Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

ni wakat was Rooney kuachia namba sasa.

Hilo nalo neno,

Ninachojua Mourinho si mvumilivu kwa mchezaji aliyeisha makali. Kinachomuokoa Rooney anajituma sana uwanjani, kiasi kocha inamulazimu tu kumuacha. Hii ndiomaana VGal alimuhamisha namba ili tu kutomkosa.

Tusubiri tuone kwa Mou itakuwaje.

BACK TANGANYIKA
 
Sijapenda kabisa tunavyocheza......bado tunacheza na golikipa sana ....na hamna midfielder kabisa.....

Wakati wa Rooney kuanzia benchi umefika ,Mourinho alishasema kapteni hana guarantee ya kuanza kikosi cha kwanza
 
Mpira bana sometime fumbo sana mmesema Rooney hafai ndo kapachika goli km vile amewasikia
 
Lets go with Valencia, *****..!!!

Assist ya pili kwenye Mechi hii, Namuona Valencia wa SAF leo. Anatoa mapande ya uhakika mpaka raha....

BACK TANGANYIKA
 
Hivi hawa Galatasay wapo katika Europa League au Champions League msimu huu?
 
Back
Top Bottom