Naomba niwe mkweli timu kama iko hovyo tuseme na ndio ilivo, wasiopenda ushindi ni tim gan!!? Hata Arsenal walio kaa a decade au Liver wamekaa almost 3 decades hawaja chukua ubingwa wana penda washinde, tujifunze kukosoa na kuisapot timu na ku kubali reality.
Glory hunters huwa wana switch tim ikishindwa, ila tunao kosoa bila kuhama lazima tuwepo, ni historia ya kujikosoa ndio ilifanya kina Scott Duncan wakaondoka akapatikana Matt Busby, tabia yakujikosoa ndio iliyo fanya kina Mc Guiness wakatolewa akarudishwa Sir Matt Busby, ndio kujikosoa kuliko fanya kina Rowan Atkinson wakatolewa akaja Sir Alex, kila kocha alivumiliwa kwa muda wake na alikosolewa kwa namna yake Mourinho naye hata kosa hapo.
Klabu yetu ina historia ndefu ya ups and downs, but when we were down sidhan kama mashabiki walikuwa kimya tuu wakisubiri kurudi juu.
Lazima tujikosoe because that's who we are and that is our history.
Cc All who thinks they are genuine fans and others are fake