Shukrani ndugu..ila walichotufanya hawa man u tv kizuriNenda youtube andika Man Utd LIVE
Ukiona hivyo ujue HAKI ZA KUONESHA LIVE ZIMEUZWA....Wanafanya biashara wanaonyesha mechi ambazo hawajauza haki ya matangazoShukrani ndugu..ila walichotufanya hawa man u tv kizuri
Jaman mwenye link ya man u vs everton live afanye fasta kabla haujaisha.. Azam tv washatuoa huku... Msaada jaman
Dah hawa wapenzi wa sokaHizi subs zinazofanyika hadi raha.
Utadhani wapo mazoezini.
Kumbe unafuatilia mechi timu bora, safi sanaHivi kwa kawaida Testimonial ya mchezaji (today ni ya Rooney) si inajumuisha wachezaji aliwahi kucheza nao (anaowachagua yeye mwenyewe) sio ya kitimu kama ilivyo leo. Inakuwaje leo inaonekana ni mechi ya kirafiki ya Manchester United vs Everton?
Kwani..hayo..unaowaona...sio..wachezaji..aliowahi..kucheza...nao...?Hivi kwa kawaida Testimonial ya mchezaji (today ni ya Rooney) si inajumuisha wachezaji aliwahi kucheza nao (anaowachagua yeye mwenyewe) sio ya kitimu kama ilivyo leo. Inakuwaje leo inaonekana ni mechi ya kirafiki ya Manchester United vs Everton?
Hivi kwa kawaida Testimonial ya mchezaji (today ni ya Rooney) si inajumuisha wachezaji aliwahi kucheza nao (anaowachagua yeye mwenyewe) sio ya kitimu kama ilivyo leo. Inakuwaje leo inaonekana ni mechi ya kirafiki ya Manchester United vs Everton?