ahaaaa ahaaaaa ahaaaaa
zam ya lesister haa haa haaa haina ushemeg vald anakulagaaaaaMkaanga sumu naona umetoka kwenye pango ulilojifichaBado tunachochea kifuu. Usiombe kikawaka.
Naskia hainaga ushemej...Tunakula........
Naskia hainaga ushemej........
Tunakulaga.....
Zam ya nan leo...
Zam ya Watford..
Zam yetu itafka kesho uckonde baharia wnguMan cty kapita..
Feyenood kapita.
Watford kapta...
![]()

Mkuu naona game ijayo Rooney akicheza hutaangalia kabisaMaView attachment 402690 MaView attachment 402691 goli yote mawili Wayne Rooney anatembea tu kama hayupo uwanjani
Mkuu naona game ijayo Rooney akicheza hutaangalia kabisa
Utakuja kupigwa risasiHizi picha zimesambaa kwenye mitandao ya kijamii naomba msiziamini ni za kutengenezwa(Photo Shop) na ukiziona toa taarifa TCRA maana ni za kichochezi.
![]()
![]()
NB:Mzee Arsene Masawe Wenger anaongeza sababu za kugoma kwenda sokoni,huwezi kua na £89+M uwanjani inakimbia kama headless chicken.

Naskia hainaga ushemej...Tunakula........
Naskia hainaga ushemej........
Tunakulaga.....
Zam ya nan leo...
Zam ya Watford..
Zam yetu itafka kesho uckonde baharia wnguMan cty kapita..
Feyenood kapita.
Watford kapta...
![]()

Rooney ndio anafanya wachezaji wengi wanaonekana hawafai.I hope Jose anaona makosa yake
Ila pumzi ilikata, wafanyie kazi suala la kuwa fiti dk 120, yaani iwe ni mchakamchaka kama philosophy ya Klopp.Kijana angalia Serengeti Boys wanavyosakata kabumbu
Yule dogo kule kushoto nae walimfanya uchochoro.. Goli zote mbili zimepitia kwake. So far team iko vizuri mno. Angalau hawa wakiwekwa pamoja mpaka wakiwa 21-23 tutakuwa na bonge la timuIla pumzi ilikata, wafanyie kazi suala la kuwa fiti dk 120, yaani iwe ni mchakamchaka kama philosophy ya Klopp.