Iceman 3D
JF-Expert Member
- Sep 3, 2016
- 20,611
- 67,105
LVG alijitahidi sana ndio msimu wa mwaka jana kuna miezi tulikuwa disastrous ila siku zote alianza vyema na kumaliza kidogo alikuwa sawa, aliondoka ana Kombe la FA kidogo hata ka momentum kalikuwepo we never know mwaka huu angeanzaje.Solution sio kununua wachezaji tu ni jinsi ya kuwatumia wachezaji ulionao LVG aliwanunua DiMaria,Depay,Darmian,Rojo,Schneiderlen,Falcao na wote wamechemsha
Mourinho ameongeza mengi kwenye defence na midfield tatizo lililobaki ni kufunga magoli tu.LVG aliongeza nini ndani ya miezi 4 ?
Ila Mou interms of results karudi nyuma, interms of tempo kaongeza tempo na bahat mbaya mwaka huu de gea ana kosa consistency hapo ndio shda ilipo. Ila ikitokea Mou akawa na mwezi mbaya mmoja tuu, tuko hatarini though van gaal mwaka jana mwezi wa 12 mpaka wa pili alikuwa na kipindi kibovu ali manage ku fikisha point sawa na City though magoli ndio yali muumiza.
Looking back ,LVG was that bad hata hivo.
