MO11
JF-Expert Member
- Mar 23, 2014
- 19,553
- 41,467
mfike muende wapi ?Kwahyo hata Tuchel anafanya vzr kuliko jose?
Na unadhani tukianza timua timua kocha kila baada ya miezi minne tutafika kweli?
mfike muende wapi ?Kwahyo hata Tuchel anafanya vzr kuliko jose?
Na unadhani tukianza timua timua kocha kila baada ya miezi minne tutafika kweli?
Usijali nalijua hilo, bas at least niache niwe na hasira, maana matokeo nikose na hasira nisiwe nazo!!Hasira zako hazitabadilisha matokeo uwanja mtaendelea kustrugle mpaka mpungue huko man u
Anapotaka kuenda wengermfike muende wapi ?
Unachuki binafsi na Mourinho mkuu, sio bureEeh Tuchel anafanya vizuri tu kuliko Mourinho ndugu.
si kila baada ya miez minne tutimue, nataka tumtimue huyu ambaye ana shindwa. Tumlete mwingine, akija ata kaa, as long as matokeo yatakuwa bora zaidi.
Hao nilio waongelea kwa sasa wanafanya vzuri kuliko Mourinho.
Wape benefit of doubt, na ikitokea wakafanya vibaya wataondoka pia, untill tutapata mtu sahihi tu.
Ila hii hali ya sasa si nzuri
Siyo chuki binafsi, ila sija furahishwa na anacho kifanya, na matokeo sote tunayaona.Unachuki binafsi na Mourinho mkuu, sio bure
Kuna mwenzako mmoja shabiki wa arsenal anaitwa rubaman nayeye haamini maamuzi ya benchi la ufundi la timu yake kama wewe humu. Wailing and wailing like babies. Grow up mister!Siyo chuki binafsi, ila sija furahishwa na anacho kifanya, na matokeo sote tunayaona.
Na hakuna sehemu nimesema uongo kuhusu Mourinho hapa ndugu.
Nionavo mimi katika modern football, Kufaa kwa kocha hakutokani na muda, kuna tokana na matokeo tunayo yapata kwanza. Huhitaji miezi 6 kujua kocha hafai, mechi 8-12 tuu zinatosha ku mjaji.Kwako wewe unataka kocha akae muda gani hadi aoneshe kuwa anafaa?
Mi nakushauri hama timu.Nionavo mimi katika modern football, Kufaa kwa kocha hakutokani na muda, kuna tokana na matokeo tunayo yapata kwanza. Huhitaji miezi 6 kujua kocha hafai, mechi 8-12 tuu zinatosha ku mjaji.
Nionavo mimi katika modern football, Kufaa kwa kocha hakutokani na muda, kuna tokana na matokeo tunayo yapata kwanza. Huhitaji miezi 6 kujua kocha hafai, mechi 8-12 tuu zinatosha ku mjaji.
Haaa! Thats non sense, watu wanapingana na maamuzi ya Zidane ambaye hajafungwa sembuse Wenger!!Kuna mwenzako mmoja shabiki wa arsenal anaitwa rubaman nayeye haamini maamuzi ya benchi la ufundi la timu yake kama wewe humu. Wailing and wailing like babies. Grow up mister!
Naona kuna mjadala mkubwa sn na wenye mvutano mkubwa sn.....Haaa! Thats non sense, watu wanapingana na maamuzi ya Zidane ambaye hajafungwa sembuse Wenger!!
Ndio ana haki ya kusema anacho hisi, wewe inakusumbua nini?
Ukiona mtu kama huyo ana kukera you are an idiot.
Acheni watu watoe maoni yao, mpira hauna mainstream kila mtu ana u channel anavo ona.
Unaniambia ni grow up i dont think kama wewe pia ume grow up, so grow up.
Imefika stage sasa mnakera kama Mourinho mwenyewe.
Ninachoamini nikwamba, unapoamua kuwa shabiki wa timu fulani ni lazima uwe tayari kuyapokea matokeo ya timu yako kulingana na yanavyokuja. (we win together, we lose together, we draw together). Hatukatai kwamba muda mwingine kocha anaweza akafanya maamuzi ambayo yanaweza kui-cost timu kupata matokeo chanya (afterall football involves risk taking and gambling with decisions).Haaa! Thats non sense, watu wanapingana na maamuzi ya Zidane ambaye hajafungwa sembuse Wenger!!
Ndio ana haki ya kusema anacho hisi, wewe inakusumbua nini?
Ukiona mtu kama huyo ana kukera you are an idiot.
Acheni watu watoe maoni yao, mpira hauna mainstream kila mtu ana u channel anavo ona.
Unaniambia ni grow up i dont think kama wewe pia ume grow up, so grow up.
Imefika stage sasa mnakera kama Mourinho mwenyewe.
Kwenye modern football ni ngumu kuleta impact ndani ya miezi 2 au 3 ,
Emery,Ancelotti,Mourinho hawa wote now wanastrugle now
Pep alistrugle Bayern,Allegri alistrugle Juve,Klopp alistrugle Liverpool first season
For last 3 years nitajie angalau makocha 5 walioleta impact kwenye timu ndani ya huo muda, na timu nyingi zilizofukuza makocha ndani ya miezi 2/3 waliendelea
Uko sahihi mkuu.Ninachoamini nikwamba, unapoamua kuwa shabiki wa timu fulani ni lazima uwe tayari kuyapokea matokeo ya timu yako kulingana na yanavyokuja. (we win together, we lose together, we draw together). Hatukatai kwamba muda mwingine kocha anaweza akafanya maamuzi ambayo yanaweza kui-cost timu kupata matokeo chanya (afterall football involves risk taking and gambling with decisions).
Ila nina wasiwasi kuwa mkuu Iceman 3D humpendi na hupendi coaching philosophy ya Jose Mourinho (sio kwa accusations unazozitoa humu jukwaani, unless you got personal issues with Jose). Hicho kilio unachokitoa humu angekitoa shabiki wa kike kama everlenk au sister hata nisingeshangaa coz ningeelewa kuwa ndo tabia za hawa ndugu zetu wenye jinsia hiyo. But a fully grown *ss man! duh, sipati picha the way unavyopanick familia yako ikikabiliwa na changamoto hizi za kidunia.
Unataka kocha ambaye his coaching prowess has been proven in more than four major European Leagues afukuzwe hata kabla ya kufikisha nusu msimu! A coach whose carreer has been awash with trophies and accolades! Really!? C'mon man
mie nimekuwa kama shabiki wa kiume siwezi kulialia hvyo.Ninachoamini nikwamba, unapoamua kuwa shabiki wa timu fulani ni lazima uwe tayari kuyapokea matokeo ya timu yako kulingana na yanavyokuja. (we win together, we lose together, we draw together). Hatukatai kwamba muda mwingine kocha anaweza akafanya maamuzi ambayo yanaweza kui-cost timu kupata matokeo chanya (afterall football involves risk taking and gambling with decisions).
Ila nina wasiwasi kuwa mkuu Iceman 3D humpendi na hupendi coaching philosophy ya Jose Mourinho (sio kwa accusations unazozitoa humu jukwaani, unless you got personal issues with Jose). Hicho kilio unachokitoa humu angekitoa shabiki wa kike kama everlenk au sister hata nisingeshangaa coz ningeelewa kuwa ndo tabia za hawa ndugu zetu wenye jinsia hiyo. But a fully grown *ss man! duh, sipati picha the way unavyopanick familia yako ikikabiliwa na changamoto hizi za kidunia.
Unataka kocha ambaye his coaching prowess has been proved in more than four major European Leagues afukuzwe hata kabla ya kufikisha nusu msimu! A coach whose carreer has been awash with trophies and accolades! Really!? C'mon man
Mi nakushauri hama timu.
Hamia Madrid au Barcelona au Bayern Munich.
Utaishia kutupigia kelele humu..
Hata u-glory hunter haupo hivyo.

1. Tuchel (Dortmund)
2. Zidane (Madid)
3. Conte (Chelsea)
4. Ancelotti (madrid)
5. Blanc (PSG)
Nimekutajia wa tano hao hapo.
Mtu kama Ancelotti, ni wa pili kwenye ligi huyu ana struggle reasonably, kina Allegri wali strugle for about a month, baada ya hapo ana hit the road. Makocha hao hawakuwa wa 6 kwenye ligi zao, yet tulisema wana struggle, huwezi kumfananisha Mou na hao, at least Emery nilihis ata shindwa. Klopp nilieleza kuwa alikuja liva wakati msimu usha anza na aliwakuta kwenye hali mbayaa.
Sidhani kama ni reasonable kuwafananisha hao, na kumbuka Mourinho hata alikotoka Chelsea ali iacha ikiwa hali mbaya, mara ya pili hii tunarudia hili jambo mkuu.
Its cleary Mou yuko kwenye deep struggle zaidi.
Mi nakushauri hama timu.
Hamia Madrid au Barcelona au Bayern Munich.
Utaishia kutupigia kelele humu..
Hata u-glory hunter haupo hivyo.