Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Najua kwakua droo kwenu ndo ushindi ndomaana mnalalamika sana cheza mpira unaoonekana haya yote hayatatokea mbona wanaoongoza ligi hatisiikii kama yenu ?

Wanafundishwa na Mourinho hao wanaongoza ligi ?
 
Hizo incident nilizoweka hapa zote ziko clear na ndio ambazo timu imepoteza point nyingi kama maamuzi yangekuwa sawa United isingepoteza hizo point.United imefungwa sana enzi za SAF,Moyes,LVG but hakukuwa na series ya matukio kama haya yanayotokea mfululizo

ukizitafuta scape goats utazipata nyingi

Timu yako haiko vizuri bado kubali tuu ndugu it is not a Crime if you admitt

na almanusra westham wapate LATE goal ingekuwaje kama sio msiba.....changamoto mnazopitia ni kawaida
 
ukizitafuta scape goats utazipata nyingi

Timu yako haiko vizuri bado kubali tuu ndugu it is not a Crime if you admitt

na almanusra westham wapate LATE goal ingekuwaje kama sio msiba.....changamoto mnazopitia ni kawaida

Tangu SAF ameondoka timu haijawahi kuwa vizuri but now timu inacheza vizuri ukilinganisha na msimu uliopita the problem ni kwamba haipati matokeo
 
Ligi inakaribia kuisha wenzetu bado wanahangaika kutafuta first eleven
 
Tangu SAF ameondoka timu haijawahi kuwa vizuri but now timu inacheza vizuri ukilinganisha na msimu uliopita the problem ni kwamba haipati matokeo
Kucheza vizuri bila ushindi = zero. Pretty football don't win points , goals do.
 
Sikuwahi Kufikiria Kama Manure Fanboys itatokezea Siku Na Wao Walielie Na Marefa.....
Sikuwahi Kufikiria Kama Baadhi Ya Manure Fanboys baada ya Game hii Watajipiga Ban Kwenye Uzi Wao...
 
Hongereni kwa draw wakuu. Nadhani tukubaliane kuwa leo mlikuwa mfungwe so draw kwenu ni ushindi mnono.

I was here..kabla sijaitwa daft!
 
Umebaki peke yako jukwaani bwana herrera. halafu vipi first half nini kilikupata mkuu? una bahati second half ulijirudi kiasi...
Mbona dogo first half alikua yuko poa ila alionesha kama kupaniki maana alikua anafanya faulo sana na kurudisha ovyo kwa jones, kipindi cha pili mwanzoni ndio alipotea but akaja kujirudi,
So far timu inacheza vizuri mara 1000 zaidi ya van gaal, tatzo ni umaliziaji tu na special one lazima atakua analitafutia ufumbuzi, hajawahi kushindwa.
 
Back
Top Bottom