Sa kwani man u si timu ya wabovuMpira bana sometime fumbo sana mmesema Rooney hafai ndo kapachika goli km vile amewasikia![]()
![]()
![]()
Arsenal tenaFelainiiiiii.... Ha ha ha.. Nishaanza kuongea jeuri hapa nilipokaa maana nilivozungukwa na majitu ya arsenal...
Utakimbia hapa hahahaSafiiii GGMU....Asanteni wote kwa ushirikiano wenu nimeinjoi my weekend......haya waleteeeeeeeeeeeee haoooooooo Leicester![]()
![]()
![]()
......nice weekend bora August iingie tuanze ligi
![]()
![]()
![]()
![]()
Mkuu nilikua nimewekwa kati na washabiki wa arsenal, nilisemwa sana tulivopigwa goli la pili, nikataka kukimbia wakanikamata, baada ya goli kurud na ushndi juu wakaanza kutafutana..Arsenal tena
Walikuwepo wote, ila c unajua mkubwa mkubwa tu...Hivi kwani akina Brumas na mathias hawakuwepo..make wana midfilder wao brumas..namkubali...au hakucheza nin...GAL mliwapiga kweli au naota
😀 😀 😀 😀 😀 😀 😀 duuuuuh...nasikia lecister city walipewa onyo kali 4:0 wasirudie tena...Walikuwepo wote, ila c unajua mkubwa mkubwa tu...
Ila kwa mziki waliotuchezesha kipindi cha kwanza mbona jasho lilitoka kwenye kiyoyozi..
Mkuu watu wanfundishwa kuuwa sio mpira, hawana huruma , ni kipigo tu...😀 😀 😀 😀 😀 😀 😀 duuuuuh...nasikia lecister city walipewa onyo kali 4:0 wasirudie tena...
😎 😎 😎 😎Mkuu watu wanfundishwa kuuwa sio mpira, hawana huruma , ni kipigo tu...View attachment 373819
Yaani mi nipogo hapa never escape, Wewe utakuwa mtu wa kwanza kunikimbia kule kwenu.!!Utakimbia hapa hahaha

Wapi tena nasubiri kwa hamuYaani mi nipogo hapa never escape, Wewe utakuwa mtu wa kwanza kunikimbia kule kwenu.!!![]()