Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Y united inawapa shida sana hata makocha nguli???
Ni kwa sababu Mfumo alokuwa nao S AF hakuna kocha ambaye ataweza kuumud kwa kipind hk kifup
Itachukua mda sana man u kuja kurud kwenye form
Kocha kukaa na tm zaid ya miaka 20 akija kuondoka ni lazm iwe tatizo kwa kwel
 
Haki spurs wakipindua meli OT (ikiwa itatokea) jambo ambalo ni 50% ku happen

Hili jukwaa litakuwa na MAPOVU balaa

Daaah.....maana


tusubiri na kuona....!! maana kuna Battle ya khatari sana hili jukwaa

ICE MAN hata hivyo unalichangamsha Jukwaa....Stand for what you believe

Misimamo haifanani....!!!

Ntuzu we ni Pro mourinho comment zako ukizitazama zina Bias ya mapenzi na mahaba binafsi ya Mou

ila Mou ndo alikufanya Uipende Chelsea 2004 naskia kabla ya Hapo ulikuwaga Liverpool

Poor You ukute umehama nae OT

am Outta Here
 
Haki spurs wakipindua meli OT (ikiwa itatokea) jambo ambalo ni 50% ku happen

Hili jukwaa litakuwa na MAPOVU balaa

Daaah.....maana


tusubiri na kuona....!! maana kuna Battle ya khatari sana hili jukwaa

ICE MAN hata hivyo unalichangamsha Jukwaa....Stand for what you believe

Misimamo haifanani....!!!

Ntuzu we ni Pro mourinho comment zako ukizitazama zina Bias ya mapenzi na mahaba binafsi ya Mou

ila Mou ndo alikufanya Uipende Chelsea 2004 naskia kabla ya Hapo ulikuwaga Liverpool

Poor You ukute umehama nae OT

am Outta Here
Tehe tehe tehe


Mimi kashengo ni kweli ninampenda sn Mourinho kwasababu ktk timu yetu pale darajani ndio Mwenye mafanikio makubwa kuliko makocha wengine wote. Ingawa hakutupatia ndoo ya UEFA. Lkn nusu fainali kibao tu za UEFA alitufikisha.


Ninacho simamia ni hichi hapa tena ni kitu kidogo tu ukikiangalia.


Km Utd na Mourinho ni wabovu Basi timu zote za EPL ni mbovu na makocha wao wabovu pia.

Nasema hivi kwasababu kadhaa. Wewe Gunners ulitufunga na ukachukua points zote 3 lkn kwanini Leo hii uko chini ya Chelsea tena kwa tofauti ya points 3 hizo hizo?

Ukipata jibu utaona kua kumbe wote wana struggle.

Utd kapata sare nyingi sn kwanini LFC na City na ata Gunners hawazidi kutanua gape la points na kumuacha Utd Ata kwa tofauti ya alama 21?

Ukipata jibu Basi utaona akisemacho Iceman 3D sio sahihi.
 
Alafu kashengo Mimi nimeanza kuipenda na kusapoti Chelsea wakati ule ligi ya EPL imeanza kurushwa kwetu huku. Miaka hiyo sasa ukijua ni miaka gani Basi hiyo 2004 itakua majuzi tu
 
Na pia siwezi kuhamia Utd eti kisa Mourinho yuko hapo. Mourinho atabaki kua Mourinho na Mimi ninamchukulia km kocha Mwenye mafanikio hapa kwetu darajani makubwa mpk Aje atokee mwingine
 
Tehe tehe tehe


Mimi kashengo ni kweli ninampenda sn Mourinho kwasababu ktk timu yetu pale darajani ndio Mwenye mafanikio makubwa kuliko makocha wengine wote. Ingawa hakutupatia ndoo ya UEFA. Lkn nusu fainali kibao tu za UEFA alitufikisha.


Ninacho simamia ni hichi hapa tena ni kitu kidogo tu ukikiangalia.


Km Utd na Mourinho ni wabovu Basi timu zote za EPL ni mbovu na makocha wao wabovu pia.

Nasema hivi kwasababu kadhaa. Wewe Gunners ulitufunga na ukachukua points zote 3 lkn kwanini Leo hii uko chini ya Chelsea tena kwa tofauti ya points 3 hizo hizo?

Ukipata jibu utaona kua kumbe wote wana struggle.

Utd kapata sare nyingi sn kwanini LFC na City na ata Gunners hawazidi kutanua gape la points na kumuacha Utd Ata kwa tofauti ya alama 21?

Ukipata jibu Basi utaona akisemacho Iceman 3D sio sahihi.
Hebu kuwa realistic bas, unajua arsenl mara ya mwisho kafungwa lini kwenye ligi kuu!?
Unajua point 10, alizo tupita Arsenal yeye kapitwa point 3 tuu na Chelsea!? kwenye footbal si mchezo, unajua kuwa points zina determine ubingwa
Okey umesema man utd metoa sare nyingi yet hawa wengine wana struggle, ikiwa ni hivo bas kwenye mwaka wa ku struggle gap la point 4 tuu huwa kubwa kwa kuwa timu hazifanyi vizuri, angalia mwaka jana Leceister alimpita Arsenla point 8- 10 , Tot na Arsenal walipishana point 1, Man utd na man City walipishana magoli, lakini Southampot alipitwa na Mn utd kwa point 7, hivo kwenye mwaka wa ku struggle its almost impossible ku surge kizembe na kumpita mtu, aliye kuzidi more than 5 points.
Kumbuka hapo hapo , lecesiter walifungwa na Arsenal game zote 2, na sisi pia tulichukua point 4 kati ya possible 6 dhidi ya man city, hapo hapo Southampot walitufunga nasi tukawafunga. so michanganyiko ya matokeo na strugle hai predict wewe unacho predict na ukumbuke man utd hatuko kwenye struggle tu hii ni deep struggle.

Ukichukulia hivo basi bado man utd haifiki mbali, kwani ni ngumu ku surge point kwa gap kama hilo.

Bado my rhetoric stands baba kajipange urudi na arguement nyingine.
 
Hebu kuwa realistic bas, unajua arsenl mara ya mwisho kafungwa lini kwenye ligi kuu!?
Unajua point 10, alizo tupita Arsenal yeye kapitwa point 3 tuu na Chelsea!? kwenye footbal si mchezo, unajua kuwa points zina determine ubingwa
Okey umesema man utd metoa sare nyingi yet hawa wengine wana struggle, ikiwa ni hivo bas kwenye mwaka wa ku struggle gap la point 4 tuu huwa kubwa kwa kuwa timu hazifanyi vizuri, angalia mwaka jana Leceister alimpita Arsenla point 8- 10 , Tot na Arsenal walipishana point 1, Man utd na man City walipishana magoli, lakini Southampot alipitwa na Mn utd kwa point 7, hivo kwenye mwaka wa ku struggle its almost impossible ku surge kizembe na kumpita mtu, aliye kuzidi more than 5 points.
Kumbuka hapo hapo , lecesiter walifungwa na Arsenal game zote 2, na sisi pia tulichukua point 4 kati ya possible 6 dhidi ya man city, hapo hapo Southampot walitufunga nasi tukawafunga. so michanganyiko ya matokeo na strugle hai predict wewe unacho predict na ukumbuke man utd hatuko kwenye struggle tu hii ni deep struggle.

Ukichukulia hivo basi bado man utd haifiki mbali, kwani ni ngumu ku surge point kwa gap kama hilo.

Bado my rhetoric stands baba kajipange urudi na arguement nyingine.
Ile hali ya Ku struggle kwa timu zote ya msimu uliopita ndio hiyo hiyo iko ktk msimu huu.

Ukiiondoa Chelsea pekee ambayo inaonekana kufanya vzr timu zingine zooote zinafanya vibaya. Na zinapata matokeo kwa shida sn....

So Utd Ku bounce back na Ku cover hizo points ni rahisi sn hasa ukizingatia kwa sasa ligi bado haijafika Ata nusu. Na Jose ktk dirisha dogo lazima anunue wachezaji ktk kuimarisha kikosi chake maana tatizo kubwa LA Utd ni kukosekana wachezaji wazuri ili kufanya timu kua imara. Tatizo wala si kocha.


Km wewe ni shabiki Wa Utd kweli unaweza kuniambia ktk back line yako kuna mabeki waliofikisha kiwango cha Nemanja Vidic na REO au Evra? Ukimtoa huyu Valencia anaejitahidi hao wengine wamefika hicho kiwango cha hao wakongwe?


Tuje ktk middle ukimuacha Carrick, hawa wengine wameweza kufuka uwezo Wa kina Schols na Kean au Daren Fletcha? Huko mbele ndio usiseme.


Timu hii ilivurugwa sn na Moyes na LvG na kwa kifupi ktk Utd tatizo sio kocha tatizo ni kwamba hamna wachezaji wazuri kuweza kushinda na ili kutwaa kombe. Mkimpa muda Mourinho kujenga timu akaweka wachezaji anaowataka yeye soon tu mtaona mafanikio.


Mourinho kakuta timu ni mbovu kila kitu. Na Ata hizo usajiri alizofanya zinaonekana kufail kwasababu timu ni mbovu. Amenunua CB mmoja ambae sasaivi ni majeruhi lkn back line haiwezi kua imara km middle ziko hovyo.

Leo hii vipigo vinavyo iandama Leicester city wengine wanasema ni kwasababu ya kuondoka Kante. Na hiyo ndio sbbu Ata ya timu ya Chelsea kufunga goli 22 ktk mechi 8 na wao kufungwa goli 2 tu.


Alichofanya Mourinho ni kujaribu kuwatumia wachezaji hao hao ktk msimu huu, lkn kwa kifupi Mourinho alitakiwa aifumue upya hiyo timu km alivyopata nafasi ya kuifumua LvG. Na taratibu ataifumua. Ndio maana mpk sasa hana first eleven na hana wachezaji maalumu ktk nafasi Fulani Fulani.


Lkn Ata kwa hii hii timu iliyo haina wachezaji wazuri bado Mourinho ana uwezo Wa kufika ktk top four na kufanya vzr kwasababu Ata timu zingine km LFC na city nazo zinavurunda.
 
Guys kinachoendelea kwenye page za manchester social network ni balaa. Mana big fella anashambuliwa vibaya mno.
wanaomshambulia fellain nashindwa kuwaelewa hivi utalindaje goli moja kama sio kujitakia matatizo kama yaliyotokea kwa fellain. Hivi man u imeisha kiasi hicho mpaka inalinda goli moja tena dhidi ya everton.
Fellain hana kosa lolote zaidi ya kwamba timu nzima ya man u ni mbovu
 
Ile hali ya Ku struggle kwa timu zote ya msimu uliopita ndio hiyo hiyo iko ktk msimu huu.

Ukiiondoa Chelsea pekee ambayo inaonekana kufanya vzr timu zingine zooote zinafanya vibaya. Na zinapata matokeo kwa shida sn....

So Utd Ku bounce back na Ku cover hizo points ni rahisi sn hasa ukizingatia kwa sasa ligi bado haijafika Ata nusu. Na Jose ktk dirisha dogo lazima anunue wachezaji ktk kuimarisha kikosi chake maana tatizo kubwa LA Utd ni kukosekana wachezaji wazuri ili kufanya timu kua imara. Tatizo wala si kocha.


Km wewe ni shabiki Wa Utd kweli unaweza kuniambia ktk back line yako kuna mabeki waliofikisha kiwango cha Nemanja Vidic na REO au Evra? Ukimtoa huyu Valencia anaejitahidi hao wengine wamefika hicho kiwango cha hao wakongwe?


Tuje ktk middle ukimuacha Carrick, hawa wengine wameweza kufuka uwezo Wa kina Schols na Kean au Daren Fletcha? Huko mbele ndio usiseme.


Timu hii ilivurugwa sn na Moyes na LvG na kwa kifupi ktk Utd tatizo sio kocha tatizo ni kwamba hamna wachezaji wazuri kuweza kushinda na ili kutwaa kombe. Mkimpa muda Mourinho kujenga timu akaweka wachezaji anaowataka yeye soon tu mtaona mafanikio.


Mourinho kakuta timu ni mbovu kila kitu. Na Ata hizo usajiri alizofanya zinaonekana kufail kwasababu timu ni mbovu. Amenunua CB mmoja ambae sasaivi ni majeruhi lkn back line haiwezi kua imara km middle ziko hovyo.

Leo hii vipigo vinavyo iandama Leicester city wengine wanasema ni kwasababu ya kuondoka Kante. Na hiyo ndio sbbu Ata ya timu ya Chelsea kufunga goli 22 ktk mechi 8 na wao kufungwa goli 2 tu.


Alichofanya Mourinho ni kujaribu kuwatumia wachezaji hao hao ktk msimu huu, lkn kwa kifupi Mourinho alitakiwa aifumue upya hiyo timu km alivyopata nafasi ya kuifumua LvG. Na taratibu ataifumua. Ndio maana mpk sasa hana first eleven na hana wachezaji maalumu ktk nafasi Fulani Fulani.


Lkn Ata kwa hii hii timu iliyo haina wachezaji wazuri bado Mourinho ana uwezo Wa kufika ktk top four na kufanya vzr kwasababu Ata timu zingine km LFC na city nazo zinavurunda.
Ntuzu nini kilichomtokea mourinho chelsea mpaka timu ikataka kushuka daraja? Kama tatizo ni wachezaji nini kiliwafanya wachezaji haohao waliompa ubingwa msimu uliopita wamsaliti tena?
Kama tatizo ni mourinho huoni tatizo alilofanya chese amelihamishia man u
Ntuzu ebu nipe first eleven ya man u kwa sasa according to mourinho
 
Ntuzu nini kilichomtokea mourinho chelsea mpaka timu ikataka kushuka daraja? Kama tatizo ni wachezaji nini kiliwafanya wachezaji haohao waliompa ubingwa msimu uliopita wamsaliti tena?
Kama tatizo ni mourinho huoni tatizo alilofanya chese amelihamishia man u
Ntuzu ebu nipe first eleven ya man u kwa sasa according to mourinho
Unajua Mourinho ni kocha Mwenye karibu ya kumpa mtu ukweli akikosea bila kumumunya maneno na wala mazingira ya wapi asemee hayo mambo. Lkn hilo Mimi sioni km ni tatizo maana yeye usimamie kile anachokiamini na km manager lazima uwe na msimamo imara kwasababu km timu inavuruga manager ndio anaewajibishwa na wala si wachezaji. Kwahiyo ktk hili José yuko sahihi.


Matatizo yaliyoikumba Chelsea na Mourinho ni mengi mno na mengi yalitoka nje ya uwanja. Kwanza tunapaswa kufahamu kua km bongo kuna figisu figisu na timu Fulani zinaonekana kubebwa Basi Ata huko kwa wenzetu figisu ndio zimeanzia huko. Watu wako na interest zao kubwa na timu za EPL na pia hawapendi kumuona Mourinho anakua mfalme ktk EPL na kujichukulia trophies atakavyo na kuweka records kibao tu wakati kuna makocha wao wazuri tu na timu zao nzuri miaka dahali zinahangaika. Kwahiyo wako tayari kutumia hila nyingi kumkwamisha huyu mtu.

Kwa Chelsea kulikua ni matatizo lukuki. Wachezaji viwango vilishuka. Kukawa na makundi ktk timu, vyombo vya hbr na waingereza na ata FA hawakumpenda Mourinho na wakawa wanakuza mambo mpk yakaleta shida kubwa kiasi ikaonekana shida ni yeye kuwepo ktk timu na ili kuinusuru timu ni bora kumtoa. Na Ata alipotolewa timu iliendelea kufanya vibaya tu ikiwa chini ya Mzee Hindik. Kwahiyo kwa Chelsea matatizo yalikua beyond.


Tukija kwa Utd kwa sasa, tatizo Mimi ninalo liona kubwa ni kwamba Utd haina wachezaji wenye viwango vya ushindani ili kuchukua kombe. So Mourinho anahitaji kujenga timu na kupata kikosi imara km SAF. Unaweza kuniambia ni kwanini kwa Chelsea alifanikiwa ktk misimu miwili tu? Jibu lake ni kwamba kwa Chelsea wachezaji karibu wengi walikua ni mabeki Yake yeye Mourinho na pia aliwahi kua hapo so phalisafa ya timu na mambo yote kwa ujumla anayatambua vzr ndio maana ilikua rahisi.


Sasa kwa Utd ni tofauti kidogo. Amekuta timu mbovu timu haina wachezaji imara km Wa Mzee SAF, wachezaji viwango vimeshuka. Ashley Young Wa babu SAF sio huyu Wa sasa. Rooney nae hivyo hivyo. Yani ukimtoa Di Gea na Carrick na Valencia ktk mabaki ya SAF hawa wengine ni hovyo kabisa. Ndio maana Ata Kadabra Pogba hawaonekani kuleta matunda hapo wamenunuliwa kwa mijihela mingi. So matatizo ya Utd ni wachezaji na si kocha. Na km Mourinho atanunua wachezaji hii Jan Basi timu utafanya vzr na msimu ujao akipewa nafasi kujenga timu mtafanya vzr sn. Lkn kwa sasa tatizo lkn Utd ni wachezaji wenyewe na si kocha.
 
Unajua Mourinho ni kocha Mwenye karibu ya kumpa mtu ukweli akikosea bila kumumunya maneno na wala mazingira ya wapi asemee hayo mambo. Lkn hilo Mimi sioni km ni tatizo maana yeye usimamie kile anachokiamini na km manager lazima uwe na msimamo imara kwasababu km timu inavuruga manager ndio anaewajibishwa na wala si wachezaji. Kwahiyo ktk hili José yuko sahihi.


Matatizo yaliyoikumba Chelsea na Mourinho ni mengi mno na mengi yalitoka nje ya uwanja. Kwanza tunapaswa kufahamu kua km bongo kuna figisu figisu na timu Fulani zinaonekana kubebwa Basi Ata huko kwa wenzetu figisu ndio zimeanzia huko. Watu wako na interest zao kubwa na timu za EPL na pia hawapendi kumuona Mourinho anakua mfalme ktk EPL na kujichukulia trophies atakavyo na kuweka records kibao tu wakati kuna makocha wao wazuri tu na timu zao nzuri miaka dahali zinahangaika. Kwahiyo wako tayari kutumia hila nyingi kumkwamisha huyu mtu.

Kwa Chelsea kulikua ni matatizo lukuki. Wachezaji viwango vilishuka. Kukawa na makundi ktk timu, vyombo vya hbr na waingereza na ata FA hawakumpenda Mourinho na wakawa wanakuza mambo mpk yakaleta shida kubwa kiasi ikaonekana shida ni yeye kuwepo ktk timu na ili kuinusuru timu ni bora kumtoa. Na Ata alipotolewa timu iliendelea kufanya vibaya tu ikiwa chini ya Mzee Hindik. Kwahiyo kwa Chelsea matatizo yalikua beyond.


Tukija kwa Utd kwa sasa, tatizo Mimi ninalo liona kubwa ni kwamba Utd haina wachezaji wenye viwango vya ushindani ili kuchukua kombe. So Mourinho anahitaji kujenga timu na kupata kikosi imara km SAF. Unaweza kuniambia ni kwanini kwa Chelsea alifanikiwa ktk misimu miwili tu? Jibu lake ni kwamba kwa Chelsea wachezaji karibu wengi walikua ni mabeki Yake yeye Mourinho na pia aliwahi kua hapo so phalisafa ya timu na mambo yote kwa ujumla anayatambua vzr ndio maana ilikua rahisi.


Sasa kwa Utd ni tofauti kidogo. Amekuta timu mbovu timu haina wachezaji imara km Wa Mzee SAF, wachezaji viwango vimeshuka. Ashley Young Wa babu SAF sio huyu Wa sasa. Rooney nae hivyo hivyo. Yani ukimtoa Di Gea na Carrick na Valencia ktk mabaki ya SAF hawa wengine ni hovyo kabisa. Ndio maana Ata Kadabra Pogba hawaonekani kuleta matunda hapo wamenunuliwa kwa mijihela mingi. So matatizo ya Utd ni wachezaji na si kocha. Na km Mourinho atanunua wachezaji hii Jan Basi timu utafanya vzr na msimu ujao akipewa nafasi kujenga timu mtafanya vzr sn. Lkn kwa sasa tatizo lkn Utd ni wachezaji wenyewe na si kocha.

Nakubaliana na wewe.
 
Unajua Mourinho ni kocha Mwenye karibu ya kumpa mtu ukweli akikosea bila kumumunya maneno na wala mazingira ya wapi asemee hayo mambo. Lkn hilo Mimi sioni km ni tatizo maana yeye usimamie kile anachokiamini na km manager lazima uwe na msimamo imara kwasababu km timu inavuruga manager ndio anaewajibishwa na wala si wachezaji. Kwahiyo ktk hili José yuko sahihi.


Matatizo yaliyoikumba Chelsea na Mourinho ni mengi mno na mengi yalitoka nje ya uwanja. Kwanza tunapaswa kufahamu kua km bongo kuna figisu figisu na timu Fulani zinaonekana kubebwa Basi Ata huko kwa wenzetu figisu ndio zimeanzia huko. Watu wako na interest zao kubwa na timu za EPL na pia hawapendi kumuona Mourinho anakua mfalme ktk EPL na kujichukulia trophies atakavyo na kuweka records kibao tu wakati kuna makocha wao wazuri tu na timu zao nzuri miaka dahali zinahangaika. Kwahiyo wako tayari kutumia hila nyingi kumkwamisha huyu mtu.

Kwa Chelsea kulikua ni matatizo lukuki. Wachezaji viwango vilishuka. Kukawa na makundi ktk timu, vyombo vya hbr na waingereza na ata FA hawakumpenda Mourinho na wakawa wanakuza mambo mpk yakaleta shida kubwa kiasi ikaonekana shida ni yeye kuwepo ktk timu na ili kuinusuru timu ni bora kumtoa. Na Ata alipotolewa timu iliendelea kufanya vibaya tu ikiwa chini ya Mzee Hindik. Kwahiyo kwa Chelsea matatizo yalikua beyond.


Tukija kwa Utd kwa sasa, tatizo Mimi ninalo liona kubwa ni kwamba Utd haina wachezaji wenye viwango vya ushindani ili kuchukua kombe. So Mourinho anahitaji kujenga timu na kupata kikosi imara km SAF. Unaweza kuniambia ni kwanini kwa Chelsea alifanikiwa ktk misimu miwili tu? Jibu lake ni kwamba kwa Chelsea wachezaji karibu wengi walikua ni mabeki Yake yeye Mourinho na pia aliwahi kua hapo so phalisafa ya timu na mambo yote kwa ujumla anayatambua vzr ndio maana ilikua rahisi.


Sasa kwa Utd ni tofauti kidogo. Amekuta timu mbovu timu haina wachezaji imara km Wa Mzee SAF, wachezaji viwango vimeshuka. Ashley Young Wa babu SAF sio huyu Wa sasa. Rooney nae hivyo hivyo. Yani ukimtoa Di Gea na Carrick na Valencia ktk mabaki ya SAF hawa wengine ni hovyo kabisa. Ndio maana Ata Kadabra Pogba hawaonekani kuleta matunda hapo wamenunuliwa kwa mijihela mingi. So matatizo ya Utd ni wachezaji na si kocha. Na km Mourinho atanunua wachezaji hii Jan Basi timu utafanya vzr na msimu ujao akipewa nafasi kujenga timu mtafanya vzr sn. Lkn kwa sasa tatizo lkn Utd ni wachezaji wenyewe na si kocha.
sasa mkuu Ntuzu mourinho apewe nafasi mara ngapi ya kununua wachezaji yeye ndiye aliwanunua wakina pogba, mkytarian sijui, baily, kadabra wote hawa hawajamsaidia? Kama jibu ni ndiyo basi yeye ndiyo mwenye matatizo.
 
Nakubaliana na wewe.
Unajua japo kua mimi ni shabiki Wa Chelsea lkn ninazifatilia timu zingine vzr kabisa.


Na hua sipendi watu kuponda makocha au timu zingine bila fact halisi.

Kwa matatizo ya Utd ni kwamba Utd haina wachezaji wa viwango vya kuchukua kombe au kuleta ushindani mkubwa km ilivyokua kwa SAF. Na ata LFC hii ya Klopp nayo ni timu isiyokua na wachezaji Wa kushinda EPL. Na Klopp atafail na kupotea kabisa ktk hiyo top four.
 
Unajua japo kua mimi ni shabiki Wa Chelsea lkn ninazifatilia timu zingine vzr kabisa.


Na hua sipendi watu kuponda makocha au timu zingine bila fact halisi.

Kwa matatizo ya Utd ni kwamba Utd haina wachezaji wa viwango vya kuchukua kombe au kuleta ushindani mkubwa km ilivyokua kwa SAF. Na ata LFC hii ya Klopp nayo ni timu isiyokua na wachezaji Wa kushinda EPL. Na Klopp atafail na kupotea kabisa ktk hiyo top four.

Uko sahihi kabisa,lazima timu iwe na match winner. Piga hua lazima kuwe na mchezaji atakaeleta points 3 muhimu. Man United amna mchezaji wa aina hiyo.
 
sasa mkuu Ntuzu mourinho apewe nafasi mara ngapi ya kununua wachezaji yeye ndiye aliwanunua wakina pogba, mkytarian sijui, baily, kadabra wote hawa hawajamsaidia? Kama jibu ni ndiyo basi yeye ndiyo mwenye matatizo.


Sizani km kwa huo usajili Wa wachezaji wanne km the rest ya wachezaji hawako vzr kunaweza kuleta tija.

Jose kamnunua huyo CB mmoja na amekua majeruhi sasa kwa muda lkn back line ya Utd yote imeonekana kua mbovu kasoro Valencia tu. Wamekua wakifanya makosa ya ajabu na kufungwa hovyo. Unaweza kurejea goli LA kwanza LA Pedro pale darajani utaona ni upuuzi Wa wachezaji au viwango vibovu vya mabeki hasa CBs ndio wanaleta shida. Ingawa wakati mwingine uimara Wa mabeki hujengwa na middle fields players hapa ndio kuna shida kubwa. Maana hawa kina Fellaini, Herrera na ata hizi wings bado hawajafikia uwezo Wa kina Hagreves, Schols, Kean na Daren Fletcha na ata Carrick. Ndio maana Mourinho ana hustle amuweke nani hapo? Utaona Mara Herrera kesho Big Fella Mara paired ya Carrick na Herrera au Pogba na Herrera. Kuna shida hapo. Na hiyo ndio roho ya timu au ndio injini ya timu. Unaweza kuona Ata kule kwetu, Chelsea imefungwa goli chache kwa uimara Wa middle. Kante na Matic na wengine wanafanya kz to the maximum. Sasa hii hali kwa Utd hakuna. Hakuna injini au roho ya timu hapo kati. Na kumbuka ukiwa huna roho ya timu hapo kati lazima ufail kote. Utafungwa sn wewe, na utakua na poor scoring.

Mik ameshuka kiwango japo Mou ndio aliemsajili tena alivyo chizi huyu Mik etia akampiga bit Mourinho kua hataki kukaa benchi. Yani hapo ndio akawa anajiharibia kabisa.

Pogba na Kadabra wanaangushwa na ubovu Wa injini ya timu au roho ya timu. Lkn hawa bado wako vzr na km kukiimarika ktk sehemu hizo zenye shida mtawaona hawa jamaa wako juu ktk viwango vyao.

Kwa haya machache nasema Utd tatizo ni wachezaji na si kocha.
 
Uko sahihi kabisa,lazima timu iwe na match winner. Piga hua lazima kuwe na mchezaji atakaeleta points 3 muhimu. Man United amna mchezaji wa aina hiyo.
Mimi ukiniuliza Leo ni timu zipi zinaweza kua ktk mpangilio wa no moja mpk 4? Ya kwanza ni Chelsea na ya pili ni Gunners na ya tatu ni Spurs city na LFC hizi timu bado ziko hovyo na hazijatulia. Kwahiyo zinaweza kuingia ktk top four iwapo Spurs itafanya vibaya Zaidi. Lkn km spurs hii hii ikafanya vzr Basi ninaona muishilio mzuri.


Kwa Utd inapaswa ibadilike kuanzia sasa na kutoruhusu sare au kupoteza angalau kwa game tatu hivi kutapunguza gape ya points ktk hizo timu ambazo ziko juu na pia kuamsha morari ya wachezaji. Ukiangalia December fixtures ya timu zingine ziko na fixtures mbaya sn. LFC ana michezo mitatu sizani km atatoka yote. Yuko na Middlesbrough, Evaton na City ktk hizi timu lazima aangushe point kadhaa. Wakati huo huo nyie big game ni hii ya Spurs next weekend. So mnaweza kupunguza gape before exmas....
 
15267912_1452570761427223_2898218736366864738_n.png
 
Back
Top Bottom