners ulitufunga na ukachukua points zote 3 lkn kwanini Leo hii uko chini ya Chelsea tena kwa tofauti ya points 3 hizo hizo?
Ukipata jibu utaona kua kumbe wote wana struggle.
Utd kapata sare nyingi sn kwanini LFC na City na ata Gunners hawazidi kutanua gape la points na kumuacha Utd Ata kwa tofauti ya alama 21?
Ukipata jibu Basi utaona akisemacho
Iceman 3D sio sahihi.