Ntuzu
JF-Expert Member
- Aug 8, 2013
- 17,418
- 10,877
Arsenal kidogo ndio wana viashiria hivyo lkn sio LFC au city hao wako hovyo kabisa.Hata city na Arsenal na Liva wana viashiria hivo, ofcoz liva kidogo ana mapungufu ya viashiria. Chelsea wako vizuri ila tuta watenga at least wakiongoza kwa point 5.
Man utd naombea iwe top 4,, japo najua kwa inavo cheza hivi haiwezi kuwa top 4 na matokeo ni shahidi wa nnacho kiongea.
Ata kwa point moja tutawatenga Chelsea iweje kwa Chelsea useme mpk points 5 ndio tuwatenge wakati huo huo kwa Utd points 9 to be wrapped unaona kua ni nyingi?
Mbona unapingana mwenyewe au unacheza na maneno yako mwenyewe?
