Vipi chifu habari za masiku? Pole na majukumu aisee!!!!!
Naona siku hizi umetingwa sana unashindwa hata kufuatilia mambo, ngoja nikuambie kidgo kinachoendelea duniani,
1. Man u tumetolewa europa na wale wazee ( no excuses we are shit)
2. Mr bean ameweka record ya kuwa kocha aliefungwa mechi nyingi kwenye uefa kuliko kocha mwingine yyte

( Le Prof)
3. Leicester wanaongoza ligi kwa tofauti ya point nane ( ila mr bean na vijana wake akiwemo kashengo na Mcdonaldy wanaona wao ndio wana nafasi kubwa ya kubeba kuliko Leicester wet dream

)
4. Mr bean katolewa uefa hatua ya 16 bora kwa Mara sita mfululizo,( kuna haja gani ya kuwa na mwanamke mzuri asiyekupa huduma

)
5. Katika mechi nane zilizopita, mr bean na vijana wake wameshinda moja na kudroo mbili tu, (

)
6. New champion ( assnail) alitandikwa na vijana wa secondary akina rashford na varela 3-2, (

) na hapo ndipo wale Wenger out brigades walipoibuka, WAMESAHAU KWAMBA LE PROF YUPO ANATENGENEZA UWANJA
7. Rub

boy & barafu ni baadhi ya mashabiki wa washika ukuta wa London waliojitokeza hadharani kuacha kushabakia asanail hadi le prof atakapo ondoka, swali ni je, kama prof kashindwa nani ataweza? ( mbombo ngafu

)
8. Le prof kapigwa nyumbani Mara tatu mfululizo ( hii ni kwa Mara ya kwanza tangu Nov 2002

)
9. Kwa Mara ya kwanza le prof kafungwa kwenye FA cup na timu iliyoligi kuu toka mwaka 1997 ( record breaker

)
10. Kuna msemo wananchi wanautumia mitaani et ukitaka kupata wife material tafuta shabiki wa assnail, ujue huyo kuzoea shida na yupo tayari kukuvumilia katika shida na raha, ila asiwe upande wa Morgan (

wananchi bhana)
Haya ni machache kati ya mengi yanayoendelea duniani kwa sasa, and here is your last eight match:
0-0 Hull D
0-2 Barcelona L
2-3 Man Utd L
1-2 Swansea L
2-2 Spurs D
4-0 Hull W
1-2 Watford L
3-1 Barcelona L
Arsenal fans: let's 4get our problems and focus on Manchester form.