Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Nazungumzia Fellaini wa msimu huu sio huko nyuma,Hii gemu sio ya kumlaumu Fellaini.Since Mourinho kaja Fellaini ndio kiungo anayecheza vizuri
Upo clearly
Mchawi # 1 Rooney
Piga benchi Rooney. & Martial kila siku upupu
................
 
kapigwa chelsea mashabik wa aseno,liverpool na wale waliokat walio hamia man city wapo kimya ngoja klabu kubwa ifanye vibaya wanafarakana utaaona humu mara mbili mbili nimeamini manchester united ni brand kubwa na moja ya club kubwa na yenye nguvu watu wana wivu balaa karibuni huku kwenye mti wenye matunda.
Kujihami vipiiiii..?
Ahahaaaaaaaah...
Ahsante sana Watford..!
 
Wakaanga sumu naona mnajilamba midomo kweli kweli....haya bana, tambeni tu sasa, maana hakuna namna...ila ligi bado mbichi, msisahau hilo...kumbukeni katika EPL namna unavyoanza ligi uwa hauna maana sana....tusubiri hadi Disemba ndipo picha itaonekana...ingawa sina maana nafurahia matokeo ya timu sasa, ila bado sijaona what's the fuss, wakati ni mechi ya 5 tu..
Kijana angalia Serengeti Boys wanavyosakata kabumbu
 
Tatizo sio Pogba, tatizo ni Rooney na Fellaini.
Rooney anamzuia Pogba kutawala sehemu ya kiungo kwa kurudirudi nyuma na Fellaini amenuiziwa na David Moyes.

Hakuna sababu ya kuwapanga Rooney na Pogba kwenye first X1
Pogba hayuko huru.
David Moyes ameandika barua ya kutengua kufukuzwa kwake Man. United. Mou atafute timu ingine mpya mapema ya kuwapelekea mikosi. Aende West Ham au Newcastle.
 
Wanawake.jpg
 
Naskia hainaga ushemej...Tunakula........Naskia hainaga ushemej........Tunakulaga.....Zam ya nan leo...Zam ya Watford..Zam yetu itafka kesho uckonde baharia wnguMan cty kapita..Feyenood kapita.Watford kapta...
 
Naskia hainaga ushemej...Tunakula........Naskia hainaga ushemej........Tunakulaga.....Zam ya nan leo...Zam ya Watford..Zam yetu itafka kesho uckonde baharia wnguMan cty kapita..Feyenood kapita.Watford kapta...
 
Pole sana kupenda kitu kibaya, na hizi mechi ambazo wapenzi na washabiki wanategemea ushindi 110% mkifungwa inaumiza sana, bora hata sare.
Yaaani bora hata sare . ...sijui wachezaji wa a mgomo baridi.
 
Nimemuomba anisamehe tu maana si kawaida kwa MANU especially baada ya kutumia gharama kubwa sana labda kuliko timu yoyote ile Europe kwenye usajili kudorora kiasi hiki tena katika mechi mfululizo.

Mungu anakuona
 
Nimemuomba anisamehe tu maana si kawaida kwa MANU especially baada ya kutumia gharama kubwa sana labda kuliko timu yoyote ile Europe kwenye usajili kudorora kiasi hiki tena katika mechi mfululizo.
Sielewi hatuna bahati ama ni nini
 
  • Thanks
Reactions: BAK
Back
Top Bottom