Belo
JF-Expert Member
- Jun 11, 2007
- 12,913
- 10,263
![]()
![]()
![]()
![]()
Ukiangalia statistics mpaka sasa mou yuko nyuma ya van gaal kwa goals scored, chances created na pissession nadhani LvG tatizo lake lilikuwa side passes tu
Ungetuletea hizo statistics kwanza
![]()
![]()
![]()
![]()
Ukiangalia statistics mpaka sasa mou yuko nyuma ya van gaal kwa goals scored, chances created na pissession nadhani LvG tatizo lake lilikuwa side passes tu
Umeelewa maana ya swali langu? Pengine hujui historia baina ya Liverpool na United. Lakini kwa kukudokeza tu, shabiki halisi wa United hawezi kuitumia Liverpool kama timu ya mfano kamwe!Ee ni shabiki wa Man Utd lazima tuwaige wao, au tutoke Europa tukamie ligi.
Duuh!Umeelewa maana ya swali langu? Pengine hujui historia baina ya Liverpool na United. Lakini kwa kukudokeza tu, shabiki halisi wa United hawezi kuitumia Liverpool kama timu ya mfano kamwe!
Sasa kama tulikuwa na zero shots tulishindaje mechi nyingi kuliko za Mou!? Nenda kacheki msimamo wa mwaka jana tukiwa tumecheza mwch 13 uone.
Halafu haiwezekani Makipa wa nne wote wanajihidi wakiwa Old Trafford tuu, ila sisi hatujui kushambulia, jambo ambalo ni bora u create chance chche uzitumie kuliko tunavo crate nyingii halafu hatutumii
Yes ni kweli lakini nimetumia kigezo cha mech 13, at least ku predict the future na hali si nzuri. Ila naombea timu ifanikiwe piaAssesment ya timu hufanywa mwisho wa msimu ,ukianza kuhesabu baada ya mechi 13 Liverpool wasingefikisha miaka 26 bila ubingwa.Last season almost kila mechi De Gea alikuwa anakuwa man of the match
Usiishi kwa mazoea mister. Don't be too radical. Afterall this ain't war! [HASHTAG]#Nafasi[/HASHTAG] ya 7 inawahusuUmeelewa maana ya swali langu? Pengine hujui historia baina ya Liverpool na United. Lakini kwa kukudokeza tu, shabiki halisi wa United hawezi kuitumia Liverpool kama timu ya mfano kamwe!
Mkuu angalia hii table![]()
![]()
![]()
![]()
Ukiangalia statistics mpaka sasa mou yuko nyuma ya van gaal kwa goals scored, chances created na pissession nadhani LvG tatizo lake lilikuwa side passes tu
Van gaal tulimpa miaka miwili tulipo ona hamna maendeleo akaondoka, mou ni miezi minne tu hadi sasa na kaonesha progress, attacking football, chance tunatengeneza za kutosha, beki japo zinafanya makosa lakini sio kama kipindi cha van gaal ambapo kila mechi ni de gea tu man of the match,Yes ni kweli lakini nimetumia kigezo cha mech 13, at least ku predict the future na hali si nzuri. Ila naombea timu ifanikiwe pia
Sasa hivi tuna create shots lakin ni tame shots, angalia jinsi tunavoshindwa ku convertMkuu angalia hii table![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
Ukiangalia statistics mpaka sasa mou yuko nyuma ya van gaal kwa goals scored, chances created na pissession nadhani LvG tatizo lake lilikuwa side passes tu
Sasa hivi tuna create shots lakin ni tame shots, angalia jinsi tunavoshindwa ku convert
Ila mkuu hivi ukimuangalia Mou unahisi ameongeza nn zaid ya kuwa na high tempo tuu.Van gaal tulimpa miaka miwili tulipo ona hamna maendeleo akaondoka, mou ni miezi minne tu hadi sasa na kaonesha progress, attacking football, chance tunatengeneza za kutosha, beki japo zinafanya makosa lakini sio kama kipindi cha van gaal ambapo kila mechi ni de gea tu man of the match,
Possesion za van gaal ilikua ni sababu ya side way na back passes, embu tumpe mou muda hadi mwisho wa msimu ndio tufanye assesment
Which is shots zetu za sasa tunahesabia hata tame shots ambazo hazina maana.Which is which bro?
Sasa hivi tuna create shots lakin ni tame shots, angalia jinsi tunavoshindwa ku convert
Ila mkuu hivi ukimuangalia Mou unahisi ameongeza nn zaid ya kuwa na high tempo tuu.
Hana style maalum, hana wachezaj maalum, ukizingatia alipata chance ya ku spend kuliko Van Gaal, naona tumerudi nyuma kuliko alipo tuacha Van Gaal. Kumbuka sasa tuko wa sita kwa sabu tu everton na Watford hawapati matokeo mazuri.
Siamini katika kubadilisha hovyo makocha, lakini namuona Mou ni kama anapotea kwa sasa
Ila mkuu hivi ukimuangalia Mou unahisi ameongeza nn zaid ya kuwa na high tempo tuu.
Hana style maalum, hana wachezaj maalum, ukizingatia alipata chance ya ku spend kuliko Van Gaal, naona tumerudi nyuma kuliko alipo tuacha Van Gaal. Kumbuka sasa tuko wa sita kwa sabu tu everton na Watford hawapati matokeo mazuri.
Siamini katika kubadilisha hovyo makocha, lakini namuona Mou ni kama anapotea kwa sasa
Nadhan ni bora tunge muachia msimu wa tatu, faida aliyo ileta Mou ni kwamba mtu kama Pogba asingeweza kuja under van gaal lakin pia haja make such a big difference kusema van gaal angekuwa pabaya zaid.Kwa misimu miwili LVG alitumia zaidi ua pound milioni 250
Who are you to tell me how to be?! Gosh!! How are old you?Usiishi kwa mazoea mister. Don't be too radical. Afterall this ain't war! [HASHTAG]#Nafasi[/HASHTAG] ya 7 inawahusu
That's your opinion; and I respect it.Duuh!
Mbona kina Neville na Scholes wanafanya hivo kila siku kwenye uchambuzi, na wale siyo washabiki tu bali wametumikia klabu na kuipa mafanikio!? Mi sidhani kama ni jambo baya hilo