Hapana mourinho ana wachezaj asilimia chini ya 50 ambao ana wapanga consistently, hata timu yake ya chelsea iliyo kuwa bingwa ilikuwa ina first eleven, mwaka jana leceister walikuwa wana julikana, mwaka huu chelsea kabla hata sja enda kwenye mechi napanga kikosi.
Sasa yeye mabadiliko anayo yafanya yana msaidia nn!!?, ndio maana tunao mpinga tuko pragmatic kuwa anafanya madiliko, matokeo yanakuwa mabaya , this means ana kosea mabadiliko yake.
Nakubaliana na wewe kuwa tukishinda sita lalamika kwa sababu atakuwa amechukua maamuzi sahihi. Ila tukifungwa ndio tuna expose anacho kosea ni nn, moja ya kosa ni hana kikosi cha kwanza, hivo ana kosa consistency na team spirit.
Sidhani kama unamfahamu Mourinho vizuri mfumo anaotumia na wachezaji anaowapenda
1.Huwa anapenda kuwa na one powerfull striker (Drogba,Etoo,Benzema,Costa -Zlatan) na anapenda CB wenye umbo kubwa (JT-Carvalho,Lucio-Samuel-Materazi,Pepe-Ramos-Carvalho,JT-Cahill-Zouma)
3.Siku zote fullback(Marcelo-Arbeloa,Maicon-Zanetti,Ivanovic-Azpi) na winger ambao wanakaba(Duff-Roben-Cole-,Zanetti-Muntari,Di Maria,Wilian-Hazard) ndio inakuwa silaha yake kwenye ushambuliaji.Mata na Martial wameweza ku-adapt kucheza anavyotaka
4.Jose alivyotua Chelsea mara ya pili tayari alirudi kwenye timu anayoijua na baadhi ya wachezaji anawajua/wanamjua so yeye kutengeneza first eleven ilikuwa rahisi.Chelsea aliwakuta Cech-Ivanovic-Cole-Cahill-Zouma-JT-Azpi-Ramirez-Lampard-Hazard-Oscar-Mikel-Ba akawasajili Cesc,Matic,Costa na hawa wote waliingia kikosi cha kwanza na walikuwa among key players Chelsea ilivyochukua ubingwa
Mourinho -Manchester United
Most players aliowakuta wengi hawafit kwenye mfumo wake ingawa sio wachezaji wabaya nafikiri umeona Depay,Bastian Darmian,Morgan,Rojo,baadhi wameweza ku-adapt mfumo wake (Valencia,Herrera,Mata na Martial kama umemuona last 3 games).Cha kwanza alisajili wachezaji ambao wanafit kwenye mfumo wake Ibra,Pogba,Mikhi na Bailly
Hakuna alisema Mourinho hakuna anachokosea ,Nini Mourinho anakosea-anapaswa kufanyia kazi haya
1.Ametengeneza mfumo unaomfanya Ibra tu ndio afunge magoli so akikabwa/asipocheza United wanastrugle kufunga magoli,timu inapaswa kutengeneza nafasi kwa wachezaji wengi mmoja akibanwa mwingine anafunga.Liverpool/Arsenal wanafaidika sana kwenye hilo,anaweza kujaribu kutumia 4-4-2 wacheze Ibra-Rashford au 4-3-3 Ambao itabidi winger wawe wanamsaidia Ibra hata game ya Everton second half Ibra alikuwa isolated peke yake mbele sometimes akawa anarudi katikati kutafuta mpira
2.Fullback ni silaha kubwa kwenye mfumo wake kwenye kushambulia last season Ivanovic alikuwa chini ya kiwango Chelsea ilipata tabu sana.United inamtegemea Valencia tu/upande wa kulia kwenye kushambulia so akibanwa nae timu inastrugle Timu inashindwa kabisa kushambulia upande wa kushoto Darmian ni liabilty kushambulia.Blind/Young ni option nzuri kwenye kushambulia kuliko Darmian
3.Moja ya kosa analofanya ni kumchezesha Rashford winga,akicheza pembeni anakuwa liability kwenye timu sababu muda mwingi anatakiwa arudi kumsaidia fullback na hiyo kazi hawezi.Mata/Martial/Mikhi,Lingard na Rooney hawa ndio awachezeshe pembeni