Felsic
Senior Member
- Jul 14, 2014
- 180
- 354
Akinunuliwa oh that's too much money for Pogba, asiponunuliwa oh mmesanda kumnunua Pogba..Kwamba mmesanda kumng'oa pogba
Haha haters will always hate..
#GGMU
Akinunuliwa oh that's too much money for Pogba, asiponunuliwa oh mmesanda kumnunua Pogba..Kwamba mmesanda kumng'oa pogba
Mpira bana sometimes unamfanya mtu kuwa kigeugeu ... umefurahi mkishinda mkifungwa unakuja kutoa sababu zako zile teeeehe teeeheMpira bana sometime fumbo sana mmesema Rooney hafai ndo kapachika goli km vile amewasikia![]()
![]()
![]()
Safiiii GGMU....Asanteni wote kwa ushirikiano wenu nimeinjoi my weekend......haya waleteeeeeeeeeeeee haoooooooo Leicester![]()
![]()
![]()
......nice weekend bora August iingie tuanze ligi
![]()
![]()
![]()
![]()
Vardy hakucheza?Mkuu watu wanfundishwa kuuwa sio mpira, hawana huruma , ni kipigo tu...View attachment 373819
Bado kiduchu tu,tunamalizia kuchonga sanamu za kichwa😀
Hahahhha hiyo inaitwa katika shida na raha huku ukijihoji nafsi yakoMpira bana sometimes unamfanya mtu kuwa kigeugeu ... umefurahi mkishinda mkifungwa unakuja kutoa sababu zako zile teeeehe teeehe
Ni kweli mmefungwa na As Roma?Mpira bana sometimes unamfanya mtu kuwa kigeugeu ... umefurahi mkishinda mkifungwa unakuja kutoa sababu zako zile teeeehe teeehe

Ndiyo mkuu tena 2-1Ni kweli mmefungwa na As Roma?

Ndiyo mkuu tena 2-1
Kwanza ni pre season wala hainipi presha ndiyo kwanza tunazidi kuyajua makosa yetu yasije kutu-cost mbeleni (in everlenk voice)![]()
![]()